Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,423
- 29,084
Usalama feki ndivyo walivyo, ethics za usalama hawana kabisaNinachojiuliza ni kwamba huyu "Afisa Usalama" anatumia mikono yake kumsukuma Nape na kujibanza kwa watu ilhali silaha iko kwa kiuno, hahofii kuwa wanaweza kuichomoa na kumfanyizia !!