beautifulonyinye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 726
- 478
HahahaaaaKazi mzuri ananikumbusha Diamond wa Mbagala,Kamwambie,Nitarejea na zote za wakati huo kabla Diamond hajaenda Nigeria kutubadilishia mziki.
HahahaaaaKazi mzuri ananikumbusha Diamond wa Mbagala,Kamwambie,Nitarejea na zote za wakati huo kabla Diamond hajaenda Nigeria kutubadilishia mziki.
Mkuu siyo lugha ta taifa bali ni lugha ya taifaMleta uzi rekebisha heading sio kwa hii nyimbo ni kwa huu wimbo....kiswahili lugha ta taifa
mpaka sasa hakuna nyimbo mbaya iliyotoka wcb sijui we huw unasikiliza rmx za wasanii waliofanya cover za wcb sijuiduh..hii thread inashuka kiushabiki au masikio yangu...nyimbo mbaya kweli,sii hii si ile ya papa wemba wala ya rich mavoko!kuna kitu hakiko sawa wapie maproducer wao na rythim zao....kuna kitu kinakosekana.Ni ushauri,wakichukulia chuki,sawa kila la kheri!
hongera kwake kazi nzur,I appreciate that song alotKiukweli Diamond ataendelea kukumbukwa kwa kumfikisha Harmonize hapa alipo fika! Kwa hii nyimbo yake mpya inayo itwa Matatizo ni dhahiri kadhamilia katika mziki! Kama kuna mtu anaweza kuiweka hapa aiweke ila ni nyimbo nzuri sana kwa soko letu la bongo! Ni vizuri kuimba vitu tofauti vinavyo mgusa kila mmoja wetu katika maisha yetu!
Naona pia kategua kitebdawili cha nani atakuwa wakwanza kushot video katika daraja la Mwalimu Nyerere
Hongera Harmonize
p,nyimbo kareeeeeeeeeeeeeeeenmeipenda n nzur sanaa
Hulk Share - Music Distribution PlatformMkuu tuwekee audio tuskilize video zinakula mb
Asante japo niliipata whatsp jana
Nyimbo ni nzuri sana lajini najiuliza mbona WCB wanamwaga nyimbo nyingi Sana? Haipiti miezi miwili,ngoma mpya inaachiwa. Ile ya Papa Wemba na Platinums sidhani hata kama Ina wiki tatu,wanaachia na hii. Ila anyway,labda management yao inaona mbali.
Link ya wimbo wa matatizo ulioimbwa na Harmonize chini ya Label ya WCB hii hapa.
Wapie ndo nn Sasa wimbo wa papa wemba wcb wanahusikaje n producer wakati wimbo umefanyika paris inaonekana unaujua mziki kuliko papa wemba anza kuimba n wwduh..hii thread inashuka kiushabiki au masikio yangu...nyimbo mbaya kweli,sii hii si ile ya papa wemba wala ya rich mavoko!kuna kitu hakiko sawa wapie maproducer wao na rythim zao....kuna kitu kinakosekana.Ni ushauri,wakichukulia chuki,sawa kila la kheri!