Hoteli ya kitalii Arusha hali tete

Hoteli ya kitalii Arusha hali tete

alafu ukute ni mtu ana familia yake
Alafu hapo ni Hoteli moja sijajua huko kwingine, maana hata yule Meneja alikuwa anajitetea ishu tofauti kabisa akajikuta analazimika kutoa hali halisi ya pale Hotelini....nadhani alikuwa anajitetea kuhusu mishahara ya Wafanyakazi.
 
City link hiko maeneo ya mianzini ina vyumba zaid ya 250 ila sina hakika Kama inaanzia namba 1 mpaka 200...?
Usiangalie namba za kwenye vyumba mkuu, hizo huwa siyo idadi ya vyumba.

Mara nyingi unakuta floor zinaanza na set mpya, eg ground floor inaanza 100, 101 ..., first floor itaanza 200, 201 ..., hivyo hivyo kwa floor zinazofata hata kama kila floor ina vyumba 20.
 
City link hiko maeneo ya mianzini ina vyumba zaid ya 250 ila sina hakika Kama inaanzia namba 1 mpaka 200...?
Idadi ya vyumba na namba za vyumba ni vitu viwili tofauti Mkuu.

Wakisema mia tatu wanamaanisha vyumba mia tau hata kama utakutana na room namba 702, 810 n.k.
 
Sema Dar ni jiji la kibiashara, sidhani kama wanategemea sana Utalii kama Arusha.
Wengi huwa wanapita kwenda zenj mkuu, na bagamoyo season ikichanganyaga kama kipindi kile miaka ya 2007 wakati mkwere anautagaza utalii na kabla uchumi hauja shake,posta kila sehem ulikuwa huwezi tembea nusu kilometer hujagongana na kundi la watalii
 
Back
Top Bottom