Hongera timu Wazalendo kwa ushindi wa awali. Tukutane Mahakama ya Rufaa🙏🙏

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
15,103
22,542
Baada ya kusoma HUKUMU ya Leo, nimegundua kuwa team ya Wazalendo under MWAMBUKUSI imeshinda ushindi wa Awali ingawa referee ameonekana kuonyesha kuwa Hana uwezo wa Kutoa ushindi.

Hoja zifuatazo ndizo zimenipa kuona ushindi wa team wazalendo:

1. Judge Ndumbari, Amekiri kuwepo dosari katika ushirikishwaji wa wananchi.

2. Judge Ndumbari , Amekiri IGA imevunja SHERIA za ulinzi wa raslimali za Nchi Kwa kupeleka migogoro nje ya nchi.

3. Judge Ndumbari, ANASHANGAA😳😳 na kusema IGA itaongozwa na SHERIA za Nchi, na mikataba ya miradi itaongozwa na SHERIA za ndani lakini migogoro itatatuliwa nje ya nchi.

Ndugu Mwananchi mwenzangu, kama Judge ANASHANGAA 😳😳 tunatakiwa kustuka, maana wasiwasi ndiyo AKILI.

Judge ameonyesha mapungufu hayo makubwa ya msingi na Bado amesita Kutoa HUKUMU Kwa team wazalendo, hii inaonyesha wazi kuwa ameona BUSARA mahakama ya juu zaidi itoe HUKUMU ya HAKI.

Kwangu Mimi na wazalendo wenzangu, ni wazi kuwa tumeshinda ila Bado kutangazwa washindi.

Tusubiri ushindi wetu kutangazwa mahakama ya rufaa kuwa mkataba Ule ni BATILI na FAKE!!

Wakati tukiendelea kusubiri HUKUMU, tuendelee kupiga KURA YA WAZI mabarabarani na Viwanjani, Ili ikihitajika kuthibitisha ushindi wa nguvu ya Umma iwe Rahisi.

Mwanakondoo ameshinda, tumfuate.

Aamen.
 
Mahakama zinajivua nguo na kubaki na nepi likuuubwa maana hapa waliyakiwa wamuonyeshe Yule alieleta state capture kuwa mahama haipigiwi simu shame.
Ni dhahiri Team WAZALENDO imeshinda,

Tusubiri rufaa, maana Nuru imeonekana.

Ni dhambi kubwa askari kurudi nyuma akiwa uwanja wa Mapambano!!
 
Ni dhahiri Team WAZALENDO imeshinda,

Tusubiri rufaa, maana Nuru imeonekana.

Ni dhambi kubwa askari kurudi nyuma akiwa uwanja wa Mapambano!!
I am worried kwamba civil action itakuwa ngumu kutokana na aina ya raia tuliyo nayo
 
I am worried kwamba civil action itakuwa ngumu kutokana na aina ya raia tuliyo nayo
Mizizi ya mbuyu imeshaoza,

Tuendelee kupaza sauti Hadi tutakaposikia kishindo cha kuanguka kwake.

Ujasiri wa wazalendo waongoza njia unatosha.

Mwambukusi aungwe mkono🙏🙏
 
WAPO BINADAMU WENYE HAIBA YA KUTUMIA NGUVU ZAO BURE,KUPOTEZA MUDA BURE,KUJICHOSHA TU ALMRADI MAHANGAIKO!,KALIMENI VIAZI MSTAWISHE FAMILIA ZENU,MSIKATE RUFAA NI KUJICHOSHA BURE,HARAKATI ZA PIMBI.
Ningelikuwa mpanga kesi,wakikata tu rufaa,kesi ningezipanga mahakama mbali mbali kwa tarehe za karibu karibu, sumbawanga,arusha, tabora,ngara ikisikilizwa ngara inamalizikia mtwara.😁😁😁
 
Baada ya kusoma HUKUMU ya Leo, nimegundua kuwa team ya Wazalendo imeshinda ushindi wa Awali ingawa referee ameonekana kuonyesha kuwa Hana uwezo wa Kutoa ushindi.

Hoja zifuatazo ndizo zimenipa kuona ushindi wa team wazalendo:

1. Judge Ndumbari, Amekiri kuwepo dosari katika ushirikishwaji wa wananchi.

2. Judge Ndumbari , Amekiri IGA imevunja SHERIA za ulinzi wa raslimali za Nchi Kwa kupeleka migogoro nje ya nchi.

3. Judge Ndumbari, ANASHANGAA na kusema IGA itaongozwa na SHERIA za Nchi, na mikataba ya miradi itaongozwa na SHERIA za ndani lakini migogoro itatatuliwa nje ya nchi.

Ndugu Mwananchi mwenzangu, kama Judge ANASHANGAA tunatakiwa kustuka, maana wasiwasi ndiyo AKILI.

Judge ameonyesha mapungufu hayo makubwa ya msingi na Bado amesita Kutoa HUKUMU Kwa team wazalendo, hii inaonyesha wazi kuwa ameona BUSARA mahakama ya juu zaidi itoe HUKUMU ya HAKI.

Kwangu Mimi na wazalendo wenzangu, ni wazi kuwa tumeshinda ila Bado kutangazwa washindi.

Tusubiri ushindi wetu kutangazwa mahakama ya rufaa kuwa mkataba Ule ni BATILI na FAKE!!

Wakati tukiendelea kusubiri HUKUMU, tuendelee kupiga KURA YA WAZI mabarabarani na Viwanjani, Ili ikihitajika kuthibitisha ushindi wa nguvu ya Umma iwe Rahisi.

Mwanakondoo ameshinda, tumfuate.

Aamen.
Harakati za Pimbi hizo...
 
Baada ya kusoma HUKUMU ya Leo, nimegundua kuwa team ya Wazalendo imeshinda ushindi wa Awali ingawa referee ameonekana kuonyesha kuwa Hana uwezo wa Kutoa ushindi.

Hoja zifuatazo ndizo zimenipa kuona ushindi wa team wazalendo:

1. Judge Ndumbari, Amekiri kuwepo dosari katika ushirikishwaji wa wananchi.

2. Judge Ndumbari , Amekiri IGA imevunja SHERIA za ulinzi wa raslimali za Nchi Kwa kupeleka migogoro nje ya nchi.

3. Judge Ndumbari, ANASHANGAA😳😳 na kusema IGA itaongozwa na SHERIA za Nchi, na mikataba ya miradi itaongozwa na SHERIA za ndani lakini migogoro itatatuliwa nje ya nchi.

Ndugu Mwananchi mwenzangu, kama Judge ANASHANGAA 😳😳 tunatakiwa kustuka, maana wasiwasi ndiyo AKILI.

Judge ameonyesha mapungufu hayo makubwa ya msingi na Bado amesita Kutoa HUKUMU Kwa team wazalendo, hii inaonyesha wazi kuwa ameona BUSARA mahakama ya juu zaidi itoe HUKUMU ya HAKI.

Kwangu Mimi na wazalendo wenzangu, ni wazi kuwa tumeshinda ila Bado kutangazwa washindi.

Tusubiri ushindi wetu kutangazwa mahakama ya rufaa kuwa mkataba Ule ni BATILI na FAKE!!

Wakati tukiendelea kusubiri HUKUMU, tuendelee kupiga KURA YA WAZI mabarabarani na Viwanjani, Ili ikihitajika kuthibitisha ushindi wa nguvu ya Umma iwe Rahisi.

Mwanakondoo ameshinda, tumfuate.

Aamen.
Serekali zinazoingia madarakani kwa kupora chaguzi huwa haziogopi mahakama za ndani ya nchi. Kwenda mahakamani ni njia sahihi isiyo na matokeo sahihi.
 
WAPO BINADAMU WENYE HAIBA YA KUTUMIA NGUVU ZAO BURE,KUPOTEZA MUDA BURE,KUJICHOSHA TU ALMRADI MAHANGAIKO!,KALIMENI VIAZI MSTAWISHE FAMILIA ZENU,MSIKATE RUFAA NI KUJICHOSHA BURE,HARAKATI ZA PIMBI.
Ningelikuwa mpanga kesi,wakikata tu rufaa,kesi ningezipanga mahakama mbali mbali kwa tarehe za karibu karibu, sumbawanga,arusha, tabora,ngara ikisikilizwa ngara inamalizikia mtwara.😁😁😁
Unaongea kana kwamba umeshushwa Kutoka JUU, ilhali wazazi na mababu zako walikuwa makapuku, wakulima, umesomeshwa Kwa Kodi zetu, Leo unakuja Kutoa hewa chafu hadharani.

Usisahau ya kuwa Pesa za RUSHWA, hugeuka Sumu tumboni na ndiyo chanzo Cha magojwa mengi yasiyo na Jina.

Mungu akurehemu.

Amen
 
Harakati za Pimbi hizo...
Mwalimu NYERERE alipoanza harakati za Ukombozi wa Nchi yake, walikuwepo wakoloni waliomkatisha tamaa na kumwambia hizo ni harakati za Pimbi.

Kamwe kiongozi hataongoza asiposikiza matakwa ya waongozwa,

Sisi tutapiga kelele tu Kwa Amani, Mungu atajibu Kwa utisho mkuu.

Tusubiri.
 
Baada ya kusoma HUKUMU ya Leo, nimegundua kuwa team ya Wazalendo imeshinda ushindi wa Awali ingawa referee ameonekana kuonyesha kuwa Hana uwezo wa Kutoa ushindi.

Hoja zifuatazo ndizo zimenipa kuona ushindi wa team wazalendo:

1. Judge Ndumbari, Amekiri kuwepo dosari katika ushirikishwaji wa wananchi.

2. Judge Ndumbari , Amekiri IGA imevunja SHERIA za ulinzi wa raslimali za Nchi Kwa kupeleka migogoro nje ya nchi.

3. Judge Ndumbari, ANASHANGAA😳😳 na kusema IGA itaongozwa na SHERIA za Nchi, na mikataba ya miradi itaongozwa na SHERIA za ndani lakini migogoro itatatuliwa nje ya nchi.

Ndugu Mwananchi mwenzangu, kama Judge ANASHANGAA 😳😳 tunatakiwa kustuka, maana wasiwasi ndiyo AKILI.

Judge ameonyesha mapungufu hayo makubwa ya msingi na Bado amesita Kutoa HUKUMU Kwa team wazalendo, hii inaonyesha wazi kuwa ameona BUSARA mahakama ya juu zaidi itoe HUKUMU ya HAKI.

Kwangu Mimi na wazalendo wenzangu, ni wazi kuwa tumeshinda ila Bado kutangazwa washindi.

Tusubiri ushindi wetu kutangazwa mahakama ya rufaa kuwa mkataba Ule ni BATILI na FAKE!!

Wakati tukiendelea kusubiri HUKUMU, tuendelee kupiga KURA YA WAZI mabarabarani na Viwanjani, Ili ikihitajika kuthibitisha ushindi wa nguvu ya Umma iwe Rahisi.

Mwanakondoo ameshinda, tumfuate.

Aamen.
Hakika tumeshinda✊
Kama hao wawekezaji japo wana haya wangeghairi tu maana umma utakapoamua kuwatosa hao vibaraka wao watapata hasara kwani wananchi watarejesha kilicho chao.
 
Back
Top Bottom