Uchaguzi 2020 Hoja binafsi: Jaji Kaijage apongezwe kwa busara zake zilizombeba Tundu Lissu, busara zaidi itumike kuepuka sintofahamu za makusudi kwenye Uchaguzi

Kwani uliwahi kumuona au kumsikia kwamba leo kaenda Tanga,Arusha, Mbeya, Mara,Kagera kutafuta wadhamini? Miimi siwafanyi wajinga kama Lissu anavyowafanya wajinga kwa kujifanya yeye tu ndo anaona Magufuli alichofanikiwa ni Kujenga Uwanja wa Ndege Chato na kuanzisha mbuga ya anyama Buligi wakati Watanzania wote tunaona yote aliyoyafanya ambayo hayaelezeki
Yapi ambayo kakufanyia unogopa kutueleza? Ama kakupiga pump?
 
Hapo sasa; ni waTanzania wachache, nasema wachache, tena wachache mno wenye matatizo ya akili watakaompa Lisu kura. Chadema jiandaeni kwa aibu ya karne mtajua jinsi ambavyo Mlema ana akili kuwazidi.
Jipe furaha mwenyewe ewe usiye na matumaini ya kupata furaha.
 
Jaji Kaijage Ni Jaji hasa alichokifanya Chadema hawaamini macho Yao kapangua mipango ya Chadema kisayansi kamati kuu
Chadema walikuwa ndumila kuwili walikuwa hawamtaki Lisu awe mgombea uraisi walimtaka Nyalandu na hawakutaka arudi

Kinafiki wakampitisha ili kukiondoa lawama apigiwe kura baraza kuu wakiamini Nyalandu kafanya kampeni ya kutosha atamshinda lakini baraza kuu likapiga kura za kinafiki pia kumpitisha wakijua kuwa Tume ya uchaguzi watamwengua tu ndio maana kukawepo kelele za kinafiki za akina Mbowe kutishia tume kuwa isimwengue Lisu wakitaka na sababu kumbe lengo lilikuwa kuiambia tume mwengueni huyo Lisu kwa sababu hizi!!! Chadema viongozi wa juu wakishaingia makubaliano ya Siri na ACT wazalendo kuwa Lisu akienguliwa wamuunge mkono Membe ambaye kwao ni mtu mwenye pesa ambaye angesaidia Chadema kifedha na kulipa chama influence Zanzibar sababu ya kuwa na Maaalim Seif

Tumaini la mwisho lililokuwa limesalia kwa Chadema kuhusu kukatwa jina lilibaki kwa NEC

Jaji Kaijage kapeleka kilio kwa CHADEMA kwa kuwapa my wasiyemtaka kakwepa zigo walilomtupia ili wajikoshe kuwa ni msajili ndio kamkakata sio wao Chadema

Kifupi Lisu wasiyemtaka huyo kaja kazi kwao
Nini kitakachoendelea Baada ya Lisu kuteuliwa ? Ni kuwa atapata supposed ndogo Sana ya kifedha na ki kampeni toka kwa Viongozi wa chadema kwa kisingizio kuwa na wao wako kwenye kampeni kwenye majimbo Yao hivyo apambane na hali yake yeye Kama yeye binafsi .Hivyo aniandae kwa kazi nzito ya kuji ratibia mwenyewe mikutano yake na hapo ndipo.penye kazi kubwa kunahitajika timu.kubwa mno ya watu wengi vifaa vingi na gharama kubwa Sio utani

Namuona Lisu Kama mgombea binafsi asiye na support ya chama ndani ya Chadema ambaye kila kitu atajitegemea mwenyewe kwenye kampeni sababu chama pia hakina hela na Viongozi wengine wanapigania majimbo.yao

Jaji Kaijage katibua mipango yote ya ACT wazalendo na Chadema kwa mpigo kwa kumpitisha Lisu

Unaongeza utoto gani dogo?
 
Sasa hivi yanagharamiwa na ruzuku za chadema labda na michango ya baadhi ya Wanachadema, baada ya Uchaguzi chadema kitafifia sana kwa kushindwa vibaya na mwishowe kugawana fito, je nani atalipia anasa?

Natabiri Ugomvi mkubwa kuzuka na kusalitiana, kuna sababu kwa nini Viongozi wa chadema hawataki kujenga Ofisi nzuri na ya kudumu, ...
Shetani utamjua tu, Lissu nmhategemei salary wala ruzuku na ndio maana kwa kutumia ujuzi wake, muda wake na maarifa yake, aliweza kusimamia na kuwatoa gerezani wananchi 460 kama wakili, bila kudai hata senti tano, huu unyama ulifanywa na serikali yako ya CCM
 
Jaji Kaijage na team yake ya Tume ya uchaguzi kama si busara zao za kukubali kufanya uhakiki wa wadhamini wa mgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA Mhe. Tundu Lissu jambo ambalo kikanuni lilipaswa kufanyika kwenye ofisi za majimbo za Tume ya Uchaguzi basi ni dhahiri Lissu alitakiwa kutopitishwa na Tume.

Ajabu ni kwamba Mhe Tundu Lissu hakufanya hivyo iwezekana hakujua ama alijua Ila tu ni kiburi na kutaka kuonyesha umwamba mbele ya Tume ya Uchaguzi. Kikawaida hapa alitakiwa kukatwa moja kwa moja kwasababu tayari ameshavunja kanuni lakini busara za Tume zimembeba.

Mwanasheria makini msomi na mjuaji kama Tundu Lissu unawezaje kuvunja kanuni muhimu kama hii? Je hapo angakuta baadhi ya wadhamini ni hewa ingekuwaje ?

Hii inatoa picha kuwa kuna tatizo kubwa sana kwa hawa wagombea wa CHADEMA kwenye utaratibu wa ujazaji wa fomu za Ubunge na udiwani. Hawa wagombea wa ccm wanao pita bila kupigwa si kwamba ni mchezo mchafu wa CCM bali ni uzembe unao fanywa na wagombea wenyewe wa CHADEMA.

Kama imewezekana kwa Rais mtarajiwa kufanya kosa la kiufundi kama hili kwa wabunge je haitakuwaje?

Kama Lissu angekatwa na Tume asingekuwepo wa kulaumiwa makosa ni yake mwenyewe.
Kisha CHADEMA bila aibu wanakuja kusema hivi


Kibaya zaidi mhe Tundu Lissu bila kujali busara zilizotumiwa na Tume bado ametoa lawama nyingi kuwa kwanini amekalishwa masaa mengi kwenye uhakika wakati mhe Rais Magufuli alitumia muda mchache Kama ilivyopangwa.
Pengine kaijage alisoma upepo akabadili gia Angani kwa kuomba ruksa toka kwa Mtukufu mwenyekiti wa CCM Taifa hapo chamwino, ujue sasa NECCCM Tumeccm hawafanyi kazi kwa mujibu wa Sheria bali wanafanya kazi kwa mujibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM hii ndiyo Tumeccm inayotumika kutangaza matokeo October 28 bado watanzania wanajiuliza maswali mengi kichwani.
 
Jaji Kaijage na team yake ya Tume ya uchaguzi kama si busara zao za kukubali kufanya uhakiki wa wadhamini wa mgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA Mhe. Tundu Lissu jambo ambalo kikanuni lilipaswa kufanyika kwenye ofisi za majimbo za Tume ya Uchaguzi basi ni dhahiri Lissu alitakiwa kutopitishwa na Tume.

Ajabu ni kwamba Mhe Tundu Lissu hakufanya hivyo iwezekana hakujua ama alijua Ila tu ni kiburi na kutaka kuonyesha umwamba mbele ya Tume ya Uchaguzi. Kikawaida hapa alitakiwa kukatwa moja kwa moja kwasababu tayari ameshavunja kanuni lakini busara za Tume zimembeba.

Mwanasheria makini msomi na mjuaji kama Tundu Lissu unawezaje kuvunja kanuni muhimu kama hii? Je hapo angakuta baadhi ya wadhamini ni hewa ingekuwaje ?

Hii inatoa picha kuwa kuna tatizo kubwa sana kwa hawa wagombea wa CHADEMA kwenye utaratibu wa ujazaji wa fomu za Ubunge na udiwani. Hawa wagombea wa ccm wanao pita bila kupigwa si kwamba ni mchezo mchafu wa CCM bali ni uzembe unao fanywa na wagombea wenyewe wa CHADEMA.

Kama imewezekana kwa Rais mtarajiwa kufanya kosa la kiufundi kama hili kwa wabunge je haitakuwaje?

Kama Lissu angekatwa na Tume asingekuwepo wa kulaumiwa makosa ni yake mwenyewe.
Kisha CHADEMA bila aibu wanakuja kusema hivi


Kibaya zaidi mhe Tundu Lissu bila kujali busara zilizotumiwa na Tume bado ametoa lawama nyingi kuwa kwanini amekalishwa masaa mengi kwenye uhakika wakati mhe Rais Magufuli alitumia muda mchache Kama ilivyopangwa.
Wewe ni mjinga hao wote waliopitishwa hakuna aliehakikiwa na sheria inataka wote mrudishe siku moja
 
Jaji Kaijage na team yake ya Tume ya uchaguzi kama si busara zao za kukubali kufanya uhakiki wa wadhamini wa mgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA Mhe. Tundu Lissu jambo ambalo kikanuni lilipaswa kufanyika kwenye ofisi za majimbo za Tume ya Uchaguzi basi ni dhahiri Lissu alitakiwa kutopitishwa na Tume.

Ajabu ni kwamba Mhe Tundu Lissu hakufanya hivyo iwezekana hakujua ama alijua Ila tu ni kiburi na kutaka kuonyesha umwamba mbele ya Tume ya Uchaguzi. Kikawaida hapa alitakiwa kukatwa moja kwa moja kwasababu tayari ameshavunja kanuni lakini busara za Tume zimembeba.

Mwanasheria makini msomi na mjuaji kama Tundu Lissu unawezaje kuvunja kanuni muhimu kama hii? Je hapo angakuta baadhi ya wadhamini ni hewa ingekuwaje ?

Hii inatoa picha kuwa kuna tatizo kubwa sana kwa hawa wagombea wa CHADEMA kwenye utaratibu wa ujazaji wa fomu za Ubunge na udiwani. Hawa wagombea wa ccm wanao pita bila kupigwa si kwamba ni mchezo mchafu wa CCM bali ni uzembe unao fanywa na wagombea wenyewe wa CHADEMA.

Kama imewezekana kwa Rais mtarajiwa kufanya kosa la kiufundi kama hili kwa wabunge je haitakuwaje?

Kama Lissu angekatwa na Tume asingekuwepo wa kulaumiwa makosa ni yake mwenyewe.
Kisha CHADEMA bila aibu wanakuja kusema hivi


Kibaya zaidi mhe Tundu Lissu bila kujali busara zilizotumiwa na Tume bado ametoa lawama nyingi kuwa kwanini amekalishwa masaa mengi kwenye uhakika wakati mhe Rais Magufuli alitumia muda mchache Kama ilivyopangwa.

Naona unataka kulazimisha ionekane tume inafanya kwa wema, huku ina idadi ya wapiga kura ya kupika.
 
Wewe ni mjinga hao wote waliopitishwa hakuna aliehakikiwa na sheria inataka wote mrudishe siku moja
Vyama vingine hata CCM hawakuhakiki chochote walipitisha tu lakini ilipofika zamu ya chadema zikaanza figisu figisu wakipokea Simu toka kwa polepole aliyepewa maagizo na mtukufu awakomoe chadema lazima nafsi zikawasuta ikabidi wampigie magoti mtukufu wamuombe ruksa kutenda haki jana na Leo watest hujuma ingine haramu kwa Tundu lisu kupitia pingamizi litalowekwa na Shibuda na Lipumba na wenzao ambao tayari wamepokea pesa nyingi tokea juzi kwa mujibu wa Le mutuz ambaye ni mojawapo wa madalali wa huo mchongo haramu wa kishetani.
 
Naona unataka kulazimisha ionekane tume inafanya kwa wema, huku ina idadi ya wapiga kura ya kupika.
Yule mama wa Tumeccm aliyevaa miwani na kilemba kichwani mwenye sura pana mbaya ndiyo mchawi mkubwa wa chadema, leo anaendelea na hujuma zaidi ni vyema tuendelee kumuomba mungu ushetani wao ufeli zaidi.
 
Jaji Kaijage na team yake ya Tume ya uchaguzi kama si busara zao za kukubali kufanya uhakiki wa wadhamini wa mgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA Mhe. Tundu Lissu jambo ambalo kikanuni lilipaswa kufanyika kwenye ofisi za majimbo za Tume ya Uchaguzi basi ni dhahiri Lissu alitakiwa kutopitishwa na Tume.

Ajabu ni kwamba Mhe Tundu Lissu hakufanya hivyo iwezekana hakujua ama alijua Ila tu ni kiburi na kutaka kuonyesha umwamba mbele ya Tume ya Uchaguzi. Kikawaida hapa alitakiwa kukatwa moja kwa moja kwasababu tayari ameshavunja kanuni lakini busara za Tume zimembeba.

Mwanasheria makini msomi na mjuaji kama Tundu Lissu unawezaje kuvunja kanuni muhimu kama hii? Je hapo angakuta baadhi ya wadhamini ni hewa ingekuwaje ?

Hii inatoa picha kuwa kuna tatizo kubwa sana kwa hawa wagombea wa CHADEMA kwenye utaratibu wa ujazaji wa fomu za Ubunge na udiwani. Hawa wagombea wa ccm wanao pita bila kupigwa si kwamba ni mchezo mchafu wa CCM bali ni uzembe unao fanywa na wagombea wenyewe wa CHADEMA.

Kama imewezekana kwa Rais mtarajiwa kufanya kosa la kiufundi kama hili kwa wabunge je haitakuwaje?

Kama Lissu angekatwa na Tume asingekuwepo wa kulaumiwa makosa ni yake mwenyewe.
Kisha CHADEMA bila aibu wanakuja kusema hivi


Kibaya zaidi mhe Tundu Lissu bila kujali busara zilizotumiwa na Tume bado ametoa lawama nyingi kuwa kwanini amekalishwa masaa mengi kwenye uhakika wakati mhe Rais Magufuli alitumia muda mchache Kama ilivyopangwa.
Acha Ungese wewe Mbwa
Hakuna Sheria inataka ukaguzi wa wadhamini ufanywe na wakurugenzi.
Hiyo ni option tu ku fasten activities during nomination day.
It's either uhakiki ufanywe na Wakurugenzi au ufanyike na NEC siku ya uteuzi which is time consuming
CHADEMA wali tradeoff kati ya Uhuni wa Wakurugenzi V/S time consuming tasks during nomination day kama jana.
Wakaona kutumia Wakurugenzi ni Uduanzi.
Na ofcourse it worked like a charm
Hakuna cha Busara za Jaji Kaijage wala Busara za Mamaako
Swine
 
Siwezi kumpa pongezi mtu anaetimiza wajibu wake kwa kazi anayolipwa mshahara.
Tena wajibu wenyewe kautimiza kwa mbinde baada ya kuona mitandaoni kote wamechachamaa Duniani kote anamulikwa na kila mpenda haki
 
Jaji Kaijage Ni Jaji hasa alichokifanya Chadema hawaamini macho Yao kapangua mipango ya Chadema kisayansi kamati kuu
Chadema walikuwa ndumila kuwili walikuwa hawamtaki Lisu awe mgombea uraisi walimtaka Nyalandu na hawakutaka arudi

Kinafiki wakampitisha ili kukiondoa lawama apigiwe kura baraza kuu wakiamini Nyalandu kafanya kampeni ya kutosha atamshinda lakini baraza kuu likapiga kura za kinafiki pia kumpitisha wakijua kuwa Tume ya uchaguzi watamwengua tu ndio maana kukawepo kelele za kinafiki za akina Mbowe kutishia tume kuwa isimwengue Lisu wakitaka na sababu kumbe lengo lilikuwa kuiambia tume mwengueni huyo Lisu kwa sababu hizi!!! Chadema viongozi wa juu wakishaingia makubaliano ya Siri na ACT wazalendo kuwa Lisu akienguliwa wamuunge mkono Membe ambaye kwao ni mtu mwenye pesa ambaye angesaidia Chadema kifedha na kulipa chama influence Zanzibar sababu ya kuwa na Maaalim Seif

Tumaini la mwisho lililokuwa limesalia kwa Chadema kuhusu kukatwa jina lilibaki kwa NEC

Jaji Kaijage kapeleka kilio kwa CHADEMA kwa kuwapa my wasiyemtaka kakwepa zigo walilomtupia ili wajikoshe kuwa ni msajili ndio kamkakata sio wao Chadema

Kifupi Lisu wasiyemtaka huyo kaja kazi kwao
Nini kitakachoendelea Baada ya Lisu kuteuliwa ? Ni kuwa atapata supposed ndogo Sana ya kifedha na ki kampeni toka kwa Viongozi wa chadema kwa kisingizio kuwa na wao wako kwenye kampeni kwenye majimbo Yao hivyo apambane na hali yake yeye Kama yeye binafsi .Hivyo aniandae kwa kazi nzito ya kuji ratibia mwenyewe mikutano yake na hapo ndipo.penye kazi kubwa kunahitajika timu.kubwa mno ya watu wengi vifaa vingi na gharama kubwa Sio utani

Namuona Lisu Kama mgombea binafsi asiye na support ya chama ndani ya Chadema ambaye kila kitu atajitegemea mwenyewe kwenye kampeni sababu chama pia hakina hela na Viongozi wengine wanapigania majimbo.yao

Jaji Kaijage katibua mipango yote ya ACT wazalendo na Chadema kwa mpigo kwa kumpitisha Lisu
Another idiot
 
Acha Ungese wewe Mbwa
Hakuna Sheria inataka ukaguzi wa wadhamini ufanywe na wakurugenzi.
Hiyo ni option tu ku fasten activities during nomination day.
It's either uhakiki ufanywe na Wakurugenzi au ufanyike na NEC siku ya uteuzi which is time consuming
CHADEMA wali tradeoff kati ya Uhuni wa Wakurugenzi V/S time consuming tasks during nomination day kama jana.
Wakaona kutumia Wakurugenzi ni Uduanzi.
Na ofcourse it worked like a charm
Hakuna cha Busara za Jaji Kaijage wala Busara za Mamaako
Swine
Jaji kaijage anafanya kazi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM badala ya katiba na Sheria za Nchi
 
Hata Lisu Baada ya kutangazwa mgombea body language ya uso wake haikuwa na furaha kabisa Kama ilivyo kawaida yake akishinda kitu alikuwa Hana furaha kabisa akionyesha uso as if something is missing somewhere wataalamu wa body language pitieni ile video yake Baada ya kutangazwa
Endapo mtukufu ikitokea muujiza akarejea ikulu ya chamwino ujue hutakosa uteuzi wa katibu mkuu ofisi ya mtukufu chato chamwino na kule magogoni Dsm kwa jinsi unavyoutetea Udhalimu wake.
 
Kaijage et-al must do their home work. Wanatakiwa kureview na kuweka utaratibu unao zuia wagombea kuenguliw kiboya boya huko majimboni. Eti tunakuondoa kwasababu picha hukuziweka, come on! si mmwambie azilete?
 
Jaji Kaijage na team yake ya Tume ya uchaguzi kama si busara zao za kukubali kufanya uhakiki wa wadhamini wa mgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA Mhe. Tundu Lissu jambo ambalo kikanuni lilipaswa kufanyika kwenye ofisi za majimbo za Tume ya Uchaguzi basi ni dhahiri Lissu alitakiwa kutopitishwa na Tume.

Ajabu ni kwamba Mhe Tundu Lissu hakufanya hivyo iwezekana hakujua ama alijua Ila tu ni kiburi na kutaka kuonyesha umwamba mbele ya Tume ya Uchaguzi. Kikawaida hapa alitakiwa kukatwa moja kwa moja kwasababu tayari ameshavunja kanuni lakini busara za Tume zimembeba.

Mwanasheria makini msomi na mjuaji kama Tundu Lissu unawezaje kuvunja kanuni muhimu kama hii? Je hapo angakuta baadhi ya wadhamini ni hewa ingekuwaje ?

Hii inatoa picha kuwa kuna tatizo kubwa sana kwa hawa wagombea wa CHADEMA kwenye utaratibu wa ujazaji wa fomu za Ubunge na udiwani. Hawa wagombea wa ccm wanao pita bila kupigwa si kwamba ni mchezo mchafu wa CCM bali ni uzembe unao fanywa na wagombea wenyewe wa CHADEMA.

Kama imewezekana kwa Rais mtarajiwa kufanya kosa la kiufundi kama hili kwa wabunge je haitakuwaje?

Kama Lissu angekatwa na Tume asingekuwepo wa kulaumiwa makosa ni yake mwenyewe.
Kisha CHADEMA bila aibu wanakuja kusema hivi


Kibaya zaidi mhe Tundu Lissu bila kujali busara zilizotumiwa na Tume bado ametoa lawama nyingi kuwa kwanini amekalishwa masaa mengi kwenye uhakika wakati mhe Rais Magufuli alitumia muda mchache Kama ilivyopangwa.
Una uhakika JIWE alipeleka zake? au unaropoka tu
 
Back
Top Bottom