Mangi Mlay
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 5,743
- 7,090
Ngurdoto ni haki yao kukosa wateja wana Management mbovu haswa. Mgeni anafika anaangaliwa kama nyanya mbichi huduma mbovu na lugha mbovu kwa wadau.
RIP Mrema
RIP Mrema
Zipo mkuu mia tatu room zinafika
We reap what we sow"Tunavuna tulichopanda", kwa kikristo wanasemaje?
Sasa Hoteli ambayo haipati Wageni utarajie nini kama sio hayo hayo aliyolalamikia huyo/hao Wageni?
Sasa Hoteli ambayo haipati Wageni utarajie nini kama sio hayo hayo aliyolalamikia huyo/hao Wageni?
Wata renovate kwa pesa gani? watapika vyakula gani?
Kumbuka hii Hoteli alilala George bush baada ya Wasaidizi wake kuikagua na kujiridhisha inafaa.
Duu hapa kumbe ndio tatizo lilipoanzia
Siyo mwenyeji sana Arusha, ila hotel yenye vyumba 300?
Vingi sana aisee.
Hujaelewa nini?
Hoteli ilikuwa vizuri tu ila biashara ilivyoanguka na Hoteli inachakaa..
Meku hata pale naura hawana hivyo vyumba mkuu. Mount meru hawazid 100 na kitu. Hiyo yenye vyumba 300 itakuwa ya kona ipi jomba?
Hapo watasema ni RaisMuwe mnasoma reviews kujua kwanini biashara inaanguka.. Meneja anayejua kazi angekaa chini kwanza na kuangalia yasiyo sawa hotelini na sio kulalamika huku hoteli imejaa majanga..
Kama ni wewe jiongezeni huko.. msilaumu yasiyo huku chanzo ni hapo hotelini..
Hapo watasema ni Rais
Wakati hotel yenyewe haina hadhi hata ya 2*
Kitasa kikivunjika wanaweka ubao
Kioo kikivunjika wanaweka wavu sasa utaita hotel hiyo au guest bubu hahaha
Yaani nimesoma jamaa wanavyolalamika nimeona aibu mimi
Trip advisor ni kiboko yaani wateja wanaweza kuikosesha kabisa biashara hotel yoyote mbayaAibu sanaaaaa
Hawajui mtu ataogopa hata kubook asije kumbana nayo hata kama kuna vyumba vichache vipo na uafadhali kidogo..
Mimi ni mmoja wa wanaopenda kusoma reviews kwanza.. nikisoma kama hayo siwezi hata pafikiria ni inakuwa imetoka hiyooo.
Trip advisor ni kiboko yaani wateja wanaweza kuikosesha kabisa biashara hotel yoyote mbaya
Kama unaifanya hotel ya kimataifa lazima iishi kwa hadhi hiyo
Wao sio wajinga wanataka value for money
Kuna review nimeisoma mdada anasema wafanyakazi wanaume wanawazungukia tu hahaha du
Eti hata snack shop hakuna na kupata prinkles na orios
Yaani ni aibu Walahi
Bora uwe unasoma reviews kwanza
Aisee ! anzisha tatizo halafu wewe mwenyewe ulitatue ili kupata kiki !
Umeona lkn wanaolalamika walikuja kipindi gani? Embu lete screen shot za kabla ya 2015.Aibu sanaaaaa
Hawajui mtu ataogopa hata kubook asije kumbana nayo hata kama kuna vyumba vichache vipo na uafadhali kidogo..
Mimi ni mmoja wa wanaopenda kusoma reviews kwanza.. nikisoma kama hayo siwezi hata pafikiria ni inakuwa imetoka hiyooo.