HaahahaaaWimbo una himiza umasikini.
mambo ya wolper hayo, safi sanaBonge LA song
Ha hahaaa. Namba mbili imenivunja mbavuNyimbo nzuri,
Sauti ameiga,
Ujumbe mzuri,
ubaki na sifuri mkuu,kwani wewe unaona utabaki na ngapi km ukitoa 100%?Nimpe 100% na mimi nibaki na ngapi?
kwahiyo unaunga mkonyo nimpe 100?ubaki na sifuri mkuu,kwani wewe unaona utabaki na ngapi km ukitoa 100%?
Hata mwalimu mwenye kujiamini miaka ya 70 kuteremka asingeweza kukupa 100% kirahisi hata kama umefaulu mtihani mzima atakupa 99.99% atasingizia hata mwandiko mbaya au hakuna nukta na Coma vinginevyo ataona ume mdhalilisha.Mkuu screpa i didn't say so,100% means perfect na kitu cha namna hiyo hakiwezekani la kwa Mungu pekee
Nyimbo=WimboAiseee,nyimbo ya harmonize matatizo ni bonge la nyimbo hakika kijana anajitahidi sana me kwa hii nampa 100%..Vp wenzangu mnampa % ngapi?
Mkonyo??kwahiyo unaunga mkonyo nimpe 100?
Kiswahili kigumu mkuuNyimbo=Wimbo
Mkonyo??
NdioMkonyo??