Hofu ya maambukizi ya VVU inanimaliza kiafya, nilishiriki ngono na muathirika wa UKIMWI

Mkiishiwa pointi huwa mnakilimbila kusema hio kauli, "jidunge sindano yenye damu ya mwenye ukimwi kama huamini". Na si ww tu bali wote mnaoabudu ibada ya ukimwi. Na mkiona mtu hana na mwenza ni +ve utasikia hua anamwandaa vizuri. Yani kama wapiga ramli vile. Sasa mm hua najiuliza kwa hiyo wote wanaoambukizwa wanapewa damu mbovu au +ve wote wanafanya mapenzi bila kuandaana

Mdau hapo juu amekupa mfano mdogo tu, jaribu kumlowanisha mpenzi wako mwenye gono alaf chovya dudu lako tu uondoke. Baada ya siku mbili lete majibu. Sasa kwa nini ukimwi iwe tofauti wakati yote ni STDs.

Wake up you black person
Hivi unafikiri hili la kujidunga damu halijafanywa. Au unafikiri watu wanapinga kindezi tu. Ni utafiti umefanywa broo.

Nikupe assignment, tafuta habari za jamaa anaitwa Robert Wilner. Aliifanya hili hazarani kwa kujidunga damu ya mwathirika. Unajua nn kimpata kutoka kwa wamiliki ww mradi wao.

Kwa taarifa yako hii ni biashara tena inayolipa sana kwa wanaoimiliki. Hivyo hawako tayari kwa mamna yoyoye ile kuona kinyangaragata from no where kikijaribu kuiharibu.

Kitu chengine huwa kinanihuzunisha ni pale mtu akigundua dawa tu wanampoteza
 
Mkuu ni nani aliyekuambia kuwa HIV inaambukizwa kwa ngono zembe!? Hivi mbona nyie watu akili zenu mmeziroki kwa maksudi namna hiyo!

Pole sana kwa kushikiwa akili yako na wasaka noti.
Nadhani Kuna ukweli mkubwa hapa ila hujaamua kuweka wazi mkuu, kiukweli Kama ngoma ingekuwa inaambukizwa kwa ngono zembe kirahisi Kama inavyoelekezwa,,,,,,,,,,,sijui tu.
 
Hofu yako tu, kwanza unasema hukukamia sana gemu, sidhani kama ilifika hatua ya wewe na yeye kupata michubuko.
Pili, umewahi kuzitumia hizo damu Mungu kakuonya usixheze jiran na petrol.

Naifahamu situation unayopitia maana hata mimi enzi zangu imenikuta hiyo hali.

Baada ya kupewa hizo dawa na jamaa yangu muuguzi sikulidhika by that moment ikabidi niende hospital kubwa kumuona daktar.
Swali langu lilikua, nimepita mazingira mabaya na nimepewa hizi dawa, je ni sahihi au kuna dawa zaidi inanipasa nizitumie!???

Akanijibu, relax kijana, hata sisi huwa tunazitumia mara nyingi baada ya kujichoma na sindano au chochote tukiwa kazin, lkn pia watu au watoto walio bakwa huwa tunawapa hizo dawa ( pep), kwa hiyo ni salama kwa asilimia 95.

Mungu mwema tangu 2019 mpaka leo nipo poa.
I hope upo safe ila jambo la msingi acha mitungi mrudie Mungu.

Nakumbuka Mitungi iliniponza hata mimi, unafika hatua unakua na negligence ya vitu vya msingi.
Usiwaze am sure 97 upo safe.
Kwahyo ukigonga demu mwenye ukimwi lakini hamna mchubuko wowote hupati ukimwi ?
 
Ni siku ya 31 leo tangu nianze kutumia dawa za Kuzuia maambukizi ya Ukimwi kwa watu walio mazingira hatarishi kupata ugonjwa huo (PEP), Dozi hii nimeimaliza jana.Hofu niliyo nayo imenifanya nishndwe kufanya kitu chochote cha maana zaidi ya kuzorota mwili.

Binafsi nina utaratibu wa kupima afya kwa kila mwanamke mpya ninaekutana nae, lakini siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
Huyu mdada sikuwahi kukutana nae katika maisha yangu, kwa mara ya kwanza nimekutana nae MALAIKA BEACH HOTEL MWANZA ilikuwa ni usiku wa Jumapili, Mimi nikiwa ni mgeni pale kwa siku kadhaa na huyu dada alikuwa na marafiki zake kwenye meza iliyokuwa pembeni yangu. Kwa umbo na uzuri wamebarikiwa haswa.

Alikuwa amevaa vazi ambalo ukichanganya umbo na rangi yake kwa namna yoyote ile mwanaume yeyote aliyekamilika lazma atatamani kuwa karibu, na vyombo vilikuwa vimeshanikolea kama saa 6 hivi usiku nikamuita kumuomba kampani ahamie kwenye meza yangu hakusita, huo ukawa mwanzo ambao mwisho wake tukawa wote kwenye room yangu niliyofkia pale hotelini. Siku hii sikuwa na vipimo, nilijaribu kutafuta pale hotelini nikakosa ilibidi nichukue condom, Tukafanya sikuwa na vurugu katkati ya mchezo mwenyewe nikaomba kuchomoa ile condom akakubali hata hivyo sikuchukua mda nikamaliza baada ya kumaliza nikawa najilaumu sana na sikurudia tena mpaka alivyoondoka tukapanga, tukutane kesho yake ili tuweze kupima tufanye mambo yetu kwa uhuru, Akakubali.

kesho yake Jumatatu Akaja, na mimi nikawa tayari nimeshanunua Vipimo. Mwenzangu akabadilika akagoma kupima baada ya kumbembeleza kwa mda mrefu akakubali kwa sharti nianze mimi na majibu yeye nisimpe nibaki nayo mimi. Baada ya kupima majibu yake yakawa na changamoto. Nilijihisi kufa na isitoshe kipindi tunapimana ile kujitoboa nilishika kile kidole chake bila tahadhari, Sehemu ya damu yake ikagusana na kidole chngu nilichojitoboa kutoa damu. Hapa nilichanganyikiwa zaidi.

Asubuhi ya Jumanne nimeamka mapema kazi ilikuwa ni kusaka hospital ambayo naweza Kupata dawa za PEP ili nianze dozi, nilizunguka na boda kama kichaa. Jana nimemaliza hii dozi na kila wiki tangu nianze kutumia hii dozi nacheki afya yangu. Mpaka mda huu bado sijapata maambukizi ila nina hofu sana.

Kila nikifikiria huu ugonjwa napata shida sana.
Pole mkuu
Ila hupaswi kuwa na mawazo sana kama uliwahi hizo dawa.
Mimi binafsi mpaka sasa sielewi huu ugonjwa ukoje au tulipigwa kama Corona maana mpaka hapa nimeshapitia wanawake wagonjwa kama 7 hivi tena watatu kati yao ni wale ambao unaingia mahusiano bila kujua afya yake unaanza kutumia kinga badae unajikuta unaanza kumuamini mnatupa kondom na kuanza peku tena na vurugu zote then after six months mawazo ya kupima ndo yanakuja tunapima nakuta demu amewaka!
Hii imenitokea mara kadhaa mpaka nikasema sasa nishaumia maana kuna mmoja nimemgundua mwaka jana mwezi wa saba kwamba amewaka wakati huo namtafuna karibia mwaka ila baada ya vipimo alikiri kwamba aliwahi kuwa na uhusiano na kigogo flani miaka miwili iliyopita ambaye inasemekana ni mgonjwa na anahisi ndo alimuambukiza japo alikuwaga hajapima!
Sasa cha ajabu mpaka mwezi huu nimekuwa kila nikipima nakuta bado mzima na kama nilivyoeleza hapo juu nilishakutana na wanawake wa hivi kama 7 na sikutumiaga kondom.
Sina maana kwamba hakuna wagonjwa wa Ukimwi no najua wapo wengine nawajua wanatumia dawa ila tatizo nashindwa kuelewa inakuwaje isije ikawa tulipigwa kama ile Corona yetu ambayo sa hivi inasubiri vita ya Urusi na Ukraine iishe ndo irudi
 
Janja ya vipimo ndo imeonyesha kuwa ana HIV lakini kiuhalisia ni mzima wa afya tele. Il kwa kuwa wameshamhukumu hakumu ya kifo basi huyo asipokuwa makini mtampoteza kwa msa mfupi sana. Mwambie anitafute kabla hajaanza kubugia mbaazi alizopewa.

Kwa taarifa yako kuna sababu zaidi ya sabini zinazoweza kupelekea hicho kipimo chao feki cha kupima ukimwi feki kitoe majib feki ya kuwa mtu ana HIV
Kuna muda naanza kukuamini katika hili mkuu maana
 
Ni akili yao tu ndo inasababisha. Akili ukiiaminisha kuwa umekunywa maji machafu na lazima tumbo litauma, kweli baada ya muda utaanza kuugulia
Mfano hai ni hii Corona ambayo ilikuja moto sana watu wakafa halafu leo hii imetulia inasubiri vita ya Urusi na Ukraine iishe ndo iendelee
 
Pole mkuu
Ila hupaswi kuwa na mawazo sana kama uliwahi hizo dawa.
Mimi binafsi mpaka sasa sielewi huu ugonjwa ukoje au tulipigwa kama Corona maana mpaka hapa nimeshapitia wanawake wagonjwa kama 7 hivi tena watatu kati yao ni wale ambao unaingia mahusiano bila kujua afya yake unaanza kutumia kinga badae unajikuta unaanza kumuamini mnatupa kondom na kuanza peku tena na vurugu zote then after six months mawazo ya kupima ndo yanakuja tunapima nakuta demu amewaka!
Hii imenitokea mara kadhaa mpaka nikasema sasa nishaumia maana kuna mmoja nimemgundua mwaka jana mwezi wa saba kwamba amewaka wakati huo namtafuna karibia mwaka ila baada ya vipimo alikiri kwamba aliwahi kuwa na uhusiano na kigogo flani miaka miwili iliyopita ambaye inasemekana ni mgonjwa na anahisi ndo alimuambukiza japo alikuwaga hajapima!
Sasa cha ajabu mpaka mwezi huu nimekuwa kila nikipima nakuta bado mzima na kama nilivyoeleza hapo juu nilishakutana na wanawake wa hivi kama 7 na sikutumiaga kondom.
Sina maana kwamba hakuna wagonjwa wa Ukimwi no najua wapo wengine nawajua wanatumia dawa ila tatizo nashindwa kuelewa inakuwaje isije ikawa tulipigwa kama ile Corona yetu ambayo sa hivi inasubiri vita ya Urusi na Ukraine iishe ndo irudi
Duh
 
Pole mkuu
Ila hupaswi kuwa na mawazo sana kama uliwahi hizo dawa.
Mimi binafsi mpaka sasa sielewi huu ugonjwa ukoje au tulipigwa kama Corona maana mpaka hapa nimeshapitia wanawake wagonjwa kama 7 hivi tena watatu kati yao ni wale ambao unaingia mahusiano bila kujua afya yake unaanza kutumia kinga badae unajikuta unaanza kumuamini mnatupa kondom na kuanza peku tena na vurugu zote then after six months mawazo ya kupima ndo yanakuja tunapima nakuta demu amewaka!
Hii imenitokea mara kadhaa mpaka nikasema sasa nishaumia maana kuna mmoja nimemgundua mwaka jana mwezi wa saba kwamba amewaka wakati huo namtafuna karibia mwaka ila baada ya vipimo alikiri kwamba aliwahi kuwa na uhusiano na kigogo flani miaka miwili iliyopita ambaye inasemekana ni mgonjwa na anahisi ndo alimuambukiza japo alikuwaga hajapima!
Sasa cha ajabu mpaka mwezi huu nimekuwa kila nikipima nakuta bado mzima na kama nilivyoeleza hapo juu nilishakutana na wanawake wa hivi kama 7 na sikutumiaga kondom.
Sina maana kwamba hakuna wagonjwa wa Ukimwi no najua wapo wengine nawajua wanatumia dawa ila tatizo nashindwa kuelewa inakuwaje isije ikawa tulipigwa kama ile Corona yetu ambayo sa hivi inasubiri vita ya Urusi na Ukraine iishe ndo irudi
Ni noma sanaa hili sualaa...!!
 
Ni siku ya 31 leo tangu nianze kutumia dawa za Kuzuia maambukizi ya Ukimwi kwa watu walio mazingira hatarishi kupata ugonjwa huo (PEP), Dozi hii nimeimaliza jana.Hofu niliyo nayo imenifanya nishndwe kufanya kitu chochote cha maana zaidi ya kuzorota mwili.

Binafsi nina utaratibu wa kupima afya kwa kila mwanamke mpya ninaekutana nae, lakini siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
Huyu mdada sikuwahi kukutana nae katika maisha yangu, kwa mara ya kwanza nimekutana nae MALAIKA BEACH HOTEL MWANZA ilikuwa ni usiku wa Jumapili, Mimi nikiwa ni mgeni pale kwa siku kadhaa na huyu dada alikuwa na marafiki zake kwenye meza iliyokuwa pembeni yangu. Kwa umbo na uzuri wamebarikiwa haswa.

Alikuwa amevaa vazi ambalo ukichanganya umbo na rangi yake kwa namna yoyote ile mwanaume yeyote aliyekamilika lazma atatamani kuwa karibu, na vyombo vilikuwa vimeshanikolea kama saa 6 hivi usiku nikamuita kumuomba kampani ahamie kwenye meza yangu hakusita, huo ukawa mwanzo ambao mwisho wake tukawa wote kwenye room yangu niliyofkia pale hotelini. Siku hii sikuwa na vipimo, nilijaribu kutafuta pale hotelini nikakosa ilibidi nichukue condom, Tukafanya sikuwa na vurugu katkati ya mchezo mwenyewe nikaomba kuchomoa ile condom akakubali hata hivyo sikuchukua mda nikamaliza baada ya kumaliza nikawa najilaumu sana na sikurudia tena mpaka alivyoondoka tukapanga, tukutane kesho yake ili tuweze kupima tufanye mambo yetu kwa uhuru, Akakubali.

kesho yake Jumatatu Akaja, na mimi nikawa tayari nimeshanunua Vipimo. Mwenzangu akabadilika akagoma kupima baada ya kumbembeleza kwa mda mrefu akakubali kwa sharti nianze mimi na majibu yeye nisimpe nibaki nayo mimi. Baada ya kupima majibu yake yakawa na changamoto. Nilijihisi kufa na isitoshe kipindi tunapimana ile kujitoboa nilishika kile kidole chake bila tahadhari, Sehemu ya damu yake ikagusana na kidole chngu nilichojitoboa kutoa damu. Hapa nilichanganyikiwa zaidi.

Asubuhi ya Jumanne nimeamka mapema kazi ilikuwa ni kusaka hospital ambayo naweza Kupata dawa za PEP ili nianze dozi, nilizunguka na boda kama kichaa. Jana nimemaliza hii dozi na kila wiki tangu nianze kutumia hii dozi nacheki afya yangu. Mpaka mda huu bado sijapata maambukizi ila nina hofu sana.

Kila nikifikiria huu ugonjwa napata shida sana.
Acha kujipa moyo mwenyewe, Tulia sisi tukupe moyo hii mechi ndio kwanza uwanja unapandwa nyasi, unasema ukachomoa ule mfuko halafu hukuchukua muda...kwani ulitegesha saa.
 
Pole mkuu
Ila hupaswi kuwa na mawazo sana kama uliwahi hizo dawa.
Mimi binafsi mpaka sasa sielewi huu ugonjwa ukoje au tulipigwa kama Corona maana mpaka hapa nimeshapitia wanawake wagonjwa kama 7 hivi tena watatu kati yao ni wale ambao unaingia mahusiano bila kujua afya yake unaanza kutumia kinga badae unajikuta unaanza kumuamini mnatupa kondom na kuanza peku tena na vurugu zote then after six months mawazo ya kupima ndo yanakuja tunapima nakuta demu amewaka!
Hii imenitokea mara kadhaa mpaka nikasema sasa nishaumia maana kuna mmoja nimemgundua mwaka jana mwezi wa saba kwamba amewaka wakati huo namtafuna karibia mwaka ila baada ya vipimo alikiri kwamba aliwahi kuwa na uhusiano na kigogo flani miaka miwili iliyopita ambaye inasemekana ni mgonjwa na anahisi ndo alimuambukiza japo alikuwaga hajapima!
Sasa cha ajabu mpaka mwezi huu nimekuwa kila nikipima nakuta bado mzima na kama nilivyoeleza hapo juu nilishakutana na wanawake wa hivi kama 7 na sikutumiaga kondom.
Sina maana kwamba hakuna wagonjwa wa Ukimwi no najua wapo wengine nawajua wanatumia dawa ila tatizo nashindwa kuelewa inakuwaje isije ikawa tulipigwa kama ile Corona yetu ambayo sa hivi inasubiri vita ya Urusi na Ukraine iishe ndo irudi
Broh huu ugonjwa ni nadharia Sana kuliko uhalisia. Uwezi sex na dem mwenye gono alaf ww usipate hata umuandae mwaka mzima na kutumia vilainishi. Why ukimwi iwe tofauti?
 
Naomba nikuulize swali dogo. Mbona ugonjwa wa gonorrhea, hata uwe umemuandaa demu vipi, na ameloana chapa chapa, ukichomeka tu mashine na kuitoa bila hata kupump lazima na ww upate gono. Why ukimwi haipo hivyo?
Virusi wanapatikana kwnye damu tofauti na bacteria wa Gono na kaswende
 
Back
Top Bottom