wizara nyeti kama ile umakwenda kumpa kigwangwala !!! nikulivunjia nidhamu taifaMh Mkuu wrong track vyumba 300 na high season hii? Utalii ume shuka Sana,Kigwangalla anajua utalii ni anti porching tuu maana naona yeye na majangili tuu sioni jitihada zake kuufufua utalii,au sio kipaumbele cha awamu hii
hahaa anajitekenya na kucheka mwenyewe[emoji41][emoji41][emoji41] View attachment 932647
Kwa kweli kuna haja ya kupeleka wanajeshi wakalale.watajifunika hata ngumi!Tutapeleka watu wetu wakalale kama ilivyokuwa kwa Koroo........................sho
Not only embarrassing, but hurtful.
Kwa Arusha ni kawaida kabisa,maana hapa nchini tuna hotel 11 ambazo ni Five Star,ambapo 6 kati ya hizo ziko jijini Arusha,4 ziko Zanzibar na 1 iko Dar-es-salam.
Du ukweli umeanza kubainika sasa! Unajua watanzania wengi wanafikiria kukamua tu pasipo kumlisha ng'ombe. Hapa ndipo penye mapungufu.
Si waikodishe au waiuze, huduma nzuri na murua ndio utambulisho na kioo cha biashara.Hiyo hoteli tangu mmliki wake afariki imekuwa shamba la bibi... Hakuna kiendacho sawa.. Tusiweke siasa kwenye hili wenyewe wameshindwa kuiendesha. Huduma mbaya!!
Tuanzie tuu na ngurdoto paleArusha kwa Utalii hivyo vyumba sawa kabisa mbona.
Mimi nilifanya kaz hotel.hio 11 yra ago, ni kweli ina vyumba 300, tena huyo manager katoa idadi ya vyumba vya kawaida. Nikimaanisha standars rooms and delux rooms,,,kuna presidential rooms pale ambazo ziko 7, ni za marais tuu na huwa hawa sheiIdadi ya vyumba na namba za vyumba ni vitu viwili tofauti Mkuu.
Wakisema mia tatu wanamaanisha vyumba mia tau hata kama utakutana na room namba 702, 810 n.k.
Kumbe pamoja na vyuma kukaza, hoteli yenyewe feki tu? Basi mmiliki itabidi ajiongeze au aendelee kujilaumu mwenyewe.
Mbona Magufuli yeye anafanya biashara ya korosho kwa kutumia fedha za serikali? Ina maana ameanza kula matapishi yake?Kuwekeza kunahitaji zaidi ya yote kusoma nyakati, hasa mazingira ya kisera (policy environment) ya Chama Tawala na Serikali yake.
Rais Magufuli alipoingia madarakani anatimiza ahadi yake wakati wa kampeni kuwa nchi ni Tajiri ila fedha za Serikali zinaliwa/kuchezewa na wachache. Kauli yake ya kwanza alipoingia madarakani alisema wazi kuwa kuna watu wanafanya biashara kwa fedha za Serikali badala ya kufanya biashara kwa kwa fedha yao wenyewe inayozalishwa kibiashara.
Hoteli hiyo, naamini ilijengwa wakati shughuli nyingi za Serikali na Taasisi zake, hasa kubwa, zilifanyika Arusha, na ikawa ndiyo mahala pa Wakubwa kujinafasi.
Wakati ukuta, mwenye hoteli anapaswa kurudi kwenye meza ya mipango ajipange upya, kwa miaka 8 iliyobaki ya utawala wa Serikali inayoongozwa na Dr Magufuli.
Mwekezaji, wala mashabiki wa kisiasa wasije na lawama, kwa kuwa uamuzi wa kuwekeza ni wa mwekezaji na siyo Serikali. Serikali huweka mazingira rafiki ya uwekezaji.o
Nimemuona na kumsikia Meneja wa moja ya Hoteli kubwa na maarufu ya Kitalii ya Arusha kwenye taarifa ya habari usiku huu anasema/anajitetea kwa Maofisa wa Serikali kuwa Hoteli ile ina vyumba mia tatu (300) na hakuna Mgeni hata mmoja pale ndani.
Sasa nimejiuliza ni kwamba wao ndio hawapo kwenye right track ama?
Reviews nyingi za trip advisor huwa ni negative, kwa Hotel nyingi sana utapata hivyo.Muwe mnasoma reviews kujua kwanini biashara inaanguka.. Meneja anayejua kazi angekaa chini kwanza na kuangalia yasiyo sawa hotelini na sio kulalamika huku hoteli imejaa majanga..
Kama ni wewe jiongezeni huko.. msilaumu yasiyo huku chanzo ni hapo hotelini..
aisee kumbe umeona,jamaa sijaona plan zake katika kuitangaza utalii,japo analofanya ni jemaMh Mkuu wrong track vyumba 300 na high season hii? Utalii ume shuka Sana,Kigwangalla anajua utalii ni anti porching tuu maana naona yeye na majangili tuu sioni jitihada zake kuufufua utalii,au sio kipaumbele cha awamu hii
Sasa utashangaa Waswahili wanakimbilia kusoma reviews za Trip Advisor kuhalalisha hali mbaya ya uwepo wa Watalii/Wageni.Hotel nyingi Arusha,Moshi hazina wageni hasa hizi za kitalii,hali ni mbaya sana.
Kuna baadhi zinapata wageni kumi kwa wiki,unalipa mishahara kwa wafanyakazi,kodi,maji,umeme,NSSF na kwingineko,kwa nini wasifunge hizo hotel?
Ila jana ilionekana ITV wakati watu wanaoshughulikia mambo ya Vibali vya kazi hasa kwa wageni,walipotembelea hotel husika,Meneja pamoja na mambo mengine aliyohojiwa akagusia kwa kusema Hotel yake ina vyumba 300 na kwa wakati huo hakukua na mteja hata mmoja.Meku hata pale naura hawana hivyo vyumba mkuu. Mount meru hawazid 100 na kitu. Hiyo yenye vyumba 300 itakuwa ya kona ipi jomba?