No_mimi nafikiri hizi dini zote za kuletwa na meli,bora zipigwe marufuku afrika...maake zime-prove failure zaidi ya 100%,....let's go back to our roots.
No_mimi nafikiri hizi dini zote za kuletwa na meli,bora zipigwe marufuku afrika...maake zime-prove failure zaidi ya 100%,....let's go back to our roots.
Nipo magomeni hakuna tatizo ila kariakoo ndiyo hali ni mbaya mabomu yamepigwa watu wanakimbia ovyo maduka yamefugwa watu wanapanda gari lililo mbele yake bila kujua linakoelekea.
Vp lkn si unaelewa content?mbona hiyo taito haiendani na yaliyomo au mimi ndio nimeshindwa kuelewa?
Nipo magomeni hakuna tatizo ila kariakoo ndiyo hali ni mbaya mabomu yamepigwa watu wanakimbia ovyo maduka yamefugwa watu wanapanda gari lililo mbele yake bila kujua linakoelekea.
Wanajamvini nimetumia msg magomeni hapafai, nipo mitaa ya Salenda nimeona pikipiki za tigo zimepita kama 100 hivi kuna nini uko usalama jamani
Na kweli maana wanataka kuleta kero tumewachoka
rais atangaze siku ya ijimaa kuwa sikua ya maandamano
Hujui leo ni siku gani, muda wetu wa IBADA huu