johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
- Thread starter
- #21
Mbande hadi Kibakwe lami inakuja soon!Waambie watukumbuke na HUKU MPWAPWA NA KIBAKWE TUNAUMIA MIGONGO WENZAO NA HAYA MASHIMO!!
Mbande hadi Kibakwe lami inakuja soon!Waambie watukumbuke na HUKU MPWAPWA NA KIBAKWE TUNAUMIA MIGONGO WENZAO NA HAYA MASHIMO!!
CCM oyeeeee!Shukrani nyingi kwa dar es salaam metropolitan development project, kwa kutoa pesa nyingi kwa ajili ya ukarabati wa barabara za mitaa ya dsm, adi huko tandale ni barabara
Kiaratu si juu huku buibui huku ni kwa kessyAwamu inayokuja ndio mitaa ile ya Bui bui kwa mzee Kiaratu hadi Kambangwa .
Pia MK kwenda kuibukia Manyanya!
Bwashee karibu CCM
CCM oyeeeee!
Tandale sahv pamekaa vzrShukrani nyingi kwa dar es salaam metropolitan development project, kwa kutoa pesa nyingi kwa ajili ya ukarabati wa barabara za mitaa ya dsm, adi huko tandale ni barabara
Mbande lami IPO Mkuu,Bado Njiapanda ya KONGWA HADI KIBAKWEMbande hadi Kibakwe lami inakuja soon!
Hata Roma haikujengwa kwa siku moja bwashee!MIAKA 60 BAADA YA UHURU
CCM imeshachokwa, hata mgawe maziwa fresh kila nyumba asubuhi kwenu kuiba kura ni lazima.
Una uhakika na ulichoandika? Kumbuka hawa watu wamekuwa madarakani miaka 60, wanakudanya kodi yako.Kwa niaba ya Wazawa wa mwananyamala nichukue fursa hii kuipongeza serikali ya CCM kwa ukarabati mkubwa wa barabara zote unaoendelea kuanzia Vijana hostel na mzunguko wote Komakoma, A nyamala, Manjunju, Kwa mama Zakaria Peace Kwa kopa, Magengeni, Hospitali na kurudi pale A nyamala kwa mzee Lutangilo Ng'ondya!
Mungu ni mwema wakati wote!
Hapo Ufipa Makonda aliwaletea lami hadi mlamngoni maana hamna geti!Tandale sahv pamekaa vzr
Kuliko kinondoni mjini
Ova
Hapa Mailimbili Oyster Bay TU hapana barabara ACHANA na hiyo lami MkuuMIAKA 60 BAADA YA UHURU
Zipi mkuu? Nenda Bahi mwanachugu kiangazi hiki Kama utajarudi tena huko! Sasa fikiria masika panakuwaje? Kama kiangazi TU panapitika kwa tabu saaaaanaaaaKwakweli CCM wamejenga barabara
This is good na ni vizuri hili umelisema mapema, sio baada ya uchaguzi wa 2025, watu waje waibuke ni kulia "tulishinda sisi tumeibiwa kura, wakapewa CCM!".Kwa niaba ya Wazawa wa mwananyamala nichukue fursa hii kuipongeza serikali ya CCM kwa ukarabati mkubwa wa barabara zote unaoendelea kuanzia Vijana hostel na mzunguko wote Komakoma, A nyamala, Manjunju, Kwa mama Zakaria Peace Kwa kopa, Magengeni, Hospitali na kurudi pale A nyamala kwa mzee Lutangilo Ng'ondya!
Mungu ni mwema wakati wote!
Zipi mkuu? Nenda Bahi mwanachugu kiangazi hiki Kama utajarudi tena huko! Sasa fikiria masika panakuwaje? Kama kiangazi TU panapitika kwa tabu saaaaanaaaa
Kwa niaba ya Wazawa wa mwananyamala nichukue fursa hii kuipongeza serikali ya CCM kwa ukarabati mkubwa wa barabara zote unaoendelea kuanzia Vijana hostel na mzunguko wote Komakoma, A nyamala, Manjunju, Kwa mama Zakaria Peace Kwa kopa, Magengeni, Hospitali na kurudi pale A nyamala kwa mzee Lutangilo Ng'ondya!
Mungu ni mwema wakati wote!
Endelea kukariri!
Tuna matatizo makubwa ya Barabara karibu Machame yote. Mvua na mafuriko ya msimu wa mvua uliopita uliongeza shida kwenye miundo mbinu ya barabara karibu jimbo lote la Hai.Machame wazee hawana matatizo bwashee!