Hofu ya mabomu kariakoo!

Hofu ya mabomu kariakoo!

Mufti wa Bakwata alishasema kuwa Ponda na wenzake ni wahuni. Isiwe sababu ya kuwatukana waislamu na uislamu.
 
leo mvua hii sidhani mabomu ya kutoa machozi yatatumika!
Leo kikiwaka ni maguruneti, risasi za motoo, rocket propeled grunet kama hizo!
Mungu utunusuru na kuzoa maiti!
nimesikia kishindo angani ni radi au?
 
watakao andamana hawana taarifa maana wajanja wote wameshapewa taarifa kuwa mzee ameruhusu vile vitu vizito vitumike ili iwe mwanzo na mwisho wa huu uhuni wao.leo kuna maiti zitazagaa barabarani wakithubu kuandamana
 
watakao andamana hawana taarifa maana wajanja wote wameshapewa taarifa kuwa mzee ameruhusu vile vitu vizito vitumike ili iwe mwanzo na mwisho wa huu uhuni wao.leo kuna maiti zitazagaa barabarani wakithubu kuandamana

askari walilamika sana kuwa wanaonekana wanashindwa kazi lakini ujinga wakuwaiga wazungu kwa kuwadekeza waandamananji hauwezi kutumika kwa kuwadhibiti hawa wahuni so wameomba kibali cha kutumia vitu vizto na mzee kasema ruksa vitumike kadri watakavyoona inafaa.
 
Kweli wewe kafiri ushatobolewa tayari manake viongozi wenu wanapenda
Dini hii nzuri bana.. Motisha yake vimwana 72. Lakini pia tigo ipo kwenye pepo ya Allah. Kila shahidi anapata bacha boys 28
 
hii ni kwa taarifa yako tu! uislamu ulianza kuchukiwa tangu unaanza kuingia ulimwenguni na wengine wakatoa mapendekezo kama yako lakini walishindwa. je itawezekana leo hali ya kuwa umeshatapakaa kama uionavyo ardhi ulimwenguni? kama vipi jitundike mtu wangu wala uislamu hautakubugudhi tena.

shida tu ni kwamba kwa imani ya kiislam kulipiza kisasa inaruhusiwa na unapata dhawabu kwa mola.sina haja ya kunukuu.
 
mbona sioni cha maana humu??

kariakoo huko kongo mnakosema kuna maandamano au hakuna??

Magomeni kuna maandamano au mtoa uzi amekurupuka?
 
No_mimi nafikiri hizi dini zote za kuletwa na meli,bora zipigwe marufuku afrika...maake zime-prove failure zaidi ya 100%,....let's go back to our roots.

kama kawaida yako, nimeisha kujua' natumaini wewe ni mpagani, au ni mmoja wao.
 
hii ni kwa taarifa yako tu! uislamu ulianza kuchukiwa tangu unaanza kuingia ulimwenguni na wengine wakatoa mapendekezo kama yako lakini walishindwa. je itawezekana leo hali ya kuwa umeshatapakaa kama uionavyo ardhi ulimwenguni? kama vipi jitundike mtu wangu wala uislamu hautakubugudhi tena.

Uislamu ulienezwa kwa njia ya upanga i mean vita (jihad) mtume na wafuasi wake walipigana vita kwahiyo waislamu wengi wana hiyo spirit ya vita kutoka kwa kiongozi wa dini yao kwasababu ni lango kwao, on the other hand Yesu hakulazimisha watu wamuamini wala wafuasi wake wale wanafunzi wake kumi na mbili hawakupigana vita walihubiri tu injili waliaminiwa kwa matokeo ya mahubiri/injili yao kwasababu watu walipona magonjwa, pepo zililitoka n.k kwa hiyo wakristo wamerithi this spirit of peace nad love from Jesus ambaye ni mwanzilishi na lango kwa wakristo ndio maana wakristo ni watu wa amani, waislamu wanahitaji kuombewa tu.
 
Mufti wa Bakwata alishasema kuwa Ponda na wenzake ni wahuni. Isiwe sababu ya kuwatukana waislamu na uislamu.

Kamwe tusije kuwatukana waislamu wote kwa vitimbi vinavyofanywa na watu wachache ambao hatuna ushahidi kama ni waislamu kikwelikweli au ni watu ambao wameamua kulitumia jina la uislamu ili kufikia malengo yao mengine!! Jiulizeni fedha walizohongwa (sh.5000 @ 1)wale vijana ili wafanye maandamano/fujo zilitoka kwa nani?? Nani aliwanunulia pombe na dawa za kulevya(maana wengi wao walionekana wamelewa)?? Huyu Ponda si mgeni hapa Tanzania...ni siku nyingi amekuwa akianzisha vurugu kwa mitindo tofauti kwa visingizio mbalimbali...msikilizeni Mufti kwa makini mtaelewa kuhusu mtu huyu. Ni jambo la kusikitisha kuona chama kikubwa cha siasa (cha upinzani) kinamshabikia mtu huyu...hakika kitakuwa bila kujijua kimenasa kwenye mtego waliotegewa...watu makini watakikimbia kwa kasi maana tafsiri ni kwamba kiko nyuma ya vurugu. Tusiwatukane waislamu kwa kuwa hawajafanya kosa lolote... waliofanya vurugu wanalitumia jina lao vibaya kwa maslahi yasiyohusiana na uislamu bali watu binafsi.
 
nimekusikia na sasa natangaza siku ya ijumaa ku8wa ni siku ya maaandano.kwahiyo wote mnashauriwa kuandamana kwa raha zenu.

ndg zetu waislam, msisahau kuwa mazoea hujenga tabia tukiwazoea ata siku wakiandamana kwa madai ya msingi watapigwa mabomu
 
Back
Top Bottom