Nawasalimu Kwa jina la JMT.
Asanteni kwa kazi yenu walimu wa sekondari mpo vizuri sana, hamna kona kona nadhani wenyew mmeelewa hapa.
Yale Mambo wamekamatwa kisa wameiba mtihani yatakuwa nadra kwa elimu msingi Mungu awabariki sana endeleeni na Moyo huo huo.
Pia nawapongeza NECTA kwa kuwaleta walimu wa sekondari kusimamia shule za msingi mmeona mbali.
Ushauri kwa serikali waongezeeni posho ya kusimamia maana KAZI wanaiweza hawa.
Asanteni kwa kazi yenu walimu wa sekondari mpo vizuri sana, hamna kona kona nadhani wenyew mmeelewa hapa.
Yale Mambo wamekamatwa kisa wameiba mtihani yatakuwa nadra kwa elimu msingi Mungu awabariki sana endeleeni na Moyo huo huo.
Pia nawapongeza NECTA kwa kuwaleta walimu wa sekondari kusimamia shule za msingi mmeona mbali.
Ushauri kwa serikali waongezeeni posho ya kusimamia maana KAZI wanaiweza hawa.