Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

Botha alikuwa mpuuzi tu, hakuweza kutambua tofauti ya imani binafsi na misimamo wazi ya kiongozi wa umma. Ndiyo maana anapuuzwa hata baada ya kufa.

Ngozi nyeusi toka Tanzania iliwafunza makaburu pale walipotaka kuinyakua Angola kuwa koloni lao. Tuliwapa kichapo mpaka wakakumbuka kumtoa mandela gerezani. Botha ni mpuuzi wa kupuuzwa tu, wala hawawakilishi hata weupe wenzake.

Ni mpuuzi kwa maana hakujaribu kuficha ukweli kutuhusu ila yote aliyoyasema kuhusu sifa za Afrıka.Yote yanathbitisha na mambo yanayoendelea mpaka leo kwenye Afrika huru.
 
Aisee acha Mugabe awatimue na ayaseme yale aliyoyasema ,hii speech unaweza ukalia
 
Ila hapa nachoona ni kuwa bado hotuba ya botha inatumiwa na weupe. Bado wanatumia mamluki na divide and rule. Huyu mfalme wa wazulu ndo mbuzi wa kaburu
 
Mauaji yanayoendelea Africa dhidi ya waafrika wenzao ni ushahidi tosha kuwa P.W. Botha alikuwa right 100%.... Viongozi wengi wa kiafrika wanagawa dhahabu, almasi, gas, mafuta in exchange of Silaha za kuwa ua waafrika wenzao... SA wamesahau kuwa tulimwaga damu kwaajili yao!!! CCM wanachekelea wageni kufaidika na wanawalinda kwa mtutu wa bunduki huku wakiwadhulumu masikini wa nchi hii... ACT wakala wa CCM wanatumika kuzuia mabadiliko ndani ya nchi hii ... Botha was right in so many ways ...
 
Botha the worrior, yaani hata siamini aliyoyasema ktk speech yake ndiyo haya tunayoyaona sasahivi.
 
Hilo ni ukweli kabisa kama umekaaa na hao wadudu ndoo utahakiki hio kauliii

Ni manunda wasio elewa kitu

Polisi mzima hajui hara mipaka ta nchii yakee
Wengi wanaajyaa baaada nchii yao england ndoo inafuaata
 
west coast vs east coast
tupac vs notorius big,remember that bro,not only south africa
 
Bhota si sahihi hata kidogo,mfumo mbovu ndio tatizo.Baadhi ya nchi za Ulaya mashariki ni maskini wa kutupwa sababu ya sera kandamizi zilizodumu kwa muda mrefu ukilinganisha na Ulaya Magharibi.Vivyo hivyo Afrika matatizo yamekuzwa na jinsi mwafrika alivyokuwa katika hali za taabu na shida kwa karne zaidi ya tano.Mabadiliko ya mwafrika kujitambua yapo njiani,japo matunda yake yatachukua muda mrefu.Shida ya sasa Afrika ni vita vya kikabila na kidini ukiongezea na watawala wasio na utashi wa kuwaletea maendeleo.Maadamu demokrasia imeanza kupiga hodi nina imani Afrika ya waafrika itasonga mbele.
 
Watu wakubali au wakatae, ukweli utabaki palepale.
Kuna superior beings na inferior beings.
Ukikataa hiyo, ni sawa na kukataa kuwa hamna mtu mpumbavu na mwerevu.
Ukweli mchungu but that's the truth.
 
Tushushupae bali tujadili na tuchukulie haya maneno kama changamoto. Hii ni sehemu ya hotuba/speech ya Botha mu-afrikaner aliekuwa raisi wa Sauth Africa enzi za Ubaguzi wa rangi.

"By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority,laziness and emotional incompetence.Isn't it plausible"

Ukitafakari kwa kina yanayoendelea South Africa utabaini maneno haya kati ya yale yoote kama yana ukweli flani juu ya BAADHI ya waafrika.
Kuna baadhi ya waafrika wenzetu wanatutukanisha na kutufanya tudharaulike utu wetu.

Yaani hapo katuchambua kwa usahihi kweli kweli,yote aliyoyasema yanaakisi tabia na matendo ya viongozi wa serikali ya chama tawala.Absolute spot on.
 
Ukweli mtupu

"Miafrika ndivyo tulivyo"-@Nyani Ngabu

Hamna kitu mkuu. Nakushauri tumia nguvu kubwa sana kufikiri, utagundua sisi na wazungu, we're the same specie. Tofauti yetu na wao ni nurture na sio nature.

That is the most infamous speech of all time. I mean literally It supposes to be a joke.
 
Read this very carefully guys and take a close look at yourself and the environment that you live in today

Botha speech 1985

THE FOLLOWING is a speech made by former South African President P.W. Botha to his Cabinet. This reprint was written by David G. Mailu for the Sunday Times, a South African newspaper, dated August 18, 1985.

================

" Pretoria has been made by the White mind for the White man. We are not obliged even the least to try to prove to anybody and to the Blacks that we are superior people. We have demonstrated that to the Blacks in a thousand and one ways. The Republic of South Africa that we know of today has not been created by wishful thinking. We have created it at the expense of intelligence, sweat and blood.

Were they Afrikaners who tried to eliminate the Australian Aborigines? Are they Afrikaners who discriminate against Blacks and call them Nigge*rs in the States? Were they Afrikaners who started the slave trade? Where is the Black man appreciated? England discriminates against its Black and their "Sus" law is out to discipline the Blacks. Canada, France, Russia, and Japan all play their discrimination too.

Why in the hell then is so much noise made about us? Why are they biased against us? I am simply trying to prove to you all that there is nothing unusual we are doing that the so called civilized worlds are not doing. We are simply an honest people who have come out aloud with a clear philosophy of how we want to live
our own White life.

We do not pretend like other Whites that we like Blacks. The fact that, Blacks look like human beings and act like human beings do not necessarily make them sensible human beings. Hedgehogs are not porcupines and lizards are not crocodiles simply because they look alike. If God wanted us to be equal to the Blacks, he would have created us all of a uniform colour and intellect. But he created us differently: Whites, Blacks, Yellow, Rulers and the ruled.

Intellectually, we are superior to the Blacks; that has been proven beyond any reasonable doubt over the years. I believe that the Afrikaner is an honest, God fearing person, who has demonstrated practically the right way of being. Nevertheless, it is comforting to know that behind the scenes, Europe, America, Canada, Australia-and all others are behind us in spite of what they say. For diplomatic relations, we all know what language should be used and where.

To prove my point, Comrades, does anyone of you know a White country without an investment or interest in South Africa? Who buys our gold? Who buys our diamonds? Who trades with us? Who is helping us develop other nuclear weapon? The very truth is that we are their people and they are our people. It's a big secret. The strength of our economy is backed by America, Britain, Germany. It is our strong conviction, therefore, that the Black is the raw material for the White man.

So Brothers and Sisters, let us join hands together to fight against this Black devil. I appeal to all Afrikaners to come out with any creative means of fighting this war. Surely God cannot forsake his own people whom we are. By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence. Isn't it plausible? therefore that the White man is created to rule the Black man? Come to think of what would happen one day if you woke up and on the throne sat a Kaff*ir! Can you imagine what would happen to our women? Does anyone of you believe that the Blacks can rule this country?

Hence, we have good reasons to let them all-the Mandelas-rot in prison, and I think we should be commended for having kept them alive in spite of what we have at hand with which to finish them off. I wish to announce a number of new strategies that should be put to use to destroy this Black bug. We should now make use of the chemical weapon. Priority number one, we should not by all means allow any more increases of the Black population lest we be choked very soon. I have exciting news that our scientists have come with an efficient stuff. I am sending out more researchers to the field to identify as many venues as possible where the chemical weapons could be employed to combat any further population increases. The hospital is a very strategic opening, for example and should be fully utilized. The food supply channel should be used. We have developed excellent slow killing poisons and fertility destroyers. Our only fear is in case such stuff came in! ! to their hands as they are bound to start using it against us if you care to think of the many Blacks working for us in our houses.

However, we are doing the best we can to make sure that the stuff remains strictly in our hands. Secondly, most Blacks are vulnerable to money inducements. I have set aside a special fund to exploit this venue. The old trick of divide and rule is still very valid today. Our experts should work day and night to set the Black man against his fellowman. His inferior sense of morals can be exploited beautifully. And here is a creature that lacks foresight. There is a need for us to combat him in long term projections that he cannot suspect. The average Black does not plan his life beyond a year: that stance, for example, should be exploited. My special department is already working round the clock to come out with a long-term operation blueprint. I am also sending a special request to all Afrikaner mothers to double their birth rate. It may be necessary too to set up a population boom industry by putting up centres where we employ and support fully White young men and women to produce children for the nation. We are also investigating the merit of uterus rentals as a possible means of speeding up the growth of our population through surrogate mothers.

For the time being, we should also engage a higher gear to make sure that Black men are separated from their women and fines imposed upon married wives who bear illegitimate children. I have a committee working on finding better methods of inciting Blacks against each other and encouraging murders among themselves. Murder cases among Blacks should bear very little punishment in order to encourage them.

My scientists have come up with a drug that could be smuggled into their brews to effect slow poisoning results and fertility destruction. Working through drinks and manufacturing of soft drinks geared to the Blacks, could promote the channels of reducing their population. Ours is not a war that we can use the atomic bomb to destroy the Blacks, so we must use our intelligence to affect this. The person-to-person encounter can be very effective.

As the records show that the Black man is dying to go to bed with the White woman, here is our unique opportunity. Our Sex Mercenary Squad should go out and camouflage with Apartheid Fighters while doing their operations quietly administering slow killing poison and fertility destroyers to those Blacks they thus befriend. We are modifying the Sex Mercenary Squad by introducing White men who should go for the militant Black woman and any other vulnerable Black woman. We have received a new supply of LovePeddlers from Europe and America who are desperate and too keen to take up the appointments.

My latest appeal is that the maternity hospital operations should be intensified. We are not paying those people to help bring Black babies to this world but to eliminate them on the very delivery moment. If this department worked very efficiently, a great deal could be achieved.

My Government has set aside a special fund for erecting more covert hospitals and clinics to promote this programme. Money can do anything for you. So while we have it, we should make the best use of it. In the meantime my beloved White citizens, do not take to heart what the world says, and don't be ashamed of being called racists. I do not mind being called the architect and King of Apartheid. I shall not become a monkey simply because someone has called me a monkey. I will still remain your bright star."


His Excellency Botha.
Hii speech hata viongozi wa CCM wanaitumia kwa wananchi wake CCM haina tofauti na BOTHA
 
Hamna kitu mkuu. Nakushauri tumia nguvu kubwa sana kufikiri, utagundua sisi na wazungu, we're the same specie. Tofauti yetu na wao ni nurture na sio nature.

That is the most infamous speech of all time. I mean literally It supposes to be a joke.

Mkuu lipi hapo ambalo sisi waafrika hatufanyi?

Lipi hapo katusingizia?
 
Wazungu ni wabinafsi sana na wanafanya hivyo ili waweze kuendelea kuonekana kuwa wao wako juu wako bora kuliko watu wengine Duniani..

Ukweli wazungu(Europeans) ni watu wachache(minority) ukifananisha na binadamu wengine wanaoishi duniani,lakini wao ndio wanaiongoza dunia(dominate) wameweza kufanikiwa kufanya hivyo kutoka na mbinu zao za ubinafsi...

Wazungu hawana chochote dunia hii kila kitu wameiga na kukifanya chao tuchukulie mfano DINI,,dini ya manasara(kikristo) YESU ni myahudi,wayahudi hawana rangi ya ngozi kama ya wazungu lakini ili wazungu waonekana bora JESUS wakamfanya awe rangi ya ngozi kama mzungu na macho ya BLUU,hii ni moja ya mbinu wanazozitumia li wao waonekane bora kuliko wengine....

Wazungu wataendelea kufikiria kuwa waafrika ni watu duni kiakili na ni watu walikuwa hatujatimia na MUNGU katuleta dunia kuwatumikia wazungu kama wafrika hatutobadilia kimawazo,inabidi waafrika tubadilike kimawazo tuitizame dunia iko je, ikiwa tutaendelea kujifananisha na wazungu basi wazungu watandelea kutuona kuwa tuko duni mbele yao...

Tuwe kama majapan,tuwe kama wachina tukitunze tulichokuwa nacho tuthamini uafrika tutunza mila zetu zetu bila ya kutaka kuiga mambo ya kizungu hapo ndio mzungu atatuheshimu,,wafrika tuna mambo mengi ya kujivunia lakini hatuyathamini,mfano Brazil kuna ngoma inayoitwa "Caboera" ni "combat dancing" ngoma ya kupigana wabrazili wameitunza na kuitukuza hii ngoma mpaka imekuwa ya kimataifa,unaweza kwenda nchi yoyote kujifunza Caboera imewekwe kwenye marshal dancing kama vile KUNG FU,SHAOLIN nk,lakini ukimuliza mbrazil kuhusu Coboera anakwambia kuwa hii ngoma imetokea Afrika imefika Barazil kutokana na biashara ya utumwa

Sasa Tanzania tuna ngoma inayoitwa TOKOMILE kama si kosei ni ngoma ya kabila la Kisaramo ngoma inachezwa kwa wachezaji kupigana fimbo hii bila shaka ni "combat dansing" kama Caboera, lakini utamkuta Mtanzania anakwenda kujifundisha ngoma ya kigeni kama Coboera au shaolin nk anaacha kujifundisha TOKOMILE au utakuta serikali inaikataza ngoma kama hiyo isichezwe kwasababu ni ngoma ya hatari badala kuimarisha zaidi na kuifanya iwe ya kimataifa.....huu ni mfano tu kuna mifano mingi inayoonyesha kuwa waafrika tunapenda kuiga vya watu lakini hatuvitukuzi vyetu.....

Aliyoyasema BOTHA ni kweli Dunia nzima mtu wenye asili ya kiafrika anadharauliwa,tunadharauliwa kwasababu tunajidharau hatuheshimu kilichokuwa chetu tunapenda kuiga vya watu .....kwa mtindo huu maisha yote tutakuwa wa mwisho duniani....

Botha kasema ukweli ukweli uliowazi hakuogopa kusema ukweli,sote tunaziona nchi za Afrika zinavyotawaliwa na watawala wake vipi wanasiasa wavyoongoza nchi zao,,,,Wafrika tunatakiwa tusome na tubadilike tuoone ukweli uko wapi wapi tubadilike kutokana na hii speech hii Mr Botha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom