Hoteli ya kitalii Arusha hali tete

Hoteli ya kitalii Arusha hali tete

Ngurudoto awamu iliyoisha ilikua on kweliii, sema mi nahisi wanashindwa kucheza na mda inabid wawe wabunifu nakuongeza baadhi ya vionjo na ikiwezekana wapunguze bei ya vyumba, watu wasipo Kuja basi ktakua na ttzo sehem.
 
Hali Ya nchi imefanya utalii kuporomoka
nawaambia tena tunakoelekea tutapokea watalii 10 kwa mwaka😡😡😡😡😕😕😕😕
 
Ngurudoto awamu iliyoisha ilikua on kweliii, sema mi nahisi wanashindwa kucheza na mda inabid wawe wabunifu nakuongeza baadhi ya vionjo na ikiwezekana wapunguze bei ya vyumba, watu wasipo Kuja basi ktakua na ttzo sehem.
Pale ndio obama alifikia wkt kaja tz mkuu. Wako vizuri sana. Ila chumba cha bei ya chini si chini ya laki
 
Nilichomsikia yule Meneja anasema "ni hali tu ya uchumi......"

Sasa sijajua anamaanisha uchumi wa Dunia nzima au Tanzania maana Watalii wanatokea nje ya nchi.
mashoga hawaji wamepewa tahadhari
 
Screenshot_20181113-190551.jpg

Screenshot_20181113-190610.jpg


Screenshot_20181113-190704.jpg
 
Mimi hata sijasema hivooo ndugu yangu..cybercrime..sasa unategemea nini??Vyumba 300...si mchezo kikose watu..then hapo wafanyakazi walipwa nini?Unajua tuache tu unafiki kuna watu wanapitia hali ngumu sana hasa maskini.
Inawezekana kabisa kukosa wateja wateja!
 
Nimemuona na kumsikia Meneja wa moja ya Hoteli kubwa na maarufu ya Kitalii ya Arusha kwenye taarifa ya habari usiku huu anasema/anajitetea kwa Maofisa wa Serikali kuwa Hoteli ile ina vyumba mia tatu (300) na hakuna Mgeni hata mmoja pale ndani.

Sasa nimejiuliza ni kwamba wao ndio hawapo kwenye right track ama?
Kuwekeza kunahitaji zaidi ya yote kusoma nyakati, hasa mazingira ya kisera (policy environment) ya Chama Tawala na Serikali yake.

Rais Magufuli alipoingia madarakani anatimiza ahadi yake wakati wa kampeni kuwa nchi ni Tajiri ila fedha za Serikali zinaliwa/kuchezewa na wachache. Kauli yake ya kwanza alipoingia madarakani alisema wazi kuwa kuna watu wanafanya biashara kwa fedha za Serikali badala ya kufanya biashara kwa kwa fedha yao wenyewe inayozalishwa kibiashara.

Hoteli hiyo, naamini ilijengwa wakati shughuli nyingi za Serikali na Taasisi zake, hasa kubwa, zilifanyika Arusha, na ikawa ndiyo mahala pa Wakubwa kujinafasi.

Wakati ukuta, mwenye hoteli anapaswa kurudi kwenye meza ya mipango ajipange upya, kwa miaka 8 iliyobaki ya utawala wa Serikali inayoongozwa na Dr Magufuli.

Mwekezaji, wala mashabiki wa kisiasa wasije na lawama, kwa kuwa uamuzi wa kuwekeza ni wa mwekezaji na siyo Serikali. Serikali huweka mazingira rafiki ya uwekezaji.o
 
Pale ndio obama alifikia wkt kaja tz mkuu. Wako vizuri sana. Ila chumba cha bei ya chini si chini ya laki
Hata Bush alipokuja ali mbonji pale....Maraisi wa East Africa pia walipokutana mara kwa mara walilala pale.
 
Back
Top Bottom