Hata mimi nimeshangaa sana wanausalama gani silaha zimekaa kama bongo movie wako location kiasi kwamba akitokea mtu aliyejichokea anamalizana nao hapo hapoMe nasema iv izi bastola walivyo ziacha acha njee maana namuona na uyu mwenye shati nyeupe nae bastola inachungulia kiunoni je angetokea mtu mwenye akili ndogo akawachomolea pale nakuanza kufyatua ovyo ingekuwaje
Yaani kama hawa ni wana usalama wamefanya makosa mengi sana Leo na ni wana usalama uchwara over
mkuu hiyo signature,duh!!!!Ngoja niendelee kuunganisha dot ntamjua tuu huyu kitenge ..hili ni tukio la pili namshuhudia akiwa katika shughuli hizi za kusema utaharibu mambo..lakini kwa maneno mengine ...Ingawa kama nini majibu yangu mfukoni tayari ivi
ahaha ahaha kaka kweli usalama mbele bongo amna kuna kuruta wa usalamaUsalama bongoooo??!! Nenda zako hukooo!
Mbona Usalama wenye gwanda zao kabisa zile Mpauko walivamia Clouds lakin Hakuna aliekumbuka kuomba clip ya CCTV camera na kufuta sehemu ya Uvamizi iliyoonekana?
mambulula wapo kila idara alitaka kujionyesha ni nani akasahau media walikuwa wanarecord mwanzo mwisho usalama wenzie hata pisto hazijaonekana boya limetoa fastaMambo yakusema uyo alietoa silaha ni usalama ni uongo akuna kitu kma icho uyo sio usalama akuna usalama pumbavu kma uyo usalama wanatumia akiri na nguvu inakuja baada yaa
Tukio lingine ni lipi?Ngoja niendelee kuunganisha dot ntamjua tuu huyu kitenge ..hili ni tukio la pili namshuhudia akiwa katika shughuli hizi za kusema utaharibu mambo..lakini kwa maneno mengine ...Ingawa kama nini majibu yangu mfukoni tayari ivi
Kama naliona hv tukio ingekua mbele whole cctv system inakua hacked jamaa wanapiga tukio wakimaliza hawaachi ushahd hata wa finger prints ila blaza bashite anafungua tu milango with bare hands.Usalama bongoooo??!! Nenda zako hukooo!
Mbona Usalama wenye gwanda zao kabisa zile Mpauko walivamia Clouds lakin Hakuna aliekumbuka kuomba clip ya CCTV camera na kufuta sehemu ya Uvamizi iliyoonekana?
Kinga ni bora kuliko tiba, usalama alikuwa sahihi kutoa silaha bila kuitumia ili kupunguza uwezekano na ulazima wa kuitumia. watu wakijuu kuwa kuna silaha wanabadilisha tabia.jamaa na mikwara ya bastola ila kalitoa mbio na likaufyata. hili bwana linajifahamu halina uwezo ndo maana silaha kwake ni kimbilio la kwanza jinga sana
Na kama ukitumia force bas it has to be reasonable forceYaani maulid angekuwa afisa usalama angepandishwa cheo suala sio nguvu ushawishi tu. Ndio maana proceedure za polisi zipo wazi anajitambulisha anakueleza kosa anakuomba muelekee kituoni.
Ukikataa bado harusiwi kutumia nguvu na ikibidi kutumia nguvu sio kutoa au kutumia silaha.
mbona alifeli, alifanikiwa mkimbiza hammorapa tu ila nape hakutetemeka wala kubadili mawazo yake.tabia wanabadiri waoga kama hammorapa.Kinga ni bora kuliko tiba, usalama alikuwa sahihi kutoa silaha bila kuitumia ili kupunguza uwezekano na ulazima wa kuitumia. watu wakijuu kuwa kuna silaha wanabadilisha tabia.