Holiday Greetings, Tuma salaam

Holiday Greetings, Tuma salaam

mkweee Kim nana nmepokea salamu kwa mikono miwili nakutakia sikuu njema pia ila untumie ka mpesa nimpikie mchumba ako pilau na beberu!!!
salamu zingine zimfike Preta popote alipo, binti mwenye mivuto yake Husninyo, Khantwe nawe nakusalimu!!!
wazee wa pm kwa pamoja nawasalimu na kaka angu asakuta same nakutakia sikukuu njema mwayego naomba zawadi....
Hupati kitu hapa Dada Evelyn Salt....
Nashukuru kwa salam za sikukuu , na wewe pia zikufikie.
 
Last edited by a moderator:
Nawatakia sikukuu njema zenye upendo na Amani member wote wa jf especially MMU , siasa, chit chat, jlw , siasa na salam za kipekee kwa wale wote tulioungana kwa dhati kupinga dhuluma katika bunge la katiba na wizi wa escrow.
Nb; kwa yoyote atakayechinja beberu na kuweka mvinyo sikukuu hizi PM yangu ipo wazi kwao.
Shukrani.
 
salamu zangu za kwanza zimfikie mama yangu akiwa pale London.

salamu zangu za pili zimfikie baba yangu mzee kashangaki akiwa Miami USA

salamu zangu za tatu zimuendee kaka yangu akiwa pale st. Petersburg Russia

za mwisho zimuendee dada yangu da kiboga akiwa pale ruhrpott german

UJUMBE: nawapenda sana, tukumbukane kupitia JF.
 
mkweee Kim nana nmepokea salamu kwa mikono miwili nakutakia sikuu njema pia ila untumie ka mpesa nimpikie mchumba ako pilau na beberu!!!
salamu zingine zimfike Preta popote alipo, binti mwenye mivuto yake Husninyo, Khantwe nawe nakusalimu!!!
wazee wa pm kwa pamoja nawasalimu na kaka angu asakuta same nakutakia sikukuu njema mwayego naomba zawadi....

Eeeh Mkwee wee ushaanza kunichunaa...Haya usijali ntatuma pesa ya Ng'ombe kabisaaa... ntafanyaje na Dogo namtakaaa ...
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na kuwatakia heri ya sikukuu wana JF wote, hasa aliyeanzisha uzi huu.

Salaam maalum nazituma kwa Rugemalira kabla DPP hajafanya anayotaka kufanya.

Tayari nimefungua account mkombozi, pia napokea zawadi za sikukuu kwa mtindo ufuatao;

Zilizofungwa kwenye mabox ziwache chini ya mti uliopambwa pale ndani ya bank.

Zilizofungwa kwenye viroba, sandarusi na lumbesa napokelea pale mlimani city ili nianze matumizi hapohapo
 
Natuma Salamu kwa hawa wafuatao....
Descartes : U a the best I never had.....

Dinazarde ; Love u much my shostie....

Himidini ; U a such a nyc Friend....

Khantwe wa Ntuzu : just like u beautiful onyinyee

Heaven Sent my pachaaaa....

Le Super Pacha mwekundu

Sijamsahau Hubby mtarajiwa baby boy ake Evelyn Salt .....kubemendana ndo habari ya mjiniii....wapi mkweeee.....

farkhina , Angel Nylon Mrs Kharusy like u pipoz since napenda kulaaaa

mamDenyi thijakuthahauuu

Mwisho kwa mashabiki wooote wa Arsenal na Simbaaaa.....

Nawatakia Mwaka mpya uliojaa kheri na baraka...Mola atujaalie Afya njema, atufungulie milango ya mafanikio.....
Yeah... le sukari ya warembo mwekundu .......na best yake mwingine sugar Asprin aisee kuna watoto humu!! wanatugombania
 
Last edited by a moderator:
Natuma Salamu kwa hawa wafuatao....
Descartes : U a the best I never had.....

Dinazarde ; Love u much my shostie....

Himidini ; U a such a nyc Friend....

Khantwe wa Ntuzu : just like u beautiful onyinyee

Heaven Sent my pachaaaa....

Le Super Pacha mwekundu

Sijamsahau Hubby mtarajiwa baby boy ake Evelyn Salt .....kubemendana ndo habari ya mjiniii....wapi mkweeee.....

farkhina , Angel Nylon Mrs Kharusy like u pipoz since napenda kulaaaa

mamDenyi thijakuthahauuu

Mwisho kwa mashabiki wooote wa Arsenal na Simbaaaa.....

Nawatakia Mwaka mpya uliojaa kheri na baraka...Mola atujaalie Afya njema, atufungulie milango ya mafanikio.....


Asante sn Kim nana kwa salamu zako! Nawe pia kila lakheri Kim nana wangu!
 
Last edited by a moderator:
Salaam pia ziwafikie Mr Rocky (nakumbuka ahadi yangu kwako)
annito (ha ha am sorry for...)
Luv (uzidi kuwa kama jina la id yako huko 2015+)
Eiyer Mashaxizo Mapi everlenk (I wish)
narudi.
^^

Nakushukuru sana mkuu kwani nafurahi kusikia binadamu mwenzangu ananikumbuka kwa mema,Mungu akubariki sana

Mkuu,vipi umejipangaje kuuacha ukapera?

Mimi najipendekeza kwa 'Valentina' nione kama atanihifadhi ...lol!
 
Last edited by a moderator:
Nakushukuru sana mkuu kwani nafurahi kusikia binadamu mwenzangu ananikumbuka kwa mema,Mungu akubariki sana

Mkuu,vipi umejipangaje kuuacha ukapera?

Mimi najipendekeza kwa 'Valentina' nione kama atanihifadhi ...lol!

Ha ha ha! Siko mbali baba paroko, wifi yake wa karibu Kim nana shahidi.
^^
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom