#COVID19 Hospitali ya Bugando yakumbwa na upungufu wa mitungi ya Oksijeni kwa Wagonjwa wa Kupumua

Wewe hiyo hela ni ndogo sana kwa serikali. Ni hela ya chai na mikate kwa siku moja tu.

Acha kuiaibisha serikali na kuitukana.

Afu unaonekana una mawazo ya kimasikini masikini sana wewe!

Sio kila kitu ni madawati tu. Hata kumuenzi na kumuheshimisha Rais Magufuli ni jambo pia, tena la muhimu.

Kwanza hako kahela kadogo mnoooo ukilinganisha na mambo ambayo Magufuli amelitendea Taifa hili.

Nyinyi majizi mnaogopa hata sanamu ya aliyekufa?

Mwanzoni nilikuwa nafahamu kwamba nyinyi majizi na wauza unga mnamuogopa Magufuli kutokana na namna alivyowaadabisha, kumbe hata sanamu yake mnaiogopa pia?
 
Ulishawahi kuhoji matumizi ya ruzuku yangefanya nini kama kusingekuwa na ufisadi kwenye matumizi hayo?

Tuliposema Hayati Magufuli bado anaishi mioyoni mwa watu mtuelewe . Hayati Magufuli amefanya mambo makubwa sana ambayo leo hii hakuna anayehoji gharama za sanamu yake , zaidi wale wote wanaopingana na mpango huo kuonekana hamnazo.

Ingesemwa iwekwe sanamu ya yule mbelgiji mweusi naamini usingehoji
 
Huu ugonjwa ni vita ya kiuchumi Magu alikuwa amewashtukia. Lazima tujiulize kwa nini watu wamedunda tangu May 2020 hadi leo bila barakoa wala chanjo lakini sasa hivi tumeanza kutishana na kutiana hofu kuwa korona ipo tuvae barakoa tena kwa lazima?
Yeye Magifuli ka Manage Kudunda ?
Si Covid-19 imetembea nae
 
... dunia nzima ni Tanzania tu ndio inapigana vita vya kiuchumi kupitia Corona? Watu wazito kwa wazito; maprofesa kwa maprofesa wameteketea duniani kwa Corona ili kuipiganisha Tanzania vita vya kiuchumi? Kwa lipi hasa? Kuwa serious ndugu!
Mukngezee na Hili
Jiwe na Kibri chake chose kafa na Korona
 
Hiyo mitungi ya oxygen ni kwa ajili ya kupikia chakula, msiwe na wasiwasi 🐒
 
Huu ugonjwa ni vita ya kiuchumi Magu alikuwa amewashtukia. Lazima tujiulize kwa nini watu wamedunda tangu May 2020 hadi leo bila barakoa wala chanjo lakini sasa hivi tumeanza kutishana na kutiana hofu kuwa korona ipo tuvae barakoa tena kwa lazima?
Kuanzia January mpaka March mwaka huu huku kaskazini watu walivaa barakoa wenyewe...mimi mizunguko na makazi yangu ni Arusha - Moshi nakwambia hali ilikuwa mbaya
 
Wasiwasi, hofu, na mchecheto vinaweza kusababisha kukana hata uwepo wako.
 
Ona laghai lingine hili hapa!

Kwanza hii stori yako haina ithibati yoyote. Huenda umejitungia tu ila kujenga hofu kwa watu..
Kwanza Chanjo hazina dalali zinatolewa kwa nchi na hazipatikani kienyeji. Pili siwezi kuweka vyetu vya rafiki yangu aliyefariki ili nikufurahishe wewe ! huu ni ujinga !!.

Tatu chanjo hazilazimishwi hapa wanaongelea tank na mimi sijui sipo Mwanza lakini sishangai kabisa maana najua Musoma na Kagera kuna wimbi na Raisi ameshasema hilo kwamba mipakani wagojwa wameanza kuongezeka. Lakini amini usiamini hii ni stori ya kweli.
 
Bwana hee kila mtu apambane na hali yake,wenye kufa watakufa na wenye kupona watanusurika lakini maisha lazima yasonge.
tukutake mwisho wa reli kwenye Derby part 2.
 
Ni upumbavu mtupu
Ichi ndicho niliwai kusema kwenye post yangu ya nyuma apo watu waka anza kunitukane eti Mimi mjinga
But my bro’s this true wanatumia vyombo vya abari kupeleka hofu kwa watu
Sijuwi Italy wame kufa watu 3000 kwa siku uongo mtupu akuna kweli

Ivi ninyi na akili yenu kabisa you hamuwezi fanya uchunguzi juu ya ugonjwa huu?

Maana some day nilifanya and majibu yangu yalikuwa positive niliambiwa kaa karantine siku 14 cha ajabu nilikaa kilicho ni shangaza kwa izo siku 14 sikutumia Dawa wala nini siku niliyo rudi hospital nika ambiwa nime pona COVID-19

Na so mimi tu marafiki zangu wengi wamesha wai pimwa iyi covid wana ambiwa wana covid wanakaa ndani siku 14 bila kutumia Dawa yeyote alafu wakirudi wana ambiwa wana pona
Mmmmm fanyeni uchunguzi huu sio ugonjwa


Jaribu kufikiria tu

Kipindi madascar walitengeneza Dawa
Uko afrika walizibitisha kabisa ina ponya
Kwanini who walikataa Dawa ile ? Na wakati hawakufanya uchunguzi wowote ?


Kuna Docter wa ufaransa alisema eti kuna vidonge vinaponya covid walikataa

Leo wame tuletea chanjo zao tuna lazimishwa kuchanja

Dah jamani watu fanyeni uchunguzi sio kuwekana hofu bure tu

Kuna vitu wanavyo taka awa wapumbavu kama sio pesa ndo wanazo zitafuta basi ita kuwa vitu vingine
Na madhara ya vitu ivyo itaonekana in the future
 
Aisee..
Ukibishana na Wapumbavu, watakupeleka kwenye level yao, na kukushinda kwa uzoefu........
 
Ulishawahi kuhoji matumizi ya ruzuku yangefanya nini kama kusingekuwa na ufisadi kwenye matumizi hayo?

Tuliposema Hayati Magufuli bado anaishi mioyoni mwa watu mtuelewe . Hayati Magufuli amefanya mambo makubwa sana ambayo leo hii hakuna anayehoji gharama za sanamu yake , zaidi wale wote wanaopingana na mpango huo kuonekana hamnazo.

Ingesemwa iwekwe sanamu ya yule mbelgiji mweusi naamini usingehoji

Alikuwa ni dhalimu na mtu muovu, tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea lile jitu dhalimu bila damu kumwagika.
 
hospitali marehemu mama yangu alilazwa walikuwa wanatumia VENTILATOR za umeme!sio cylinder!
ila shida ilikuwa umeme ukikatika hadi generator i KICK IN ni about 3mnts mama alikuwa akiteseka sana hadi tunapata taharuki..
Yaani pole Sana mkuu. Halafu unasikia mtu anasema na kutukana eti hakuna Corona. Mimi shangazi zangu wawili waliondoka na Corona. Alhamis iliyopita tumezika Kaka wa ukoo.

Jirani alikufa mke na mume wakazikwa siku Moja, jirani mwingine Baba Mzee na kijana wake mkubwa mwenye familia, waliohudumia wazee wawili nuliotaja Daktari amezikwa Leo na wengine hata hawaeleweki. Sasa ni kwa ufupii Ila vifo ni vingi.

Mungu atunusuru Ila Siyo kubeza maana wengine tunaugulia majonzi.
 
Watanzania tupo milion 50+

Hizo milion 420 fasta fasta zingegaiwa kwa raia basi kila mtz angepata either mtaji/pembejeo/ada/ gari au kiwanja chenye thamani ya mil 7 hadi 8 hivi.

Dah! Kvant bhana
 
Huo ugonjwa kuna wapumbavu wanauchukulia kirahisi rahisi mpaka mtu apoteze mtu wake wa karibu ndio atatia adabu..

By the way wote tumeona matokeo ya walioudharau huu ugonjwa tukianza kwa dikteta mwenyewe..
 
Back
Top Bottom