Mkuu Bajabiri, hii inaitwa "negation"!, kukanusha kitu ambacho ni facts!.
Huwezu kukanusha hard facts ili tuu ku ji please nafsi yako!.
- CCM ni chama cha siasa chenye usajili wa kudumu, na ndicho chama klilichopata certficate of registration as Nambari One Tanzamnia political Party!. This is a fact, you can't deny it!, unless ni kujifurahisha!.
- CCM ndicho chama tawala Tanzania kwa sasa, uwe ulikichagua or not, CCM ndicho kinachotawala and this is a fact!, you can't deny it unless unajifurahisha!.
Mkuu Bajabiri na wengine, tujenge utamaduni wa kuwa wakweli toka kwenye nafsi zetiu kwa kuzikubali hard facts
kuwa CCM ni chama, kipo, ndicho chama tawala!, sasa suala la kuendelea kuwepo baada ya 2015, au kuendelea
kutawala baada ya 2015, hivyo ndio debatable subject subject based on political probabilities!.
P.