Hivi ni kwann bob marley anamuiga lucky dube?
Kiukweli Diamond ataendelea kukumbukwa kwa kumfikisha Harmonize hapa alipo fika! Kwa hii nyimbo yake mpya inayo itwa Matatizo ni dhahiri kadhamilia katika mziki! Kama kuna mtu anaweza kuiweka hapa aiweke ila ni nyimbo nzuri sana kwa soko letu la bongo! Ni vizuri kuimba vitu tofauti vinavyo mgusa kila mmoja wetu katika maisha yetu!
Naona pia kategua kitebdawili cha nani atakuwa wakwanza kushot video katika daraja la Mwalimu Nyerere
Hongera Harmonize
Mmmh unamaanish nn mkuuHivi ni kwann bob marley anamuiga lucky dube?
SIO NYIMBO NI WIMBOKiukweli Diamond ataendelea kukumbukwa kwa kumfikisha Harmonize hapa alipo fika! Kwa hii nyimbo yake mpya inayo itwa Matatizo ni dhahiri kadhamilia katika mziki! Kama kuna mtu anaweza kuiweka hapa aiweke ila ni nyimbo nzuri sana kwa soko letu la bongo! Ni vizuri kuimba vitu tofauti vinavyo mgusa kila mmoja wetu katika maisha yetu!
Naona pia kategua kitebdawili cha nani atakuwa wakwanza kushot video katika daraja la Mwalimu Nyerere
Hongera Harmonize
Basi sawaSioni tatizo kama wapo lebo moja.
Unawacheka kwa dharau wenzio yao yananyookaTatizo moja tu huyu dogo anamuiga diamond unaweza sema huu wimbo ni yeye ndo kaimba copy and paste wcb bwana haha #nawacheka kwa dharau
Unajifikiria kwanza sioNafikir nitaupenda jinsi muda unavyosogea
Ni wimbo sio nyimbo. Ila ni mzuri.Kiukweli Diamond ataendelea kukumbukwa kwa kumfikisha Harmonize hapa alipo fika! Kwa hii nyimbo yake mpya inayo itwa Matatizo ni dhahiri kadhamilia katika mziki! Kama kuna mtu anaweza kuiweka hapa aiweke ila ni nyimbo nzuri sana kwa soko letu la bongo! Ni vizuri kuimba vitu tofauti vinavyo mgusa kila mmoja wetu katika maisha yetu!
Naona pia kategua kitebdawili cha nani atakuwa wakwanza kushot video katika daraja la Mwalimu Nyerere
Hongera Harmonize
Kweli mkuu nyimbo ya mwisho na ya kwanza kuipenda ya damond ni je utanipendaduh..hii thread inashuka kiushabiki au masikio yangu...nyimbo mbaya kweli,sii hii si ile ya papa wemba wala ya rich mavoko!kuna kitu hakiko sawa wapie maproducer wao na rythim zao....kuna kitu kinakosekana.Ni ushauri,wakichukulia chuki,sawa kila la kheri!