Hodi uwanjani

Simba mzee

Member
Oct 21, 2011
23
3
Kwamda mrefu nimekuwa mshiriki katika jukwa hili kama mpita njia lakini sasa nimeamua kuingia rasmi katika ulingo huu kama mjumbe katika uwanja huu wa magreat thinkers niweze kuchangia na kutoa hoja mbalimbali za kujenga.
 
Kwamda mrefu nimekuwa mshiriki katika jukwa hili kama mpita njia lakini sasa nimeamua kuingia rasmi katika ulingo huu kama mjumbe katika uwanja huu wa magreat thinkers niweze kuchangia na kutoa hoja mbalimbali za kujenga.

Karibu sana, mimi naitwa Mwita25 mtu maarufu kuliko wote humu.
 
Kwamda mrefu nimekuwa mshiriki katika jukwa hili kama mpita njia lakini sasa nimeamua kuingia rasmi katika ulingo huu kama mjumbe katika uwanja huu wa magreat thinkers niweze kuchangia na kutoa hoja mbalimbali za kujenga.
He! Kweli? Kumbe tulikuwa wawili? Karibu sana ingawa mimi sio wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom