utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,671
Labda kama wajamaa wa escrow watatiwa ndani kupisha sikukuu pia mkuu
Hahaha mkuu kumbe wale walichukua kidogo tu ya shopping
Labda kama wajamaa wa escrow watatiwa ndani kupisha sikukuu pia mkuu
Sidhani kama atapata usingiz siku asipokunywa
Hahaha mkuu kumbe wale walichukua kidogo tu ya shopping
Asante sana nawe pia
Salaam pia ziwafikie mgiriki mwekundu (stay strong and brave man! I like that)
christine ibrahim (Stay strong lady)
Blue G (Your such an intelligent person, be successful)
Mkoroshokigoli (My greetings Kaka)
^^
Tatizo watasumbua sana mtaana hizi sikukuu hivyo inabidi kwenda nao sawa tu....
Usishangae mpendwa wangu. Muda bado upo. Nikutakie kila lililo jema kwako pamoja na wale woote uwapendao.
Cheers Cheers!!!
salam zimfikie kiwatengu sambamba na mkewe shansarie, MziziMkavu 1st AID I miss u so much.............!! Asprin tuanze ukurasa upya....aahhha lol..... mjukuu wangu Honey Faith nakupenda sana Khantwe popote ulipo zikufikie Mentor hope huko uliko salam umezipata Mafikizolo mumie salam hizoooooooooooooo leo tunajiexpress na salam tu HARUFU Ntuzu nimekumiss warumi binamuuuuuu kabanga pokea salam zangu
na wewe mtoa uzi pia salam za kukutakia mwaka mpya na heri ya krismas zikfikie
wenu
mamaafacebook
@mamaafacebook hivi Mafikizolo yuko wapi Jamani? Nimemmissipo sana
Jamani thx mumy@mamaafacebook,
Nilikumiss my dear, hope u are duin wellNipo mumy@heaven sent
Ahsante bidada, msalimie shemeji muuza ubuyu
Hizi salamu zangu kwanza kwa wake zangu AshaDii gfsonwin na DEMBA. Kisha nawatakia unywaji wa afya sikukuu hii Fidel80 Teamo Bigirita RR MwanajamiiOne Asprin KakaKiiza amu Khantwe ladyfurahia
Nawatakia sikukuu njema le mabebz wote wa hapa MMU wakiongozwa na super le mbebz masai dada, miss neddy kichunafk sister ICHANA mamaafacebook Ennie Eshy m.s Kim nana Honey Faith Evelyn Salt Husninyo Preta farkhina na super le mutindiz wote.
Bila kuwasahau ma super men wa hapa kina utafiti Tyta mnengereko Dark City mzee mwenzangu wa mwaka 47 moto ni ule ule, Arushaone Mzee wa Rula PakaJimmy Filipo asakuta same na wengineo.
Walimu wangu snowhite na Madame B nawakumbuka sana mwaka.kesho ntaanza form one.
asante nawe pia (just jokes ya hapa kijiweni hakuna chochote)