zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
- Thread starter
- #21
Chuo chenyewe ni chuo hicho!!!!! Hiyo ni sehemu ya watu kupotezea muda tu!!
Vijana wetu wa mwanzo kuhitimu UDOM leo wanahitimu baada ya kujituma kwa miaka mitatu, wanafaa waandikwe kwenye historia kuwa wamejituma kwa mazingira magumu, huku chuo kinajengwa huku wao wanachimba, mpaka Mwenyeezi Mungu kawasaidia wamehitimu, hawa"kupoteza muda tu" kama unavyofikiria. Wamechakarika na wanastahili kila sifa na nawapa Hongera sana kwa kuwa wastahamilivu.