Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 16,494
- 41,659
Huwa wanauliza maswali au kuongea vitu, sio kwa lengo la kujifunza au kujua, Bali wanata ukwame. Watakuuliza kitu, ukijibu watauliza Tena kingine, wataomba evidence utawapa, hawatozipitia, watauliza Tena kingine, lengo ni kuona unakwamaNimemtajia mpaka jina la yule aliyefanya hivyo tena hadharani mbele ya kamera za waandishi wa habari. Ila ameng'ang'ana tu na mahubili yake yasiyo na maana