spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,226
Kithenge ni Form Four Failure, mwambieni Aoneshe Cheti. Div 4 Point karibu na 30
Hana Busara ila amekaa kimbea mbea flan tu, kipindi cha Muhdin Ndoranga FAT ya wakati huo sasa TFF alizabwa vibao, huwa hajatulia.
Napie nae ni walewale, nae Form Four Failure, mwambieni atoe cheti muone. Hana Tofauti hiyo wa juu.
Kwa hiyo ni kundi linalitafuta fursa ktk maeneo yasyo na technical skills za maana.
Sijawahi kumkubali zaidi kuona ni mpiga Zumari aliyekuwa anasaka Tonge.
Alipewa Jimbo la Mtam ili Memba achukue nchi, lakini equation iligoma kubalance pale Dodoma.
Tantalila zilipozidi JPM alimtoa ktk misafara yake ya kampeni.
Tunajua, huyu ni kimeo
Hana Busara ila amekaa kimbea mbea flan tu, kipindi cha Muhdin Ndoranga FAT ya wakati huo sasa TFF alizabwa vibao, huwa hajatulia.
Napie nae ni walewale, nae Form Four Failure, mwambieni atoe cheti muone. Hana Tofauti hiyo wa juu.
Kwa hiyo ni kundi linalitafuta fursa ktk maeneo yasyo na technical skills za maana.
Sijawahi kumkubali zaidi kuona ni mpiga Zumari aliyekuwa anasaka Tonge.
Alipewa Jimbo la Mtam ili Memba achukue nchi, lakini equation iligoma kubalance pale Dodoma.
Tantalila zilipozidi JPM alimtoa ktk misafara yake ya kampeni.
Tunajua, huyu ni kimeo
