Hofu ya mabomu kariakoo!

Hofu ya mabomu kariakoo!

Matatizo ya kuzifanya DINI kama mama aliyekuzaa ndio hayo. DINI ni kama mke. Unaweza kuibadili, kuiacha, kujitenga au hata kubaki unaitazama tu.
 
msipoandamana leo waislam...mafalaaaa!!! ingieni barabarani mpambane na hao Policcm, vijana wa al haji Mwema na al haj Kikwete!!! najua hawawawezi na hata mkifa, pepo inawasubiri!!
 
ndg zetu waislam, msisahau kuwa mazoea hujenga tabia tukiwazoea ata siku wakiandamana kwa madai ya msingi watapigwa mabomu
na mimi na sauri maanamano yoyote yale yasiyoruhusiwa yapigwe mabomu
 
Hii dini ya kiislam bora isingekuwepo hapa duniani maana kokote ilipo ni fujo tupu

hapana mi nataka dini zote zipigwe ban, jitu linatoka kuzini halafu linaenda kuandamana,labda kama ukifa wakati unaipgania dini unasamehewa dhambi zako
 
Maduka yote yamefunga,watu wamekuwa wakiishi kwa hofu wachache sana ndio wamebaki mjini na polisi nao wapo wakirandaranda mtaani kuwasaka wahalifu popote walipo ili wakabiliane nao.
 
Mwandishi:Asalam aleykum sheikh
Sheikh: Milele amina,bwana yesu apewe sifa,tumsifu yesu kristu
 
msipoandamana leo waislam...mafalaaaa!!! ingieni barabarani mpambane na hao Policcm, vijana wa al haji Mwema na al haj Kikwete!!! najua hawawawezi na hata mkifa, pepo inawasubiri!!

idiot lol
 
hii ni kwa taarifa yako tu! uislamu ulianza kuchukiwa tangu unaanza kuingia ulimwenguni na wengine wakatoa mapendekezo kama yako lakini walishindwa. je itawezekana leo hali ya kuwa umeshatapakaa kama uionavyo ardhi ulimwenguni? kama vipi jitundike mtu wangu wala uislamu hautakubugudhi tena.
Ninavyo fahamu uovu ndio uliotapakaa Duniani, ndio uislamu huo? Huyo aliye amrisha watu kujitundika ni muamadi, "ukishindwa kumnusuru mtume kajinyonge!" Q22:15 Hakuna sababu ya uislamu usife maadam muanzilishi kafa! Wewe chungulia nchi zote zenye waislamu wengi wanavyo jiangamiza mnyewe kwa mnyewe!
 
Wana jamvi mliopo kariakoo tupeni kinachojiri uko ili tusaidie watu wanaotaka kuja uko kufanya shopping wajue usalama ukoje.
Mkuu siyo lazima ufanye manunuzi kariakoo....siku hizi sehemu za manunuzi ni nyingi ...inategemea unaishi wapi....tupunguze misongamani isiyo ya lazima Kariakoo
 
Wanajamvini nimetumia msg magomeni hapafai, nipo mitaa ya Salenda nimeona pikipiki za tigo zimepita kama 100 hivi kuna nini uko usalama jamani
Unajua kuna watu bila kulambwa bakora akili haziwatulii, hawa jamaa kila baada ya miaka kadhaa kuna pepo huwapata, ila kibano kikiwapata kisawasawa hutulia watajitokeza tena 2015
 
Another day , another dramas
Everyday is the drama in this country
 
kama kawaida yako, nimeisha kujua' natumaini wewe ni mpagani, au ni mmoja wao.

ahahahahahaaaaaaaaaaaa_mimi sio mpagani mkuu...mpaka sasa ni mfuasi wa mazoea(church goer) wa mojawapo wa hizi dini za mapokeo,...ila sipendi huu ujinga unaotokana na waumini wa hizi dini za kimapokeo....ila niko njiani kuelekea tuliko toka...get me now..?
 
Back
Top Bottom