Hofu ya mabomu kariakoo!

Hofu ya mabomu kariakoo!

ijumaa baada ya ibada huwa ni sku ya vurugu ...so .....:becky:
 
ooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
hahahahaaaaa nitonye shem umeuaaaaaaaaaa......

Yeye yuko salender halafu anaona pikipiki za tigo halafu eti magomeni kimunuka. Sasa sijui hizo pikipiki zote zimefurumushwa kutoka magomeni na hatujui zinakimbilia wapi.
 
Last edited by a moderator:
Karibia wanatoka misikitini...muda huu ndio mbaya zaidi kama wana nia..ndio mida hii!
 
Nipo magomeni hakuna tatizo ila kariakoo ndiyo hali ni mbaya mabomu yamepigwa watu wanakimbia ovyo maduka yamefugwa watu wanapanda gari lililo mbele yake bila kujua linakoelekea.
 
Leo si ijumaa hujui kuna nini wewe?
Kawaida yetu tukishamaliza swalaat jumaa tunatafuta kisa chochote cha kufanya fujo

Kwa hiyo wakati wa kuswali huwa mnavuta stimu au sio?
 
Karibia wanatoka misikitini...muda huu ndio mbaya zaidi kama wana nia..ndio mida hii!
Hizo pikipiki 100 ndio zitwashinda waislamu wakiamua.Yale magari ya jeshi nayo si lolote siku ikifika.
 
Hivi ni nani anapaswa kuilinda katiba??
Rais ameonesha kulegalega sasa inabdi tukubali matokeo na kuchukua hatua.

Katiba inachezewa, watu wamewekeza kwenye udini na ukabila halafu wanaongea majukwaani kana kwamba hakuna kibaya kinachoendelea #JustSaying
 
Hawa watu mbona wanataka kuharibia Nchi Yetu Watanzania?
 
Hii dini ya kiislam bora isingekuwepo hapa duniani maana kokote ilipo ni fujo tupu

No_mimi nafikiri hizi dini zote za kuletwa na meli,bora zipigwe marufuku afrika...maake zime-prove failure zaidi ya 100%,....let's go back to our roots.
 
hii ni kwa taarifa yako tu! uislamu ulianza kuchukiwa tangu unaanza kuingia ulimwenguni na wengine wakatoa mapendekezo kama yako lakini walishindwa. je itawezekana leo hali ya kuwa umeshatapakaa kama uionavyo ardhi ulimwenguni?
Dini hii nzuri bana.. Motisha yake vimwana 72. Lakini pia tigo ipo kwenye pepo ya Allah. Kila shahidi anapata bacha boys 28
 
Naona haya ni malumbano tu yasiyokuwa na tija, ngoja nipite nitarudi baadaye timbwili likinukia.
 
Leo si ijumaa hujui kuna nini wewe?
Kawaida yetu tukishamaliza swalaat jumaa tunatafuta kisa chochote cha kufanya fujo
"Swalaat Jumaa". Du..! Hata vibaka nao walikuwa wanasubiria kwa hamu sana mida hii, dini hii jamani..!?
 
Back
Top Bottom