#COVID19 Hospitali ya Bugando yakumbwa na upungufu wa mitungi ya Oksijeni kwa Wagonjwa wa Kupumua

Huu ugonjwa ni vita ya kiuchumi Magu alikuwa amewashtukia. Lazima tujiulize kwa nini watu wamedunda tangu May 2020 hadi leo bila barakoa wala chanjo lakini sasa hivi tumeanza kutishana na kutiana hofu kuwa korona ipo tuvae barakoa tena kwa lazima?
Vita ya kiuchumi kati ya TANZANIA na MAREKANI?
Tuchukue tahadhari Corona ipo na inaua.
 
Baba yake rafiki yangu kafariki Musoma na Mama yake yupo kwenye oxygen. Rafiki yangu naye kafariki mwaka jana mwezi wa nne na kaka yake katoka hospitali lakini alikaa zaidi ya siku 40 Houston, TX kwenye ICU . Kaka yake bado anatumia oxygen baada ya kupata matatizo kwenye mapafu. Yote hii ni Corona. Mama wanasema atapona anaweza kutoka wiki hii lakini atakuta mzee wamesha zika wiki iliyopita
Inauma sana!
 
Huu ugonjwa ni vita ya kiuchumi Magu alikuwa amewashtukia. Lazima tujiulize kwa nini watu wamedunda tangu May 2020 hadi leo bila barakoa wala chanjo lakini sasa hivi tumeanza kutishana na kutiana hofu kuwa korona ipo tuvae barakoa tena kwa lazima?
Mama yuko under test. Lakini uhalisia wa corona utaujua mtaani. Ni ngumu sana kumshawushi MTU kuvaa hiyo mambo. Acha wanasiasa wateseke, ila mtaani raia tunadunda tu.
Ndugu zangu, tusitishane, mtakuja kuua watu wengi zaidi ya corona yenyewe. Magu alisema na WHO wakaja wakapitia mlemle, itabidi tuishi na ugonjwa huu kama magonjwa mengine. I hate barakoa, nikutishana tu, hakuna lolote pale.
Is there any randomized clinical trial study ambayo inaonyesha effectiveness ya masks against covid.
Ushauli wangu:
1. Ushi kama vile hakuna covid
2. Usikubali kutishwa na barakoa
3. Treat hii kitu kama mafua tunazouguaga
4. Usikubali kupandishiwa pressure na huu msemo wa wimbi la 3.
Kwanza wasingekuwa wanaipigia chapuo, hii kitu isingekuwa iko tena kichwani mwa watu. Generally, mtaani hatujui kama kuna corona. Mungu alimpa hayati Magu maono ya kupambana na hii kitu, nawashauili tufuate nyayo zake.
 
Unakuta hospital yenyewe ina mitungi mitatu halafu unakuja na uzi kuwa imekumbwa na uungufu. Tuambie kwanza ina jumla ya mitungi mingapi iliyo active na mingapi inatumiwa na wagonjwa hadi muda hu
Kama iliyokuwepo ilikuwa inatosheleza mahitaji.... Then ongezeko lolote zaidi ya mahitaji lazima litasababisha uhaba.

Nafikiri hiyo ndiyo point ya msingi.
 
Maigizo ,maigizo kweli kweli.wenzetu wamekuwa madalali...sijui tukiisha wote hzo hela walizoongwa watazitumiaje?
Zamani zile nilikuwa najua kwamba serikali ni CHOMBO chenye uadilifu kinachojali na kuthamini wananchi wake kwa gharama zozote.

Baadae nikagundua kwamba serikali ni GENGE tu fulani la watu wachache ambao wako tayari kulinda maslahi yao kwa gharama zozote hata kama ni kutoa sadaka uhai wa wananchi wake.

Manake siku zote najiuliza, ni nini hasa lengo la kuwadunga watu machanjo yenye sumu? For whose benefit?

Machanjo hayajulikana hata yametengenezwaje, tunavamia tu kubugia?

Hizi serikali za vibaraka wa wazungu ni shida mno! Hazijitambui kabisa.

Alikuwepo chuma mmoja tu anaitwa Magufuli, angalau alikuwa na ubavu wa kukataa uhuni.

Hawa vinyangarika wengine.... mhuuu!
 
Unakuta hospital yenyewe ina mitungi mitatu halafu unakuja na uzi kuwa imekumbwa na uungufu. Tuambie kwanza ina jumla ya mitungi mingapi iliyo active na mingapi inatumiwa na wagonjwa hadi muda huu.
hospitali marehemu mama yangu alilazwa walikuwa wanatumia VENTILATOR za umeme!sio cylinder!
ila shida ilikuwa umeme ukikatika hadi generator i KICK IN ni about 3mnts mama alikuwa akiteseka sana hadi tunapata taharuki.
siku ingine maji yaliisha kwenye chemba yake mama akawa anataabika hadi nilifika pale na kugundua alikuwa tayari ameshaanza kukata pumzi..
ila siku amefariki ndio siku madokta walisema kesho wanampa ruhusa aondoke!
acheni kabisa korona ni nyoko
 
Tangu juzi nashindia malimao, hakuna chakula kinachopita kooni koo linauma na mwili wote hadi naogopa.
 
Baba yake rafiki yangu kafariki Musoma na Mama yake yupo kwenye oxygen. Rafiki yangu naye kafariki mwaka jana mwezi wa nne na kaka yake katoka hospitali lakini alikaa zaidi ya siku 40 Houston, TX kwenye ICU . Kaka yake bado anatumia oxygen baada ya kupata matatizo kwenye mapafu. Yote hii ni Corona. Mama wanasema atapona anaweza kutoka wiki hii lakini atakuta mzee wamesha zika wiki iliyopita
Ona laghai lingine hili hapa!

Kwanza hii stori yako haina ithibati yoyote. Huenda umejitungia tu ila kujenga hofu kwa watu.

Kama ni hadithi ya kweli thibitisha. Weka na vyeti vya daktari.

Maana nimesikia nyie madalali wa chanjo mmejazwa mitandaoni kwa lengo la kuushawishi umma na kuwateka watu akili ili wajae hofu na hatimae waanze kufakamiaa hayo machanjo yenye sumu.

Wacha hizi hadithi za kuokota okota ili ulipwe ujira kiduchu na hao waliokutuma.

Tafuta kazi halali.... osha hata masufuria ya mamantilie.
 
Tangu juzi nashindia malimao, hakuna chakula kinachopita kooni koo linauma na mwili wote hadi naogopa.
Huenda una mafangasi ya kinywa tu wewe!

Mwishowe utaanza kusingizia makorona!

Ooooh koo linauma nina corona!!!! Kumbe Oral Candida!

Kwa kweli Magufuli alijua kuwanyoosha hawa wahuni wa corona!

I wish i could BE nanihii........ niwanyooshe kweeeli kweeeli!
 
Enz za HAYATI hata kutangaza kuwa
Kuna upingufu wa
Mitungi ya oksijeni lilikuwa kosa la uhujimu uchumi
Alikuwa yuko sahihi.

Unapotangaza jambo la kuzua taharuki kama hilo maana yake watu wataacha kuzalisha mali na kuanza kuogopana.

Biashara zitakufa, mashule yatafungwa, masoko yatadorora, usafiri utakosa abiria, shughuli zote za kiuchumi zitasisimama.......THEN WHAT NEXT??

Ni kwa sababu wengi wenu kisomo mlichonacho ni duni, hamuelewi hata misingi ya uchumi na uzalishaji mali.

Kazi kujamba jamba tu hovyo na kufakamia maugali.

Kisomo duni mno na ufahamu hafifu.
 
Sanamu inajengwa kwa million 420 sawa bhana


IMG_20210706_225355.jpg
 
Back
Top Bottom