pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,668
- 6,374
Kumuona dokta 50,000/=, kupima malaria 10,000/
Hizo hela siyo ishu,
Ishu ni kutoka saa tano asubuhi mpaka sasa hivi saa 12 na nusu jioni bado sijapata majibu na utaratibu wa consultation na kusoma majibu ni wa hovyo yaani hapa watu wanapigana kila moja aingie yeye,
Utaratibu mbovu kupita maelezo, sidhani kama nitarudi tena hapa
Hizo hela siyo ishu,
Ishu ni kutoka saa tano asubuhi mpaka sasa hivi saa 12 na nusu jioni bado sijapata majibu na utaratibu wa consultation na kusoma majibu ni wa hovyo yaani hapa watu wanapigana kila moja aingie yeye,
Utaratibu mbovu kupita maelezo, sidhani kama nitarudi tena hapa