Holiday Greetings, Tuma salaam

Holiday Greetings, Tuma salaam

BAK asante sana my dear ..
mi nilikwama kidogo ila nashukuru kwa wewe kutusalimu na kuturembea ukumbi.
Be blessed my dear .
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Thank you so much afrodenzi for this info, hujachelewa lakini ujue. Kila la heri.

BAK asante sana my dear ..
mi nilikwama kidogo ila nashukuru kwa wewe kutusalimu na kuturembea ukumbi.
Be blessed my dear .
 
Last edited by a moderator:
Ila siku mbili hizi pangekuwa na thread ya kutoa makavu laivu ningefurahi sana.


Kuna watu wawili watatu wamenikwaza ningewachana weee halafu yaishe nianze mwaka vizuri.
 
Ila siku mbili hizi pangekuwa na thread ya kutoa makavu laivu ningefurahi sana.


Kuna watu wawili watatu wamenikwaza ningewachana weee halafu yaishe nianze mwaka vizuri.


Nimekumiss sana Karucee
 
Last edited by a moderator:
Na mie ninapenda kusema Merry Xmass kwanza kwa mama wa mapacha wangu Paloma.. kisha kwa kiwatengu na mkewe shansarie.. Arushaone na ubavu wake Lady doctor.. Erickb52 na mkewe Chocs.. Bishanga na mkewe The secretary.. Mr Rocky na ubavu wake Dena Amsi.. my small house babe Passion Lady na kibuzi chake Ruttashobolwa.. Nivea (miss u cwry)..

Pia ziwafikie dada yangu Heaven on Earth (miss u sis).. KOKUTONA.. Preta.. marejesho.. Kaizer.. Mentor.. kabanga.. Bujibuji (mzee wa mtaroni).. DEMBA.. kingasti.. Evelyn Salt.. charming lady.. Tyta.. Mamndenyi (mama chama).. Mshana Jr.. lady furahia.. Madame B (mama wa saccos kadhaa).. Asnam.. Mpwa Elli.. Baba V (anatafutwa kokote alipo).. KakaKiiza.. Ennie.. Eiyer.. Vin Diesel (umebaniwa kona gani sku hizi)..? Avanti.. Excel.. Ablessed.. Karucee.. TANMO.. Khantwe.. Nazjaz.. miss chagga.. miss neddy.. Honey Faith.. YNNAH.. @gfsown..

Special greetings kwa Mtambuzi.. The Boss.. OKW BOBAN SUNZU.. Daudi Mchambuzi.. EMT.. Matola.. Nyani Ngabu.. Babu Asprin (hondo hondo mlezi wa wana) lara 1.. ASHA dii.. Kiranga.. Crashwise.. Safari_ni_Safari.. Kaunga. Jasusi.. figganigga.. watu8.. Mwita Maranya.. Abunuas.. Ben Saanane (ugua pole kamanda).. Kongosho.. christine ibrahim.. grafani11.. Dingswayo.. zumbemkuu.. BAK.. LIKUD.. Kibanga Ampiga Mkoloni.. Ndahani.. Jerrymsigwa.. MUSSOLIN.... faiza Fox..

Bila ya kusahau uongozi mzima wa JF tukianzia kwa Mr. Melon a pia Invisible pamoja na Paw na wengine wote ambao sijawataja hapa..

Ninawatakia sikukuu njema ya mwisho wa mwaka.. Ninashukuru sana kwa kuwa nyote hapa mmekuwa ni sehemu ya maisha yangu kwa mwaka huu unaoishia..

Merry Xmass Guys & Happy New Year..

happy new year to you sosoliso
 
Last edited by a moderator:
kiwatengu nilikuwa mpishi wa mbege wa mwaka huu nikashindwa kujibu mapema.. happy new year
 
Last edited by a moderator:
Natuma salam kwa babu yake ambae ni marehem
natuma salam kwa bibi yangu ambae ni marehm
natuma salam kwa mjomba ambae pia ni marehem

ujumbe ntakuja huo kuwatembelea mda sio mrefu
 
Last edited by a moderator:
thanks sana kwa salamu kiwatengu na mkeo...napenda kuwakumbuka kwa michango na jokes zao ,.holiday njema woote na MUNGU awape baraka zaid kwa mwaka ujao.. Mokoyo now umehamia kwa Khantwe jitahid mwakani mmpate mtoto,my special Tized Ntuzu upo kweli? bazazi mpo wapi siwaoni mwekundu Asprin n Kaizer best miss neddy, Honey Faith Dinazarde Tumboo Manka m miss chagga najiulza makani utajiita nani bet kan'tangaze
michango yenu ni muhimu sana Eiyer Watu 8 BAK MUNGU AWABARIK WOTE

Bazazi kaka yako.

Mi mtumishi wa Mungu usiniweke kwenye fungu la wadumisha mila...... Yani labda itokee tu.
 
nyooo mbona unanifuatilia kama fisi akifikir mkono utadondoka???
mila unaumisha sana na hizi sikukuu nadhani huna kitu

Bazazi kaka yako.

Mi mtumishi wa Mungu usiniweke kwenye fungu la wadumisha mila...... Yani labda itokee tu.
 
nyooo mbona unanifuatilia kama fisi akifikir mkono utadondoka???
mila unaumisha sana na hizi sikukuu nadhani huna kitu
Ukiona hivyo ujue ilitokea tu.... Yaani ukinifikiria na kunikubalia.... itatokea tu lakini...... ntakuwa sina jinsi.

Kwahiyo?
 
thanks sana kwa salamu kiwatengu na mkeo...napenda kuwakumbuka kwa michango na jokes zao ,.holiday njema woote na MUNGU awape baraka zaid kwa mwaka ujao.. Mokoyo now umehamia kwa Khantwe jitahid mwakani mmpate mtoto,my special Tized Ntuzu upo kweli? bazazi mpo wapi siwaoni mwekundu Asprin n Kaizer best miss neddy, Honey Faith Dinazarde Tumboo Manka m miss chagga najiulza makani utajiita nani bet kan'tangaze
michango yenu ni muhimu sana Eiyer Watu 8 BAK MUNGU AWABARIK WOTE

Ahsante my wiii nakutakia heri ya krismass na mwaka mpyaaaa
 
Last edited by a moderator:
Thanks sana my dia ICHANA.Juzi nilionana mmeo makoyo akaniambia mmeachana?Jamani hebu fanyeni utaratibu mrudiane nilikuwa naipenda sana couple yenu

Na wewe babu Asprin mbona hauonekaniki au umepata dogodogo anaeyekubana????
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom