Yule aliyepinda mdomoHuyu waziri wa ulinzi alikuwa yupi? Au ni yule aliyefariki?
Hana jina?Yule aliyepinda mdomo
BashungwaHana jina?
Ushahidi kuhusu BAHIMA EMPIRE tafadhali au ni Rabbit Hole?Hili suala la Watutsi kuanzisha Bahima Empire tumeshalisema sana lakini watu wanalichukulia kama ni nadharia mfu lakini ukweli lipo. Wao wanajiona ndiyo wenye haki ya kutawala eneo hili lote la maziwa makuu. Hongera CDF kwa kunusa hatari hii
Kafanya nini?Bashungwa
Unawezaje kuPenetrate wakati umezoea kunyaza? Naomba majibu Tafadhali?Walipenetrate
Huwezi kuwaita watu wakimbizi ambao waliingia nchini 1972 miaka 52 iliyopita,wamezaa hapa wamesoma ,wameoa na kuolewa Tz hao ni raia wa Tz tatizo serikali ya ccm labda haijawapa uraia,wanastahir na kuwaita ni wakimbizi ni roho mbaya na kuwadharirikaHii jamii ni hatari sana. Iliweza kupenetrate Uganda na sasa wanaitawala, ikaweza kuchukua Rwanda na sasa wanaitawala.
Baadhi walikimbia Congo Mashariki waka kaa kama wakimbizi alafu badae wakasema pale ni kwao.
Wa Congo waliposhtuka kusema waondoke wakagoma na sasa ndo wanaendesha vikundi vya waasi Congo Mashariki kwa faida ya ndugu zao waliopo Rwanda na Uganda
Kiusalama wa taifa hawa watu ni tishio sana na wanachotaka sasa ni kuimega Congo ili waiunganishe na Rwanda na baadae hata Uganda wataifanyia hivyo hivyo kupitia vikundi vyao kikiwemo M23
Inaonekana Intelejensia ya Jeshi letu ipo vizuri sana kuliko hawa TISS.
Kwa Tanzania mikoa ya Magharibi wamedominate wao kwa sehemu kubwa hasa Geita, Kigoma na Kagera. Hivi karibuni wameanza kuingia Katavi
Kesho wakilianzisha wakisema Kagera, Kigoma na Geita au Katavi ziwe sehemu ya empire yao msishangae.
Mkimbizi ni mkimbizi tu. Nenda China is history hata miaka 100 we ni mkimbiziHuwezi kuwaita watu wakimbizi ambao waliingia nchini 1972 miaka 52 iliyopita,wamezaa hapa wamesoma ,wameoa na kuolewa Tz hao ni raia wa Tz tatizo serikali ya ccm labda haijawapa uraia,wanastahir na kuwaita ni wakimbizi ni roho mbaya na kuwadharirika
Illegal immigrantKafanya nini?
Huko mipakani watu wanaenda kutembeleana sana tuSisi hatusumbui nchi yoyote. Hata jamaa zetu Wamawia wa Nchumbiji nao ni watu wema tu!
Tutsi empire. Hii ni agenda iliyo hai.Hii jamii ni hatari sana. Iliweza kupenetrate Uganda na sasa wanaitawala, ikaweza kuchukua Rwanda na sasa wanaitawala.
Baadhi walikimbia Congo Mashariki waka kaa kama wakimbizi alafu badae wakasema pale ni kwao.
Wa Congo waliposhtuka kusema waondoke wakagoma na sasa ndo wanaendesha vikundi vya waasi Congo Mashariki kwa faida ya ndugu zao waliopo Rwanda na Uganda
Kiusalama wa taifa hawa watu ni tishio sana na wanachotaka sasa ni kuimega Congo ili waiunganishe na Rwanda na baadae hata Uganda wataifanyia hivyo hivyo kupitia vikundi vyao kikiwemo M23
Inaonekana Intelejensia ya Jeshi letu ipo vizuri sana kuliko hawa TISS.
Kwa Tanzania mikoa ya Magharibi wamedominate wao kwa sehemu kubwa hasa Geita, Kigoma na Kagera. Hivi karibuni wameanza kuingia Katavi
Kesho wakilianzisha wakisema Kagera, Kigoma na Geita au Katavi ziwe sehemu ya empire yao msishangae.
Konde Wako msumbiji na TzWamakonde ni raia wa wapi?
Hii Comment kuna watu wataichukulia kawaida sana Ila impact yake ni hapo baadae tukshtuka kumeshapambazukaNdiko tunakoelekea. Kuna wakubwa jeshini ambao ni wakimbizi ndio wanasimamia interviews za kuingiza vijana jeshini huku wakiwapa nafasi wenzao ndani ya jeshi letu. Siku kikiwaka tunaweza nyang'anywa taifa hili maana maeneo nyeti sana.
Idara nyeti kabisa yaan ni kubeba faili na kulipeleka kwingine bila kubughuziwa, kuna jamaa alileta humu Uzi wa double agent watu wakamchukulia poa Ila tusubiri tuoneHuwezi amini wanashika hadi nafasi za juu kabisa za maamuzi. Nchi yetu sijui ina nini hii?
Kichwa kinafikiria kushika Dola zaidi hata kwa MSAADA wa wakimbizi waliopo kwenye idara nyeti huko ndani Ila uchaguzi ashinde kwanza alafu ndio turudi kwenye topic ya wakimbiziCha kushangaza aliyepewa ujumbe anajibu mambo ya uchaguzi wa mitaa tu.
Konde wa Mtwara anaongea kiswahili na Konde wa Msumbiji naye anaongea Kiswahili !!Konde Wako msumbiji na Tz
Sawa na Wajaluo wako Tz na Kenya