Jaby'z
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 4,319
- 7,655
kwa ule mwili wa jamaa hata kama angekuja na AK47 nape asingetishikaYule aliyetoa silaha kama n polisi basi amna k2
ukizoea miguu ya kuku unaiona kama kandambili tu
kwa ule mwili wa jamaa hata kama angekuja na AK47 nape asingetishikaYule aliyetoa silaha kama n polisi basi amna k2
Namshangaa wapo wengi vilaza sana wapo huko waliingizwa kimazabehahaahah kwa kuwa kazi zao wanafanya kwa siri basi tumejenga picha ni watu wenye akili za hali ya juu, kumbe ukiwaleta hadharani ni ma bashite sana. amini mkuu ndo hao vilaza
Aiiseh
Hizo chuki zako binafsi,hazituusuKwangu kafanya Kosa Kubwa Sana na la Hatari kwake .
Unapokwenda Kuoka Tukio la Mtu anayefanyiwa Attack kwa Kutumia Silaha ya Moto ..nilazima uwe Umejiandaa na Silaha Mfanano wa adui anayoitumia , iki pakitokea mazungira ya Matumizi basi uweze kujihami .
Yeye kaenda na koti la Suti la Pink na simu Kubwa Kama Bomu , Halafu anakaribiana na Adui almost Zero Distance.
Mnaomsifia Shame on You
Hata Maulidi ana kitambulisho tena imara kuliko hicho kitoy cha huyo dogoMtamponza jamani.
Ila nilifurahia show... au hakujua kua jamaa ana 'KITAMBULISHO'?
Mke mwenzie janet?! Haaa, yamekuwa hayo! Haya buana. Lakini mbona mke mkubwa hana ki-front front?Kitenge ni Muhuni wa Alharamain Secondary School , usikute alishapasha cha Shaurimoyo kabla ya kwenda kwny press conference halafu Ana hasira sana na Mke Mwenzie Janet aliefoji vyeti na majina
Harmo kaogopa kiki pithto! (Bastola )Hapo Maulid nilimkubali kishenz yaan, jamaa hakuwa mwoga kabsa.
Ila mdogo wangu Harmo rapper alilula kona ni hatari. Alipata kiboko yake pale
HATA MIMI YALINISHANGAZA HALAFU JAMAA AKAMTII KITENGE KAMA NI BOSI WAKE VILE!Aya maneno kama wanajuana ivi...unaharibu mambo bwanaaa
Kwahiyo Majizo akuamini wewe kuliko kitenge?Ngoja niwepe mwanga kidogo ivi maulidkitenge alienda kumkingia nape kifua yye kama nan kajiamini nni
na alipo kuwa anamsukuma yule usalama je akujua kam ni usalama na kama akujua kwanni usalama aliskiliza agizo la kitenge badala la mkuu aliemtuma
Maneno yakitenge kwamba unaharibu anahalibu nni kayatoa wap
majizo kaka jua kitenge anakupeleleza uyo ni usalama kuwa makin
Na yule usalama mbna alipo zuiwa na kitenge akapotea inamana kitenge anasauti kubwä yakumfanya ache alichotumwa au alimuoogopa kitenge sio kweli
Mmmakonde yule kazoea mishale sio chuma....ana mbio, inasemekana hata ingefyatuliwa risasi isingempata kwa mwendo aliochomoka nao.mwandishi katetea(kitenge), msanii kala kona(hamorapa)
Unawajua usalama wew??? Tuulize sis tunaokaa huku makumbusho usilopoke usichokijuaMambo yakusema uyo alietoa silaha ni usalama ni uongo akuna kitu kma icho uyo sio usalama akuna usalama pumbavu kma uyo usalama wanatumia akiri na nguvu inakuja baada yaa
Mambo yakusema uyo alietoa silaha ni usalama ni uongo akuna kitu kma icho uyo sio usalama akuna usalama pumbavu kma uyo usalama wanatumia akiri na nguvu inakuja baada yaa
unaweza kukabiliana namwenye silaha bila silaha..na waweza kumpokonya hata silaha yake na ukammaliza nayo vilevile...Kwangu kafanya Kosa Kubwa Sana na la Hatari kwake .
Unapokwenda Kuoka Tukio la Mtu anayefanyiwa Attack kwa Kutumia Silaha ya Moto ..nilazima uwe Umejiandaa na Silaha Mfanano wa adui anayoitumia , iki pakitokea mazungira ya Matumizi basi uweze kujihami .
Yeye kaenda na koti la Suti la Pink na simu Kubwa Kama Bomu , Halafu anakaribiana na Adui almost Zero Distance.
Mnaomsifia Shame on You