Hongera Harmonize kwa hii nyimbo (Matatizo)

Kiukweli Diamond ataendelea kukumbukwa kwa kumfikisha Harmonize hapa alipo fika! Kwa hii nyimbo yake mpya inayo itwa Matatizo ni dhahiri kadhamilia katika mziki! Kama kuna mtu anaweza kuiweka hapa aiweke ila ni nyimbo nzuri sana kwa soko letu la bongo! Ni vizuri kuimba vitu tofauti vinavyo mgusa kila mmoja wetu katika maisha yetu!

Naona pia kategua kitebdawili cha nani atakuwa wakwanza kushot video katika daraja la Mwalimu Nyerere

Hongera Harmonize

Ukiisiliza hii nyimbo ni ile Bongo Flava ya ukweli. Sikiliza inapoanza kile kinanda kinanikumbusha ile Bongo Flava ilipokuwa inaanza kuvuma. Ukija kuanzia kwenye 0:18 kachukua melody za Binti Kiziwi sikiliza kwa makini kwenye kuanzia kwenye 3:14 gitaa lilovyochalazwa. Hii nyimbo nzuri sana na maudhui yako powa.

Halafu nimegundua kitu kimoja Watanzania wanaguswa sana na nyimbo za Huzuni/Mateso na Mapenzi. Utakumbuka nyimbo za Daz Nundaz pia Diamond/ Kiba za mapenzi.
 
Mleta uzi rekebisha heading sio kwa hii nyimbo ni kwa huu wimbo....kiswahili lugha ta taifa
 
Kiukweli Diamond ataendelea kukumbukwa kwa kumfikisha Harmonize hapa alipo fika! Kwa hii nyimbo yake mpya inayo itwa Matatizo ni dhahiri kadhamilia katika mziki! Kama kuna mtu anaweza kuiweka hapa aiweke ila ni nyimbo nzuri sana kwa soko letu la bongo! Ni vizuri kuimba vitu tofauti vinavyo mgusa kila mmoja wetu katika maisha yetu!

Naona pia kategua kitebdawili cha nani atakuwa wakwanza kushot video katika daraja la Mwalimu Nyerere

Hongera Harmonize
SIO NYIMBO NI WIMBO
 
tuna kila sababu ya kuitangaza bobgo flavor yetu tuachane ule unanaijeria... safi hamonize nimekuelewa sasa..
 
Kiukweli Diamond ataendelea kukumbukwa kwa kumfikisha Harmonize hapa alipo fika! Kwa hii nyimbo yake mpya inayo itwa Matatizo ni dhahiri kadhamilia katika mziki! Kama kuna mtu anaweza kuiweka hapa aiweke ila ni nyimbo nzuri sana kwa soko letu la bongo! Ni vizuri kuimba vitu tofauti vinavyo mgusa kila mmoja wetu katika maisha yetu!

Naona pia kategua kitebdawili cha nani atakuwa wakwanza kushot video katika daraja la Mwalimu Nyerere

Hongera Harmonize
Ni wimbo sio nyimbo. Ila ni mzuri.
 
duh..hii thread inashuka kiushabiki au masikio yangu...nyimbo mbaya kweli,sii hii si ile ya papa wemba wala ya rich mavoko!kuna kitu hakiko sawa wapie maproducer wao na rythim zao....kuna kitu kinakosekana.Ni ushauri,wakichukulia chuki,sawa kila la kheri!
Kweli mkuu nyimbo ya mwisho na ya kwanza kuipenda ya damond ni je utanipenda
 
Back
Top Bottom