middo lulyheart
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 260
- 98
Tatizo lako unadhani muungano ni mali ya wanasiasa? Muungano unalindwa na wananchi
No, siko upande wowote ule ila ninachokitoa ni wasiwasi wangu kwenye kila muundo wa serikali!
Tatizo lako unadhani muungano ni mali ya wanasiasa? Muungano unalindwa na wananchi
mimi ni mmoja wa watanzania walio pendekeza serekali tatu kwenye tume ninacho tofautiana nao ni mfumo mimi nilipendekeza kuwe na rais mmoja wa jamuhuri ya muungano na apewe meno ya kusimamia serekali kuu alafu zanzibar na tanzania bara ziongozwe na mawaziri wakuu ambao ndio watakuwa wasaidizi wa kuu wa rais na watashughulikia tamisemi hayo ndiyo maoni yangu kwa serekali tatuRais kikwete wananchi tulishamaliza kutoa maoni kwa tume.usiturudishe nyuma.rasimu iliyopo ina maoni ya wananchi.nashangaa leo unatudharau wananchi.na dharau za wana ccm zinakera sana.kama jimbo la chalinze lililotoa rais leo huko hamna amburance tulisikia mwanao anaahidi unategemea ccm mna nia ya dhati na sie?.pitisheni serikali 2 muone mziki wake.leo hautaki ukomo wa ubunge kwa kuwa unataka mwamao riz awe mbunge wa maisha chalinze.hatukubali.
Ni kweli mkuu, utamaduni wetu wa kubebana, kutosema ukweli, kutetea maslahi yetu, kuunda tume ambazo zinakuja na jibu lile lile na watawala na siyo viongozi wetu kuukataa ukweli.Zito, kama unataka huruma utapata tuu, lakini serikali 3 sahau kbs , Historia , umri na utamaduni wetu utavurugika kwa kuwa na serikali tatu.
jk mwenyewe alichaguliwa na watanzania 5,000,000 kati ya 40,000,000 walio kuwepo wakati hivyo urais wake ni batili kwani alichaguliwa na watu wachache kwelikwelisamahani ndugu, unatumia nini kufikiria?nadhani kama hoja ni wachache waliohojiwa, basi katiba yote haifai maana haiwezekeni vipengele vingine mnasema waliotoa maoni wamewakilisha wananchi na hiki cha muungano hawawakilishi, yaani kuona tu dhaifu kaongea umekopi na kupaste, basi tupige kura nchi nzima
hivi Mch. Mtikila hajajiuzulu tu toka ktk hili bunge baada ya hii hotuba ya JK jana? msimamo wake tangu awali ilikuwa ni uwepo wa serikali ya tanganyika vinginevyo angejiuzulu na kurudi dsm aendelee na shughuli zake
Kweli watanzania ni kichwa cha mwenda wazimu, wapo kama bendela fuata upepo, na ninaimani kuwa wanaotaka selikari tatu hawajalichunguza na kulifikiria kwa undani jambo hilo, ni bora useme selikari moja kuliko selikari tatu, ukisema selikari tatu ni sawa na kuvunja muungano na kila upande kujitenga na mambo yake, Ushauri wangu wangu kwa selikari iliyopo iitishe uchaguzi nchi nzima ipigwe kura kuchagua
SELIKARI 3
SELIKARI 2
SELIKARI 1
Na hapo ndipo watakuwa na jibu la pamoja kuwa watanzania wanataka selikari ipi,
mimi binafsi nataka selikari 1