daah! nilichelewa kuona huu uzi, kipekee kabisa natuma salam zangu za dhati mtaa wa Lumumba wakiongozwa na mpwa wangu
Ritz , bila kusahau mtaa wa Ufipa kwa @Dr Slaa ,
mpwa wangu
BAK akiwa kwenye kona speed 120km/h nakushukuru sana kwa kunirahisishia kupata habari za motomoto, mpwa wangu
Chakaza popote ulipo unatafutwa urudi Lushoto ukasalimie uliowaacha, HP wangu wa ukweli
Elli salam zangu zikufikie popote ulipo, ujumbe wangu kwako ni kwamba boha sijafanikiwa kuliacha bado, ongeza juhudi za maombi huenda msimu huu wa siku kuu ukawa mwisho wa mimi kunywa boha, mpwa wangu
MANI nakiri kuwa mwaka huu 2014 umeufanya kuwa mwepesi sana kwangu, speed 140 nadunda kwa road, pia nakupa pole kwa msiba wa bro wetu, kifaransa tunasema ''TIHANG'WE'',
sosoliso mpwa wangu sina la kusema,
Kmanda
Mwita Maranya hope unapambana popote ulipo ,
dah kwa ujumla JF yote , wadau wangu wa kule uzi wa ujenzi wa nyumba na ramani siwezi kuwa'mention wote, ila nimalizie salam zangu kwa dada yangu
AshaDii popote ulipo nakutafuta kwa nguvu zote kama vile mgawo wa Tegeta Escrow