- Kitendo cha Warioba kuwasilisha Rasimu mbele ya Bunge kinahitimisha rasmi kazi ya Tume. Kazi inayofuatia ni ya Bunge!
- Niliwaagiza Tume kuiweka Rasimu ya Katiba Mpya kwenye Tovuti ili wananchi waweze kusoma na kutoa maoni yao!
- Nawapongeza wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kazi nzuri waliyoifanya. Haikuwa kazi rahisi
- Tume ya Mabadiliko ya Katiba imepokea maoni 772,211 toka kwa wananchi na kuyafanyia uchambuzi wa kina!
- Tume imefanya kazi nzuri, yenye manufaa kwa watanzania. Rasimu imeandikwa vizuri na mapendekezo yanayofaa! - Kikwete.
- Masikini wa Mungu binadam asiyekuwa na msimamo, kwanza alikuwa Adui wa Lowassa kila siku kumchafua kwenye magaeti yake, ghafla akabadilika na kuwa Rafiki wa Lowassa na kuanza kuitukana sana Serikali ya sasa aliyokuwa akiisifia sana alipokuwa adui wa Lowassa, sasa amekuwa adui wa Serikali ya sasa aliyekuwa akiisifia kwa nguvu zake zote,
- Gazeti lake limefungiwa kwa kuandika uzushi kila kukicha uzushi, hivi kweli ulitegemea aende kwenye TV ya Taifa amsifie Rais au akubali hoja zake? Jamani naomba mwneye CV yake aiweke hapa ili tujue elimu ya tunayemjadili!!
Le Mutuz
Punguza unafiki, kama huwezi kuacha kabisa.
- Masikini wa Mungu binadam asiyekuwa na msimamo, kwanza alikuwa Adui wa Lowassa kila siku kumchafua kwenye magaeti yake, ghafla akabadilika na kuwa Rafiki wa Lowassa na kuanza kuitukana sana Serikali ya sasa aliyokuwa akiisifia sana alipokuwa adui wa Lowassa, sasa amekuwa adui wa Serikali ya sasa aliyekuwa akiisifia kwa nguvu zake zote,
- Gazeti lake limefungiwa kwa kuandika uzushi kila kukicha uzushi, hivi kweli ulitegemea aende kwenye TV ya Taifa amsifie Rais au akubali hoja zake? Jamani naomba mwneye CV yake aiweke hapa ili tujue elimu ya tunayemjadili!!
Le Mutuz
Hivi kuna mtu aliwaza raisi huwa hana msimamo wake ktk masuala km haya? Amesema maamuzi ni ya wajumbe. Yeye katoa angalizo kwa mtizamo wake. Tusijipe hofu tufanyie kampeni tunayoamini na tuwe tayari kwa matokeo yoyote. Aliyosema JK wengi walitarajia.
Labda huyu kabenea amesahau kazi yake au ameichoka na anatamani kuvamia kazi nyingine kinyemela.yeye ni mwandishi wa habari.anachotakiwa ni kutuarifu aliyosema Mh Rais wetu na si kutupatia hadidhi zake.hatujamchagua, hajaomba kuchaguliwa na hatujamkabidhi dhamana yeyote.Rais tumemuelewa.Kubenea naye kama mwandishi akitambua majukumu ya chombo cha habari ameegemea msimamo wazi wazi sasa kwa nn ana mlaumu Jk? sasa kama watu wenginE kama cc wananchi wa kawaida tumeelewa Hotuba ya Rais kwa nn yeye kama mwandishi anataka kupotosha kwa makusudi?
Hata serikali mbili zimetokota mkuu kuondoa huo umasikini.Mtanzania sasa anaelekea kwenye maisha ya kuishi kwa chini ya nusu dola kwa siku-Mkuu unataka tufikie 0 ndo tufikirie mabadiliko?Sababu unazo au unafuata mkumbo? Kama unazo hebu tuambie "Serikali 3/Nchi 3" zitaondoaje umaskini? Au mwenzetu ukisoma Neno Tanganyika kwenye vitabu ndio kichwa kinatulia?
haha...Warioba aliongezewa muda kwa mbwembwe..as if walikuwa akipenda sana..Ila JK aka[iga fix kuwa ana mengi ila muda hautoshi..halafu akaendelea na pumba..sitta hata kubeep kuwa muda uongezwe wapi.Niliwaambia watu uwepo wa sitta hauna faida sana kwa CCM kwani wenye kujua wapi pa kumkandamiza ..hakuona shida..Sitta aliogopa,maana pale alikua na wasiwasi ajui Kikwete angezomewa WAPI,angeweka mda wa ziada na JK kuzomewa, kesi itakua kwa Sitta,maana siku Ile Warioba yeye alikua anaongea tu,hivyo Sita akacheki time,akaona aongeze,ila JK kalalamika muda haotoshi na ana mengi ya kusema,Sitta kauchuna Tu