Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,933
kwenye vitisho ni kweli, maana kasema doc akifukuzwa kazi itabidi aachie nyumba ya serikali within 24 hrs. kama sio kutishana ni nini? lakini pia nimepata point nyingine, hivi mtu anaweza kupata nyumba ya kupanga within 24hrs? inabidi hili nalo liangaliwe.
Kosa kama ni la mwajiri hapo si haki, lakini kama ni ukiukwaji wa ajira uliofanywa na madaktari wenyewe, basi na wabebe mzito wao wenyewe. Maana nyumba hizo zitahitajika kwa ajili ya madaktari wengine watakaohamishwa toka Hostpitali kuu ya songea kwenda Muhimbili.