Mkuu Mzee Mwanakijiji, kwanza asante kwa sasa kukubali ukweli halisi kuwa determinant factor ya ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania, lies with mgombea wa CCM na ndio maana mimi siku zote nimempigania EL!, na nikasema wazi, kama sio yeye then ni Membe!.
Siku zote nimempigania EL nikiamini he is the one and only asset ya kuinusuru kifo CCM, 2015!. Lakini baada ya kuisoma ile "safety net" ya bilioni 400, nimekubali matokeo kuwa 2015, ni CCM tena, with or without EL!. Hivyo by now EL is not an asset anymore!, has turned into a liability, just waiting to be dispossed off!. Mimi niliamini wange tumia nyundo ya ujumbe wa NEC kumcrush off!, kumbe wamerealise wafuasi wake lukuki!, the need them kwanza awa rally behind Membe ndipo "disposal" process ifuatie!.
Kwanye ule mtandao wa JK wa 2005, RA was not the brain behind, he was just a "cash cow"!. Kinana was just a figure head!, there were "the opparatives" who were the "think tank"!. Nikiwa Dodoma juzi kwenye budget ya Membe, nimewaona hawa "opperatives" wamesha ji "line up" behind Membe!.
Miongoni mwa silaha kubwa kabisa za kutumia ni "the control" of "print media"!. Ile elevation ya "mwana jf mwenzetu" aliyoipata toka "mbeba mikoba wa Membe" turned into a "print media regulator", "overningt"!, sio kwa mahati mbaya, its a part of the plan!. With "print media" on safe hands!, e-media doesnt matter much!. The the man for 2015 is "Membe"!.
Nawashauri, wale wote, wenye mapenzi mema na taifa hili, lets rally behind EL, or Membe for CCM candidate, 2015, ili taifa letu lipate, ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania!.
EL for 2015!, if not then Membe!.
Pasco.