Hizi ni hoja zilizoibuka mara tu baada ya Kikwete kumaliza hotuba yake! Wewe una hoja gani?

Serikali 3 zilizoboreshwa zitatufanya tuwe na misingi ya taifa moja lenye serikali ndogo 2
ikumbukwe serikali ya muungano haina vyanzo vya mapato vya uhakika na inawizara nyeti. Je itawezaje kujiendesha?

Vile vile kiuliulinzi raisi ya muungano atakuwa hana nguvu.
Mimi ninapendekeza serikali moja. Na kuwe na magavana bara na visiwani. Hii itaepusha mgongano wa kiutawala. Kuwe na bunge moja tu la muungano na madiwani ndio wawe watendaji chini ya gavana. Hii itapunguza ghara za uendeshaji.
 
Salaam wana jf.tar 21:03:2014 ni siku ya kihistoria katika nchi yetu.maana ndio siku mh rais wa jmt alipozindua rasmi bunge maalum la katiba.katika uzinduzi huo mh rais alitoa hotuba nzuri iliyo jaa maono,tahadhari na maelekezo.kwa mfano rais amewaelekza wajumbe kukumbuka suala la katiba kutaja maziwa kwenye mipaka yetu,pia amewaonya kutojadili mambo kwa jazba au kukashfiana.na lingine ni la kuwatahadharisha wajumbe kutokubali kuburuzwa na makundi wanayowakilisha vikiwemo vyama vya siasa.pamoja na mambo mengine rais hakusita kuongelea suala la muungano,na katika hili rais amesema hili ndio ajenda kuu kwa watanzania.amesema wapo wanaotaka serikali mbili na wanaotaka serikali tatu.katika maelezo yake juu ya muungano amesema ni heri tukaendelea na mfumo wa serikali mbili maana ndio mfumo unaoweza kutatua matatizo yaliyopo.mfumo anaongelea mh rais ni kuwa na seikali ya smz na ile ya jmt.ni hapa panapo leta giza kwa watu wa tanzania bara,kwa sababu watu wanauliza kwamba hivi zanzibar iliungana na nchi gani kuunda serikali jmt?na kama nchi hiyo ipo kwanini isitambuliwe kwenye katiba kama ilivyo kwa zanzibar?na ni kwanini katika mungano wa nchi mbili kuwe na serikali mbili badala ya moja au tatu?.kwa upande watume imetoa sababu za kuwa na serikali tatu moja wapo nikitendo cha kuwa na nchi mbili na serikali mbili ndani ya muungano,watanganyika kutokua na haki ya kumiliki ardhi visiwani na wa zanzibari kupewa haki ya kumiliki ardhi tanganyika na nyingine nyingi zenye mashiko.mwisho mimi nashauri tanganyika itajwe na itambulike kwenye katiba kama ilivyo kwa zanzibar ilikuondoa manung'uniko ya watanganyika katika hili tutakuwa tumepatia.kuhusu changamoto hakuna jambo lisilo na changamoto hata lingekua zuri sana .nawasilisha.
 
Tatizo lenu chadema siasa zimewashinda mnachofanya sasa ni riot.mlipanga kuzomea mmeshindwa,najua sio kwamba wengi wenu hampendi serikali 2 bali tu kwa kuwa ndio msimamo wa ccm.kwenu mnapingana na ccm hata kama wana wazo zuri.kama ccm wangesema serikali 3 nyie mngeshabikia 2.nyie ni watu waajabu sana.tukiwasikiliza nyie hatwendi popote.

Watu wanazungumzia katiba..Wewe unaleta habari za vyama..

Ni afadhali kuzomea ujinga kuliko kushabikia ujinga..

CCM !! Mawazo mazuri?!?!! mbona unashangaza watu?!!

Taja zuri moja walilotoa CCM nje ya huu Mchakato wa katiba likapingwa na upinzani..

Nani walioshindwa siasa..Mmebakia kurithishana Madaraka...

CCM imetufikisha hapa..Puumbavu nyie..
 
wanaotaka serikali 3 ni WATANGANYIKA, JITAFUTENI MUONE KAMA MTAOKOTANA.
SISI WATANZANIA TUNATAKA SERIKALI 2.

JIFUNZE KU PARAGRAPH MAANDIKO.

Data hizi umezitoa wapi?

Endelea kuficha funza miguuni kwa kuvaa viatu.
 
wanaotaka serikali 3 ni WATANGANYIKA, JITAFUTENI MUONE KAMA MTAOKOTANA.
SISI WATANZANIA TUNATAKA SERIKALI 2.

JIFUNZE KU PARAGRAPH MAANDIKO.

Huna tofauti na kenge, ingawa wewe siyo kenge.
manake maji anayoyajua kenge ni yale ya mtoni tu!!! yakija kwa stail ya mvua yanakuwa ni shambulizi.
 
Tatizo lenu chadema siasa zimewashinda mnachofanya sasa ni riot.mlipanga kuzomea mmeshindwa,najua sio kwamba wengi wenu hampendi serikali 2 bali tu kwa kuwa ndio msimamo wa ccm.kwenu mnapingana na ccm hata kama wana wazo zuri.kama ccm wangesema serikali 3 nyie mngeshabikia 2.nyie ni watu waajabu sana.tukiwasikiliza nyie hatwendi popote.

wewe unaoneka ni shabiki wa serikali mbili okay mbna hamlitolei maelezo suala la zanzibar kuvunja katiba kwa kuandika katiba yao, na kujitangaza kuwa ni nchi, hoja ya kwamba muungano ulizaa nchi moja yenye serikali mbili, lakini sasa tuna nchi mbili na serikal mbili nashangaa haipati majibu.
 
Kikwete ana haki ya kutoa maoni yake kama nyie mlivyo na haki na kizuri zaidi alijenga hoja kwenye hoja zake zote.

Naomba mmpinge Kikwete kwa hoja na mpangue hoja zake.

Swala la kusema kuwa amehutubia kama mwana CCm si
Hoja ya msingi maana tusi sahau yeye ni zao la chama fulani na ana haki ya kutoa maoni yake.

Lakini Takwimu za warioba kuhusu serikali tatu zina walakini.

Kaoge Ziwani wewe unamatatizo,wewe tatizo la Takwimu liko wapi? au ndo nyie Ma ccm
 
Acha kudanganya watu sisi watanzania tunataka serikali mbili,wewe na kina Waioba ndio mnataka serikali 3 ili mvunje muungano wetu na kutuletea shida na taabu ambazo hatujawahi kuzipata.Watu waliohojiwa hawazidi 400,000 sisi watanzania tuko milion 45 sasa msitupeleke kubaya kwa ajili ya tamaa zenu.Mmeshindwa na mtashindwa.

idadi ya serikali sio tija ila serikali ya bara lazima
 
Unahofia kuvunjika muungano wa Tembo na sisimizi! By the way ni Wazanzibar wengi ndio wasioutaka muungano na ndio maana Watanganyika hawatakiwi Zanzibar. You have nothing to lose or gain my friend. Unless uwe ni Mzanzibar...

Unakosea ndugu, wabara aamejaa tele znz. Walikuwepo kabla ya mapinduzi, baada ya mapinduzi, baada ya mageuzi ya vyama Vingi hadi leo hii. Kama kweli we we no mdadisi was mambo jiulize Isaac Sepetu, Mapuri, She in, Eddington Kisasi, Augustino ramadhani, mwinyi, makungu (wako wengi) wametoka wapi?
 
Jambo wakuu ,Jana Mh rais alilihutubia bunge maalumu lakatiba ,lengo kuu ilikua kulizindua tofauti na matarajio ya wengi hotuba ile imelalamikiwa kila kona nawanaharakati, jukwaa lakatiba, vyama vya upinzani nk kuwa imekuwa ya kichama na mipasho zaidi .ushahidi wa hilo nivipindi vya mijadala ya leo asubuhi vya ITV na ST AR TV ,naamimi mh hotubaile hakujiandalia aliandaliwa na kushauriwa nini cha kusema! je?kwa manung.uniko haya mh raisi alishauriwa vibaya?
 
Surely, rais wetu amechemka. Amewaona wajumbe kuwa wajinga wasiujua kilichowapeleka mjengoni.
Ametoa maoni ya rasimu kama mchangiaji na mwisho anasema mtayajadili ninyi ndo wenye dhamana. Kama alijua hiyo dhamana itakuaje awaeleze cha kufanya? Kwa nini anadharau Tume ya Katiba kwa kukashifu walichokifanya?!

Ni aibu kwa nchi si tu kwa Kikwete!
Inafikia kukataa ukomo kwa wabunge! Inawezekana anaona itamkuta kijana wake anayegombea jimbo ka Chalinze??
Tunachojua Mh. Kikwete ni mchumi (asiyebobea) na si mwanasheria. Wengi ktk wajumbe Tume ya Katiba ni wanasheria. Bila shaka Rais Kikwete alitakiwa kuwa muungwana na akawatumia watu wake bungeni kushawishi wenzao na si kusema aliyoyasema.
Tufike sehemu tutakapoheshimu maoni ya tume tunazoziteua/ tunazoziunda. Vinginevyo nafuu angesema Tume haikufanya anachotaka hivyo ateue itakayofanya anayoyataka.

Anjo
 
Tatizo lenu chadema siasa zimewashinda mnachofanya sasa ni riot.mlipanga kuzomea mmeshindwa,najua sio kwamba wengi wenu hampendi serikali 2 bali tu kwa kuwa ndio msimamo wa ccm.kwenu mnapingana na ccm hata kama wana wazo zuri.kama ccm wangesema serikali 3 nyie mngeshabikia 2.nyie ni watu waajabu sana.tukiwasikiliza nyie hatwendi popote.

Kama sijakosea Chadema hawajawahi kuja na mpango wa serikali tatu ila baada ya tume kutangaza muundo wa serikali tatu kama wananchi walivyopendekeza vyama karibu vyote vya upinzani vikaunga mkono maoni ya wananchi ya serikali 3.

Ccm wao wakasema msimamo wao ni serikali mbili.kimsingi ni vigumu kupinga maoni yaliyofanyiwa tafiti na wataalam wa bunge la katiba tutakuwa tunajidanganya bure! Tukubali haya maoni yaingizwe kwenye utekelezaji kuliko kuyakataa haitasaidia kutatua kero.
 
Nakupenda Tanganyika iko siku utazaliwa upya tu

Mkuu Makupa tunaombea iwe H
hivyo..Lakini kuna kitu nahisi hapa..

kwanza bado tunatawaliwa ..

Siri kubwa ya huu Muungano Wanayo Mataifa makubwa USA,Uingereza..nk

Hofu ni kukosa misaada..Na ni amri kutoka kwa hayo Mataifa..

Tanganyika tutaipata CCM ikiondoka madarakani na Mikataba yao mibovu..
 
Last edited by a moderator:
Ukweli nikwamba watanzania walio wengi wanataka muundo wa serikali tatu ukiachilia wachache wanaopendekeza serikali moja na wengi ambao wengi wao ni wanachama watiifu wa ccm,wanapendekeza serikali mbili. kiukweli kila mmoja ana hoja yake tena inamantiki kuliko ya mwenzake.
kiukweli binafsi nimeona kunakitu hakiko vizuri katika serikali ya tatu ambayo itaitwa ndiyo ya muungano(tz). Binafsi nimeliangalia aswa katika namna ya kumpata ama kuwapa kiongozi atakaye ongoza serikali ya muungano,je,njia gani itatumika kumpata huyo kiongozi
1)kwanjia ya kupigiwa kura kutoka katika nchi za muungano ama
2)kwa njia ya kupokezana vijiti kutoka tanganyika na kumpa zanziba?

Angalizo kama kwa njia ya kupiga kura je hakutokea kwa tannganyika kutoa kiongozi mara kwa mara kutokana na wingi wa watu wake?



Linapokua suala la muungano wajumbe wanakuwa ni nusu kwa nusu kwenye maamuzi.Na akidi inakua na maamzi ambayo yanapita kwa ushindi wa 75% ya kura za wajumbe wa pande zote mbili.Hizi ni nchi mbili.
Lakini kwa huu muungano wa sasa wa serikali 2 ,ambao umeifanya Tanganyika kuwa ndo Muungano Zanzibar ISAHAU kabisa kuja kupata Rais wa Muungano. Kwani watu wataleta utanganyika kwenye Uchaguzi na hata CCM ikimleta mtu wake wa Zanzibar watanganyika wata geukia chama chenye mtanganyika mwenzao.Msimamo wa serikali mbili utaibua hisia za utanganyika kwa nguvu zote.
 
kwani hao wanaotaka serikali tatu siyo watanzania? wewe una nini cha ziada kujiona mtanzania zaidi ya wengine? eleza tu mawazo yako kama mtu binafsi na usijifanye mtanzania kuliko wengine.
 
Back
Top Bottom