HOJA MBADALA: Tuhamasishe CCM imsimamishe Membe 2015?

Ukiangalia sana kati ya viongozi wengi wa CCM na walioko serrikalini Membe ndiye anayeonekana kuja kuweza kumudu kuwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia chama hicho. Ukimlinganisha na wagombea wengine (hasa Lowassa aliyejiuzulu kwa kashfa) ni Membe tu ambaye anaonekana kulindwa na mlolongo mkubwa wa kashfa mbalimbali na japo - kama nilivyosema wiki kadhaa nyuma - hajajiandaa kuwa Rais ni wazi miaka hii miwili iliyobakia inaweza kumsaidia kujitengenezea na kuwa a true "presidential candidate"

CCM ikimsimamisha Membe kama mgombea wake inaweza kuwa na nafasi ya kushinda tena kiti cha Urais; wakimsimamisha mtu mwingine yeyote itakuwa ni mwisho wa utawala wa CCM.

Ni kweli?
Mzee mwanakijiji hapa umechemsha kabisa. Kama kigezo ni kashfa na wala si uwezo basi tunaweza kupata raisi ambaye atakuwa dhaifu sana kushinda hata huyu tuliyenaye kwa sasa. Kumbuka huyu tuliyenaye sasa wapambe wake walimnadi kuwa ni mtu safi hana kashfa za kutisha.
Binafsi natamani raisi ajaye awe ana uwezo mkubwa sana wa kuongoza kwani atakuwa ana mambo mengi sana ya kutekeleza ukizingatia nchi yetu ipo nyuma sana kwa maendeleo. Huyu aliyepo sasa hajafanya mambo mengi sana, kwa hiyo ajaye inabidi akave na haya aliyeyaacha huyu wa sasa.
Kwa mantiki hii basi tusiangalie sana usafi wa mtu kwani kuwa safi bila kuwa na uwezo ni hatari sana kuwa na raisi wa namna hiyo. Inabidi awe na uwezo mkubwa sana wa kuwajibika kama raisi na pia awe mtu anayechukia sana rushwa.
Kama ni usafi basi atatufaa tena kama waziri ifikapo 2015 na wala si uraisi. Kumbuka ndugu yangu mzee mwanakijiji, uraisi ni mzigo mzito sana. Uraisi anahitajika mtu ambaye ni hodari na mchapakazi na pia jasiri sana wa kukemea maovu.
Mh Membe si mtu wa aina hiyo kabisa. Ni kweli unampenda sana mh membe lakini huna haja ya kumpigia debe awe raisi. Jaribu kuweka mbele maslahi ya taifa na upenzi weka kando kabisa. Hii ni nchi yetu sote, hivyo ni jukumu letu sisi kuipigania iweze kusonga mbele. Tulishakosea kwa huyu tuliyenaye kwa njia hii hii ya kuwalaghai wananchi kuwa wamchague kwani ni mtu safi. Sasa tunapiga kelele hana uwezo. Kuwa mtu safi haimaanishi kuwa basi wewe unaweza kuwa raisi. Uraisi unataka mtu safi na sifa nyingine za msingi nyingi sana.
Hitimisho langu mimi kama mtanzania ninayeipenda sana nchi yangu, mh membe hafai kabisa kuwa raisi. Kama ni uwaziri basi angoje 2015 atakayeingia madarakani ampe huo uwaziri.
Tuache ushabiki usio na tija kwa maslahi ya taifa letu. Tuijenge tanzania yetu kwa kuepeuka ushabiki na mapenzi kwa mtu au kikundi cha watu ili mradi tu anakupatia maslahi yako.
Je maslahi ya taifa nani anayapigania? Chukua hatua ndugu na amka katika usingizi huo mbaya na hatari sana kwa taifa letu.
 
Mzee Mwanakijiji,
Sintopendekeza mtu isipokuwa kwa manufaa ya taifa na japokuwa Membe ni kichwa, muweza ukiachana na habari za Ufisadi wake maana huko CCM hakuna msafi kihivyo. Wayahudi walilaaniwa tena na Mungu mwenyewe lakini bado wanaitawala dunia.

Hivyo pamoja na utetezi wako bado nakuhakikishia kwamba CCM wataweza tu kushindana ikiwa watamsimamisha Asha Rose Migiro na hii itatokana na WANAWAKE kutumia kauli mbiu ya TUKIWEZESHWA TUNAWEZA. Itakuwa sio swala la chama bali wanawake against the rest...Na amini maneno yangu watu hawatatazama tena nyuma wala kutazama uwezo wa AshaRose isipokuwa ni mageuzi ambayo kwao yatawalemaza akili..

Kwa upande wa ushindani na hasa Chadema wanatakiwa kuanza mapema sana kumtafuta na kumwandaa mgombea japo kwa siri lakini nawatahadharisha mapema - KAZI IPO 2015 wajipange mapema na vizuri sana laa sivyo itakuwa aibu maana elimu ya Uraia haijazama vichwani mwa wananchi hivyo SHIDA na MATATIZO yanatangulia Mapenzi yao..
Mkuu Mkandara, alielala, usimwamshe!, ukimwamsha, utalala wewe!. Kama na wewe ni miongoni mwa wanaotaka ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania ile 2015!, please dont bring to the sptlight these "spotless names", they are not good kwa ukombozi!.

Ndio maana siku zote, nimekuwa nayaepuka majina kama ya kina Dr. Shein, Nahodha, Prof. Tibaijuka, Dr. Asha Rose, and the like!, these names are not good at all!.
P.
 
Mkuu Mkandara, alielala, usimwamshe!, ukimwamsha, utalala wewe!. Kama na wewe ni miongoni mwa wanaotaka ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania ile 2015!, please dont bring to the sptlight these "spotless names", they are not good kwa ukombozi!.

Ndio maana siku zote, nimekuwa nayaepuka majina kama ya kina Dr. Shein, Nahodha, Prof. Tibaijuka, Dr. Asha Rose, and the like!, these names are not good at all!.
P.
Mkuu wangu huwezi kuepuka ukweli kwamba CCM tayari wameisha anza maandalizi... Pengine wewe huyaoni ama siku hizi uko mbali sana na vijiwe vya Mujini..Kama mwanachama wa CDM ni lazima nitoe tahadhari japokuwa sina ushahidi lakini bora kabisa tujiandae kwa ushindani mkubwa sana na sio kudhania kwamba CCM imeshakufa ushindi ni dhahiri - Hakuna kitu hiyo! CCM wanajipanga japokuwa kuna makundi lakini inapofikia swala la uchaguzi mkuu tena kupitia sanduku la kura acha bana!..Kanuni ya chama inasisitiza ushindi kwa njia yoyote ile ni LAZIMA..
 
Mzee Mwanakijiji,
Sintopendekeza mtu isipokuwa kwa manufaa ya taifa na japokuwa Membe ni kichwa, muweza ukiachana na habari za Ufisadi wake maana huko CCM hakuna msafi kihivyo. Wayahudi walilaaniwa tena na Mungu mwenyewe lakini bado wanaitawala dunia.

Hivyo pamoja na utetezi wako bado nakuhakikishia kwamba CCM wataweza tu kushindana ikiwa watamsimamisha Asha Rose Migiro na hii itatokana na WANAWAKE kutumia kauli mbiu ya TUKIWEZESHWA TUNAWEZA. Itakuwa sio swala la chama bali wanawake against the rest...Na amini maneno yangu watu hawatatazama tena nyuma wala kutazama uwezo wa AshaRose isipokuwa ni mageuzi ambayo kwao yatawalemaza akili..

Kwa upande wa ushindani na hasa Chadema wanatakiwa kuanza mapema sana kumtafuta na kumwandaa mgombea japo kwa siri lakini nawatahadharisha mapema - KAZI IPO 2015 wajipange mapema na vizuri sana laa sivyo itakuwa aibu maana elimu ya Uraia haijazama vichwani mwa wananchi hivyo SHIDA na MATATIZO yanatangulia Mapenzi yao..

Nafikiri unasahau kitu kimoja na ni kosa watu wengi sana Duniani wanafanya wewe sio wa kwanza watu wengi hufikiri kwamba ukimsimamisha mwanamke basi atashinda kwa maana wanawake wote wataungana nae kama mwenzao, hiyo sio kweli na haijawahi kufanikiwa mahali popote Duniani, mara nyingi imekuwa ukiweka mgombea wa kike wanawake ndio wanakuwa wa kwanza kumpinga na kura nyingi huwa zinatoka kwa wanaume na sio wanawake wenzake, kwa hiyo kama wakimsimamisha Bib. Migiro kwa kigezo cha ufanisi wake hapo labda sawa lakini wakimsimamisha kwa kigezo cha uanamke wake hatopata hata nusu ya kura zinazohitajika kwa yeye kushinda!

 
Nafikiri unasahau kitu kimoja na ni kosa watu wengi sana Duniani wanafanya wewe sio wa kwanza watu wengi hufikiri kwamba ukimsimamisha mwanamke basi atashinda kwa maana wanawake wote wataungana nae kama mwenzao, hiyo sio kweli na haijawahi kufanikiwa mahali popote Duniani, mara nyingi imekuwa ukiweka mgombea wa kike wanawake ndio wanakuwa wa kwanza kumpinga na kura nyingi huwa zinatoka kwa wanaume na sio wanawake wenzake, kwa hiyo kama wakimsimamisha Bib. Migiro kwa kigezo cha ufanisi wake hapo labda sawa lakini wakimsimamisha kwa kigezo cha uanamke wake hatopata hata nusu ya kura zinazohitajika kwa yeye kushinda!

Unajua nguvu ya UMOJA WA WANAWAKE (UWT -CCM) ktk utawala wa kiafrika?.. Sii swla la wanawake kumshabikia AshaRose bali nguvu ya UWT mikoani ndio itamwezesha..Hivi unajua kwamba JK amewez akupata kura nyingi mwaka 2010 kupitia ushawishi mkubwa wa UWT..Mkuu wangu, Kuna majina mawili tu sasa hivi - Membe na AshaRose tusipuuze hata mojawapo..
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji, kwanza asante kwa sasa kukubali ukweli halisi kuwa determinant factor ya ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania, lies with mgombea wa CCM na ndio maana mimi siku zote nimempigania EL!, na nikasema wazi, kama sio yeye then ni Membe!.

Siku zote nimempigania EL nikiamini he is the one and only asset ya kuinusuru kifo CCM, 2015!. Lakini baada ya kuisoma ile "safety net" ya bilioni 400, nimekubali matokeo kuwa 2015, ni CCM tena, with or without EL!. Hivyo by now EL is not an asset anymore!, has turned into a liability, just waiting to be dispossed off!. Mimi niliamini wange tumia nyundo ya ujumbe wa NEC kumcrush off!, kumbe wamerealise wafuasi wake lukuki!, the need them kwanza awa rally behind Membe ndipo "disposal" process ifuatie!.

Kwanye ule mtandao wa JK wa 2005, RA was not the brain behind, he was just a "cash cow"!. Kinana was just a figure head!, there were "the opparatives" who were the "think tank"!. Nikiwa Dodoma juzi kwenye budget ya Membe, nimewaona hawa "opperatives" wamesha ji "line up" behind Membe!.

Miongoni mwa silaha kubwa kabisa za kutumia ni "the control" of "print media"!. Ile elevation ya "mwana jf mwenzetu" aliyoipata toka "mbeba mikoba wa Membe" turned into a "print media regulator", "overningt"!, sio kwa mahati mbaya, its a part of the plan!. With "print media" on safe hands!, e-media doesnt matter much!. The the man for 2015 is "Membe"!.

Nawashauri, wale wote, wenye mapenzi mema na taifa hili, lets rally behind EL, or Membe for CCM candidate, 2015, ili taifa letu lipate, ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania!.

EL for 2015!, if not then Membe!.

Pasco.

watanzania hawazungumzii kuinusuru CCM,wanazungumzia kuinusuru TANZANIA,so unamtaka Lowasa aje kuinusuru ccm,???si chama
 
Mwanakijiji you are very wrong! Bora Lowassa mara mia kuliko mnafiki membe.
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji, kwanza asante kwa sasa kukubali ukweli halisi kuwa determinant factor ya ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania, lies with mgombea wa CCM na ndio maana mimi siku zote nimempigania EL!, na nikasema wazi, kama sio yeye then ni Membe!.

Siku zote nimempigania EL nikiamini he is the one and only asset ya kuinusuru kifo CCM, 2015!. Lakini baada ya kuisoma ile "safety net" ya bilioni 400, nimekubali matokeo kuwa 2015, ni CCM tena, with or without EL!. Hivyo by now EL is not an asset anymore!, has turned into a liability, just waiting to be dispossed off!. Mimi niliamini wange tumia nyundo ya ujumbe wa NEC kumcrush off!, kumbe wamerealise wafuasi wake lukuki!, the need them kwanza awa rally behind Membe ndipo "disposal" process ifuatie!.

Kwanye ule mtandao wa JK wa 2005, RA was not the brain behind, he was just a "cash cow"!. Kinana was just a figure head!, there were "the opparatives" who were the "think tank"!. Nikiwa Dodoma juzi kwenye budget ya Membe, nimewaona hawa "opperatives" wamesha ji "line up" behind Membe!.

Miongoni mwa silaha kubwa kabisa za kutumia ni "the control" of "print media"!. Ile elevation ya "mwana jf mwenzetu" aliyoipata toka "mbeba mikoba wa Membe" turned into a "print media regulator", "overningt"!, sio kwa mahati mbaya, its a part of the plan!. With "print media" on safe hands!, e-media doesnt matter much!. The the man for 2015 is "Membe"!.

Nawashauri, wale wote, wenye mapenzi mema na taifa hili, lets rally behind EL, or Membe for CCM candidate, 2015, ili taifa letu lipate, ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania!.

EL for 2015!, if not then Membe!.

Pasco.

watanzania hawazungumzii kuinusuru CCM,wanazungumzia kuinusuru TANZANIA,so unamtaka Lowasa aje kuinusuru ccm,???si chama
 
Unajua nguvu ya UMOJA WA WANAWAKE (UWT -CCM) ktk utawala wa kiafrika?.. Sii swla la wanawake kumshabikia AshaRose bali nguvu ya UWT mikoani ndio itamwezesha..Hivi unajua kwamba JK amewez akupata kura nyingi mwaka 2010 kupitia ushawishi mkubwa wa UWT..Mkuu wangu, Kuna majina mawili tu sasa hivi - Membe na AshaRose tusipuuze hata mojawapo..

Hayo unayoyasema kuhusu nguvu ya UWT ni sawa kabisa lakini hayo ni mambo ya kisiasa na mimi naongelea mambo ya kisaikolojia wanawake siku zote huwa hawasupport mgombea kwa nguvu zote kwa kuwa tu ni mwanamke mifano iko mingi kuanzia kwa Bib. Hilary Clinton na Bw.Obama mpaka Hilary alikuwa analia ili kupata huruma ya wanawake lakini wapi haya twende Liberia kwa huyu role Model wa Bib. Migiro, Bib. Sirleaf uchaguzi wake wa kwanza pamoja na kampeni zote za nje na ndani ya Liberia lakini bado hakufurukuta sana kwa Bw.George Weah na waligawana kura karibu sawa na wengine hata kusema kwama Bw. Weah alishinda.

Na hiyo ni chemistry ya Wanawake na hamna kitu unaweza kufanya kubadilisha hilo, kwa hiyo hao UWT watapiga kampeni wanavyotaka lakini likija kwenye kupiga kura utaona mwenyewe kwa hiyo hapo wakiwa clever CCM waonyeshe uwezo wake na wajaribu kumfanya akubalike na Wanaume hapo watakuwa wamefanikiwa kwani Wanawake huwa wana tabia ya kufwata wanaume wanachopenda kinyume na hapo wataanguakia pua!
 
Kama ni ndani ya CCM sitegemei kama kuna mwenye uwezo wa kumsaidia Mtz wa kawaida labda hajazaliwa. Matatizo haya yametengenezwa na mfumo huu huu wa thithiemu so hayawezi kuondolewa na yeyote ndani ya chama hiki!
 
watanzania hawazungumzii kuinusuru CCM,wanazungumzia kuinusuru TANZANIA,so unamtaka Lowasa aje kuinusuru ccm,???si chama
Mkuu Bajabiri, hii inaitwa "negation"!, kukanusha kitu ambacho ni facts!.
Huwezu kukanusha hard facts ili tuu ku ji please nafsi yako!.
  1. CCM ni chama cha siasa chenye usajili wa kudumu, na ndicho chama klilichopata certficate of registration as Nambari One Tanzamnia political Party!. This is a fact, you can't deny it!, unless ni kujifurahisha!.
  2. CCM ndicho chama tawala Tanzania kwa sasa, uwe ulikichagua or not, CCM ndicho kinachotawala and this is a fact!, you can't deny it unless unajifurahisha!.

Mkuu Bajabiri na wengine, tujenge utamaduni wa kuwa wakweli toka kwenye nafsi zetiu kwa kuzikubali hard facts
kuwa CCM ni chama, kipo, ndicho chama tawala!, sasa suala la kuendelea kuwepo baada ya 2015, au kuendelea
kutawala baada ya 2015, hivyo ndio debatable subject subject based on political probabilities!.


P.
 
Hayo unayoyasema kuhusu nguvu ya UWT ni sawa kabisa lakini hayo ni mambo ya kisiasa na mimi naongelea mambo ya kisaikolojia wanawake siku zote huwa hawasupport mgombea kwa nguvu zote kwa kuwa tu ni mwanamke mifano iko mingi kuanzia kwa Bib. Hilary Clinton na Bw.Obama mpaka Hilary alikuwa analia ili kupata huruma ya wanawake lakini wapi haya twende Liberia kwa huyu role Model wa Bib. Migiro, Bib. Sirleaf uchaguzi wake wa kwanza pamoja na kampeni zote za nje na ndani ya Liberia lakini bado hakufurukuta sana kwa Bw.George Weah na waligawana kura karibu sawa na wengine hata kusema kwama Bw. Weah alishinda.

Na hiyo ni chemistry ya Wanawake na hamna kitu unaweza kufanya kubadilisha hilo, kwa hiyo hao UWT watapiga kampeni wanavyotaka lakini likija kwenye kupiga kura utaona mwenyewe kwa hiyo hapo wakiwa clever CCM waonyeshe uwezo wake na wajaribu kumfanya akubalike na Wanaume hapo watakuwa wamefanikiwa kwani Wanawake huwa wana tabia ya kufwata wanaume wanachopenda kinyume na hapo wataanguakia pua!
Mama Clinton na huyo wa Liberia walikuwa na UMOJA wa WANAWAKE nyuma yao?...Tunazungumzia Uwezekano wa AshaRose Migiro kuwa mwiba ktk uchaguzi wetu na sababu nimezisema, sasa huyu Hilary ambaye katumia UKE wake kuwa kikwazo unadhani wanawake wengine watamwelewa. Ni UWT watakao muuza AshaRose kwa wananchi na hii lazima itabadilisha sana mwelekeo wa wapiga kura kwa sababu atawakilisha wanawake na hatari yake tunaiona kama alivyokuwa akiuzwa mama Mongela. Ni muhimu kujipanga kutanguliza SERA mbele ya ushandani utakao tukabiri maana itakuwa hivyo..
 
Ukiangalia sana kati ya viongozi wengi wa CCM na walioko serrikalini Membe ndiye anayeonekana kuja kuweza kumudu kuwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia chama hicho. Ukimlinganisha na wagombea wengine (hasa Lowassa aliyejiuzulu kwa kashfa) ni Membe tu ambaye anaonekana kulindwa na mlolongo mkubwa wa kashfa mbalimbali na japo - kama nilivyosema wiki kadhaa nyuma - hajajiandaa kuwa Rais ni wazi miaka hii miwili iliyobakia inaweza kumsaidia kujitengenezea na kuwa a true "presidential candidate"

CCM ikimsimamisha Membe kama mgombea wake inaweza kuwa na nafasi ya kushinda tena kiti cha Urais; wakimsimamisha mtu mwingine yeyote itakuwa ni mwisho wa utawala wa CCM.

Ni kweli?

Kwa ccm, tatizo siyo tuu ni nani mmoja anakuwa rais, tatizo ni chama chote kimeoza!!
 
Kwa usalama wa hii nchi urais apewe Shibuda. Huyu ndio atatutoa kwenye umasikini na kuifanya Tanzania kuwa kama Sweden.
 
Mama Clinton na huyo wa Liberia walikuwa na UMOJA wa WANAWAKE nyuma yao?...Tunazungumzia Uwezekano wa AshaRose Migiro kuwa mwiba ktk uchaguzi wetu na sababu nimezisema, sasa huyu Hilary ambaye katumia UKE wake kuwa kikwazo unadhani wanawake wengine watamwelewa. Ni UWT watakao muuza AshaRose kwa wananchi na hii lazima itabadilisha sana mwelekeo wa wapiga kura kwa sababu atawakilisha wanawake na hatari yake tunaiona kama alivyokuwa akiuzwa mama Mongela. Ni muhimu kujipanga kutanguliza SERA mbele ya ushandani utakao tukabiri maana itakuwa hivyo..

Sawa wacha niseme kwamba tuna mawazo tofauti juu ya hili (ndio demokrasia yenyewe hiyo) labda hatujaelewana na tunaongelea vitu viwili tofauti! Tukubali kutofautiana!
 
Membe hana tofauti na jk, na yeye ni muumini mzuri wa huu upepo utapita na kufuata penye wengi, tunahitaji mtu kama nduli eid amini dadaa ili kurejesha nidhamu na hadhi ya uongozi ambayo kikwete kaipoteza kwa kuendekeza ushkaji na uswahiba wa kugawiana vyeo kwenye ofis za umma kama vile tz ni mali ya babaake
 
Back
Top Bottom