Hongera Maulid Kitenge

Afanyiwe kazi kashindwa hata na tena kwa mana akitowa kisu hakirudi.nimeshangaa kuona jamaa kakatoa kabastola then karudisha au kamuogopa
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Siku ya leo kumetokea tukio la kustaajabisha ktk tasnia ya siasa nchini tanzania. Tukio hilo limetokea dar es salaam wakati aliyekuwa waziri wa michezo na tamaduni Nape nauye akitaka kuongea na waandishi wa habari baada ya kuondolewa katika nafasi yake ya uwaziri. Nape ameondelewa leo hii katika nafasi yake baada ya mh rais kufanya marekebisho madogo katika wizara mbili.

Baada ya mh Nape kuwasili maeneo ya Pritoria hotel kulitokea tafrani baada ya watu walitambuliwa kuwa ni maafisa usalama kumzuia asiongee na waandishi na kumtaka arudi ndani ya gari. Wakati sakata hilo likitokea mmoja wa maafisa usalama alitoa bastola na kumtishia Mh Nape ambaye naye hakustuka . Afisa huyo aliirudisha silaha hiyo kiunoni kisha kuanza kumsukuma Mh nape kumrudisha ndani ya gari. Pasipo kutarajiwa kijana mmoja mtanashati aliyevaa koti jekundu alionekana kujongea kujua kinachoendelea baada ya kuona tafrani ikitokea.

Kijana huyo aliweza kutambuliwa kuwa ni mtangazaji maarufu Maulid Kitenge. Kijana huyoo aliweza kuingilia kati na kumtoa afisa usalama kwa nguvu eneo la tukio huku akimsukuma bila kuogopa. Hakika alifanikiwa akamuondoa eneo hilo na afisa huyo alitii bila shurti. Wengi tumeona na kustaajabu na hatuna budi kumpa hongera maulidi kitenge kwa ujasiri aliouonesha.

ILA
Nimejaribu kujiuliza kwa hali ya kawaida kuna raia wa kawaida anaweza kuwa na ujasiri wa namna hiyoo. Nikapata jibu inawezekana na yeye ni wale watu wanaovaa suti nyeusi(mashushu).mpaka sasa bado sijapata jibu sahihi .

Waungwana ninyi mnaonaje nawasilishaView attachment 485865View attachment 485866View attachment 485867View attachment 485868
Ninachojiuliza ni kwamba huyu "Afisa Usalama" anatumia mikono yake kumsukuma Nape na kujibanza kwa watu ilhali silaha iko kwa kiuno, hahofii kuwa wanaweza kuichomoa na kumfanyizia !!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Siku ya leo kumetokea tukio la kustaajabisha ktk tasnia ya siasa nchini tanzania. Tukio hilo limetokea dar es salaam wakati aliyekuwa waziri wa michezo na tamaduni Nape nauye akitaka kuongea na waandishi wa habari baada ya kuondolewa katika nafasi yake ya uwaziri. Nape ameondelewa leo hii katika nafasi yake baada ya mh rais kufanya marekebisho madogo katika wizara mbili.

Baada ya mh Nape kuwasili maeneo ya Pritoria hotel kulitokea tafrani baada ya watu walitambuliwa kuwa ni maafisa usalama kumzuia asiongee na waandishi na kumtaka arudi ndani ya gari. Wakati sakata hilo likitokea mmoja wa maafisa usalama alitoa bastola na kumtishia Mh Nape ambaye naye hakustuka . Afisa huyo aliirudisha silaha hiyo kiunoni kisha kuanza kumsukuma Mh nape kumrudisha ndani ya gari. Pasipo kutarajiwa kijana mmoja mtanashati aliyevaa koti jekundu alionekana kujongea kujua kinachoendelea baada ya kuona tafrani ikitokea.

Kijana huyo aliweza kutambuliwa kuwa ni mtangazaji maarufu Maulid Kitenge. Kijana huyoo aliweza kuingilia kati na kumtoa afisa usalama kwa nguvu eneo la tukio huku akimsukuma bila kuogopa. Hakika alifanikiwa akamuondoa eneo hilo na afisa huyo alitii bila shurti. Wengi tumeona na kustaajabu na hatuna budi kumpa hongera maulidi kitenge kwa ujasiri aliouonesha.

ILA
Nimejaribu kujiuliza kwa hali ya kawaida kuna raia wa kawaida anaweza kuwa na ujasiri wa namna hiyoo. Nikapata jibu inawezekana na yeye ni wale watu wanaovaa suti nyeusi(mashushu).mpaka sasa bado sijapata jibu sahihi .

Waungwana ninyi mnaonaje nawasilishaView attachment 485865View attachment 485866View attachment 485867View attachment 485868
Alafu huyo jamaa ukicheki vizuri mfuko wa nyuma kushoto kaweka pingu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hongera Kitenge ktk hilo lakini ulikuwa umejiweka ktk hatari kusukumana na MTU mwenye silaha tena aliyeitoa na kuirudisha na hajulikani ni nani!!

Lolote lingeweza kutokea pale hasa pale alipotoa bastola na kurudi nyuma nilishtuka kidogo nini anataka kufanya then akairudisha kiunoni na ndipo Maulidi alipofika na kuanza kumsukuma.

Ktk hali kama zile lazima uwe makini sana maana hujui dhumuni la mtoa silaha.Na kama Kitenge angepata dhahama ya risasi hizi sifa anazopata zisingekuwepo kabisa angeanza kulaumiwa tu.

Nani kamtuma,amejitakia,amejipendekeza na mengine mengi tu tungesema.

Ushauri wangu.Usicheze na MTU aliyetoa silaha kwako labda kama una MM
 
Mashujaa ua hawatishiwi kifo, tunataka kitambulisho unatoa bastola? na akukosea aliyesema ni heri siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa.
 
Kwanza Hongera Maulidi wa Kitenge,Kama sikosei ukifuatilia clips anamuambia jamaa yule Usalama kwamba"Oyaa Unaharibu,unaharibu"

Ni kuonesha kwamba Maulidi Kitenge anajua kabisa kwamba ni Jinai kuonyesha Silaha katika hatua ile ya Nape.

Ukipita Scout kuna mambo mengi saana unajifunza,nashauri waandishi muwe angalua mnaenda JKT kupata mafunzo ya miezi kadhaa ili kujifunza ujarisi na haki zako kwenye matukio kama hayo.
Maana hata ueledi wa Alietoa silaha ni mdogo saaana,maana NAPE aliuliza hembu nionyeshe Kitambulisho,sasa akituko kikawa,jamaa badala ya Kuonyesha Kitambulisho yeye akatoa Silaha.Duhhhh mhhhhhhhhhh
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom