TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,536
- Thread starter
- #21
TOL watapiga hela msimuTanzania Oxygen Limited ndo wanatakiwa wapige kazi sasa
TOL watapiga hela msimuTanzania Oxygen Limited ndo wanatakiwa wapige kazi sasa
Mbona awatuonyeshi hao wagonjwaHabari wadau..!
Hali naona imeanza kuwa mbaya kwa upande wetu Tanzania ,nasikia huko Bugando washaanza kukumbwa na upungufu wa mitungi ya oxygen.
Kipindi hiki lockdown haikwepweki bila shaka.Mpaka sasa Bugando Hospital wanaupungufu wa mitungi 500 ya oxygen.
Huku mtaani kwetu Buza sioni kabisa taadhali zikifuatwa ,Mungu atunusuru kwa kweli.
Source:ITV habari 06/07/2021
... poleni sana Mkuu! Tuchukue tahadhari ili ikitokea angalau uwe umetimiza wajibu wako.Baba yake rafiki yangu kafariki Musoma na Mama yake yupo kwenye oxygen. Rafiki yangu naye kafariki mwaka jana mwezi wa nne na kaka yake katoka hospitali lakini alikaa zaidi ya siku 40 Houston, TX kwenye ICU . Kaka yake bado anatumia oxygen baada ya kupata matatizo kwenye mapafu. Yote hii ni Corona. Mama wanasema atapona anaweza kutoka wiki hii lakini atakuta mzee wamesha zika wiki iliyopita
CCM "watakua wametumwa na mabeberu"Habari wadau!
Hali naona imeanza kuwa mbaya kwa upande wetu Tanzania ,nasikia huko Bugando washaanza kukumbwa na upungufu wa mitungi ya oxygen.
Kipindi hiki lockdown haikwepweki bila shaka. Mpaka sasa Bugando Hospital wanaupungufu wa mitungi 500 ya oxygen.
Huku mtaani kwetu Buza sioni kabisa taadhali zikifuatwa ,Mungu atunusuru kwa kweli.
Source: ITV Habari 06/07/2021
Watu wazito kwa wazito; maprofesa kwa maprofesa wameteketea duniani kwa corona
Habari wadau!
Hali naona imeanza kuwa mbaya kwa upande wetu Tanzania ,nasikia huko Bugando washaanza kukumbwa na upungufu wa mitungi ya oxygen.
Kipindi hiki lockdown haikwepweki bila shaka. Mpaka sasa Bugando Hospital wanaupungufu wa mitungi 500 ya oxygen.
Huku mtaani kwetu Buza sioni kabisa taadhali zikifuatwa ,Mungu atunusuru kwa kweli.
Source: ITV Habari 06/07/2021
Maigizo ,maigizo kweli kweli.wenzetu wamekuwa madalali...sijui tukiisha wote hzo hela walizoongwa watazitumiaje?Naona wazee wa chanjo na mabarakoa mko kazini.
Nyie madalali wa wazungu mwaka huu mtaambulia patupu.
Sio kwa kuhangaika huku!! Hahaaa
Mtatengeneza maigizo mpaka mwaka gani?
Mungu yule yule aliyetupigania kwenye wimbi la 1 na la 2 atalishughulikia hili piaHabari wadau!
Hali naona imeanza kuwa mbaya kwa upande wetu Tanzania ,nasikia huko Bugando washaanza kukumbwa na upungufu wa mitungi ya oxygen.
Kipindi hiki lockdown haikwepweki bila shaka. Mpaka sasa Bugando Hospital wanaupungufu wa mitungi 500 ya oxygen.
Huku mtaani kwetu Buza sioni kabisa taadhali zikifuatwa ,Mungu atunusuru kwa kweli.
Source: ITV Habari 06/07/2021
Siungi lockdown ila ,serikali sogezen mitungi, BUGANDO, ONGEZA MITUNGI, NA WATAALAM INAPOBIDI, ILA SASA MIKAKATI YA KWANZA WAKATI WA CORONA INAINGIA TZ IWE LAZIMA SASA, KUANZIA DALADALA,NDOO ZA MAJI ,VITAKASA MIKONO N.KHabari wadau!
Hali naona imeanza kuwa mbaya kwa upande wetu Tanzania ,nasikia huko Bugando washaanza kukumbwa na upungufu wa mitungi ya oxygen.
Kipindi hiki lockdown haikwepweki bila shaka. Mpaka sasa Bugando Hospital wanaupungufu wa mitungi 500 ya oxygen.
Huku mtaani kwetu Buza sioni kabisa taadhali zikifuatwa ,Mungu atunusuru kwa kweli.
Source: ITV Habari 06/07/2021
.. sijui ni lini mataga mtakuwaga na akili! Mimi na wewe nani pumbavu?Maprofesa gani hao walioteketea kwa corona?
Ati maprofesa kwa maprofesa!
Toa ujinga wako hapa!
😆... dunia nzima ni Tanzania tu ndio inapigana vita vya kiuchumi kupitia Corona? Watu wazito kwa wazito; maprofesa kwa maprofesa wameteketea duniani kwa Corona ili kuipiganisha Tanzania vita vya kiuchumi? Kwa lipi hasa? Kuwa serious ndugu!
Safi sana sasa Kesho usiende kazini au kwenye biashara. Kesho usiende sokoni wala dukani kaa ndani kuna CORONA unywe maji tu utaishi. Jiulize kesho mabasi yote yasiposafirisha abiria itakuwaje? Si kuna CORONA. Kesho maduka yote yafungwe, kuna CORONA. Kesho masoko yote yafungwe kuna CORONA. Kesho kusiwe na usafiri wa aina yeyote kuna CORONA. Kesho ofisi zote zifungwe kuna CORONA. Kuanzia kesho kusiwe na Semina na mkutano wowote hata wa chama cha siasa, kuna CORONA. Kifupi tuvae barakoa tukae ndani wote, kuna CORONA.Mkulima akae ndani kuna CORONA. Jiulize unavaa Barakoa he kwenye Basi hiyo siti toka Asubuhi ulikaa peke yako?, hotelini kikombe na kijiko ulikitumia peke yako?... mpumbavu hujisemea moyoni mwake! Kinywa cha mpumbavu huzidi sumu ya swira; huangamiza kizazi.
Mkuu, subiri ipige hodi nyumbani kwako, halafu utajua "kutiana hofu" maana yake ni nini hasa.tumeanza kutishana na kutiana hofu kuwa korona ipo tuvae barakoa tena kwa lazima?
Ilishapiga kwako tayari?Mkuu, subiri ipige hodi nyumbani kwako, halafu utajua "kutiana hofu" maana yake ni nini hasa.
Usipaniki mkuu, hii kitu itapita tu, Mungu yupoHabari wadau!
Hali naona imeanza kuwa mbaya kwa upande wetu Tanzania ,nasikia huko Bugando washaanza kukumbwa na upungufu wa mitungi ya oxygen.
Kipindi hiki lockdown haikwepweki bila shaka. Mpaka sasa Bugando Hospital wanaupungufu wa mitungi 500 ya oxygen.
Huku mtaani kwetu Buza sioni kabisa taadhali zikifuatwa ,Mungu atunusuru kwa kweli.
Source: ITV Habari 06/07/2021