Hoteli ya kitalii Arusha hali tete

Hoteli ya kitalii Arusha hali tete

Sasa Hoteli ambayo haipati Wageni utarajie nini kama sio hayo hayo aliyolalamikia huyo/hao Wageni?

Wata renovate kwa pesa gani? watapika vyakula gani?

Kumbuka hii Hoteli alilala George bush baada ya Wasaidizi wake kuikagua na kujiridhisha inafaa.

Umeandika nini weye.. duh unashangaza
 
Hujaelewa nini?

Hoteli ilikuwa vizuri tu ila biashara ilivyoanguka na Hoteli inachakaa..

Muwe mnasoma reviews kujua kwanini biashara inaanguka.. Meneja anayejua kazi angekaa chini kwanza na kuangalia yasiyo sawa hotelini na sio kulalamika huku hoteli imejaa majanga..
Kama ni wewe jiongezeni huko.. msilaumu yasiyo huku chanzo ni hapo hotelini..
 
Muwe mnasoma reviews kujua kwanini biashara inaanguka.. Meneja anayejua kazi angekaa chini kwanza na kuangalia yasiyo sawa hotelini na sio kulalamika huku hoteli imejaa majanga..
Kama ni wewe jiongezeni huko.. msilaumu yasiyo huku chanzo ni hapo hotelini..
Hapo watasema ni Rais
Wakati hotel yenyewe haina hadhi hata ya 2*
Kitasa kikivunjika wanaweka ubao
Kioo kikivunjika wanaweka wavu sasa utaita hotel hiyo au guest bubu hahaha
Yaani nimesoma jamaa wanavyolalamika nimeona aibu mimi
 
Hapo watasema ni Rais
Wakati hotel yenyewe haina hadhi hata ya 2*
Kitasa kikivunjika wanaweka ubao
Kioo kikivunjika wanaweka wavu sasa utaita hotel hiyo au guest bubu hahaha
Yaani nimesoma jamaa wanavyolalamika nimeona aibu mimi

Aibu sanaaaaa
Hawajui mtu ataogopa hata kubook asije kumbana nayo hata kama kuna vyumba vichache vipo na uafadhali kidogo..

Mimi ni mmoja wa wanaopenda kusoma reviews kwanza.. nikisoma kama hayo siwezi hata pafikiria ni inakuwa imetoka hiyooo.
 
Aibu sanaaaaa
Hawajui mtu ataogopa hata kubook asije kumbana nayo hata kama kuna vyumba vichache vipo na uafadhali kidogo..

Mimi ni mmoja wa wanaopenda kusoma reviews kwanza.. nikisoma kama hayo siwezi hata pafikiria ni inakuwa imetoka hiyooo.
Trip advisor ni kiboko yaani wateja wanaweza kuikosesha kabisa biashara hotel yoyote mbaya
Kama unaifanya hotel ya kimataifa lazima iishi kwa hadhi hiyo
Wao sio wajinga wanataka value for money
Kuna review nimeisoma mdada anasema wafanyakazi wanaume wanawazungukia tu hahaha du
Eti hata snack shop hakuna na kupata prinkles na orios
Yaani ni aibu Walahi
Bora uwe unasoma reviews kwanza
 
Trip advisor ni kiboko yaani wateja wanaweza kuikosesha kabisa biashara hotel yoyote mbaya
Kama unaifanya hotel ya kimataifa lazima iishi kwa hadhi hiyo
Wao sio wajinga wanataka value for money
Kuna review nimeisoma mdada anasema wafanyakazi wanaume wanawazungukia tu hahaha du
Eti hata snack shop hakuna na kupata prinkles na orios
Yaani ni aibu Walahi
Bora uwe unasoma reviews kwanza

Kabisaaaaa
Hata booking.com etc
Reviews zinasaidia sana..
 
Wahenga walisemaaa " ukiona ngoma inalia saana ,jua INA karibia kupasuka" !!!
In short kuna hali ngumu ya uchumi muda utazungumza
 
Aibu sanaaaaa
Hawajui mtu ataogopa hata kubook asije kumbana nayo hata kama kuna vyumba vichache vipo na uafadhali kidogo..

Mimi ni mmoja wa wanaopenda kusoma reviews kwanza.. nikisoma kama hayo siwezi hata pafikiria ni inakuwa imetoka hiyooo.
Umeona lkn wanaolalamika walikuja kipindi gani? Embu lete screen shot za kabla ya 2015.
 
Back
Top Bottom