Kiroroma
JF-Expert Member
- Feb 6, 2009
- 370
- 114
Wadau wa JF ukimwi katika nchi yetu kamwe hauwezi kwisha,ndani ya hizi hotel Madanguro) mambo ya kutisha yanaonyeshwa kwenye mitandao yao ya ndani.Kanda zote za kifedhuli zenye kuonesha picha za ngono ndani na nje ya nchi zinaonyeshwa humu.
Na mahoteli haya yanajaa sana mchana kweupe siku za kazi zaidi kuliko siku za mwisho wa wiki, Wengi wa wateja ni wanandoa, wake za watu na waume za watu. Mara nyingi hutoroka kazini kutumia muda huo kufanya ufuska, Na hata wakati mwingine hutoa visingizio kama wanaugua ,wanauguliwa or any excuse ili wakatimize lengo lao . Hata hivyo vyombo vya dola wanalijua hili , tena na wao ni washiriki wakubwa hivyo hawawezi kulizuia.
Hatari kubwa ni pale watoto wetu wa shule nao huhusishwa katika ufuska huu. Haya ni baadhi tu ya yale madanguro machache niliyoyatembelea kufanya utafiti wa jinsi Ukimwi unavyoenezwa hapa nchini,wangapi wanatumia kinga na wangapi hatumii kinga;
1.Namnani Sinza
2.Blue Rose - Sinza
3.Aspec Resort- Sinza
4.Mbezi Inn- Mbezi
5.Teepee Ubungo
6.Samaria Hotel- Makuburi
7.Transit Motel -Majumba Sita
8.PR Hotel- Uwanja wa Taifa
9.Kusini Guest house -Saba Saba
10...............
===================
====================
Wana JF ongezeni orodha hii hii tupate kuichambua na kuiweka hadharani hali halisi ya kuenea kwa ukimwi na utovu wa maadili katika jamii yetu.
Na mahoteli haya yanajaa sana mchana kweupe siku za kazi zaidi kuliko siku za mwisho wa wiki, Wengi wa wateja ni wanandoa, wake za watu na waume za watu. Mara nyingi hutoroka kazini kutumia muda huo kufanya ufuska, Na hata wakati mwingine hutoa visingizio kama wanaugua ,wanauguliwa or any excuse ili wakatimize lengo lao . Hata hivyo vyombo vya dola wanalijua hili , tena na wao ni washiriki wakubwa hivyo hawawezi kulizuia.
Hatari kubwa ni pale watoto wetu wa shule nao huhusishwa katika ufuska huu. Haya ni baadhi tu ya yale madanguro machache niliyoyatembelea kufanya utafiti wa jinsi Ukimwi unavyoenezwa hapa nchini,wangapi wanatumia kinga na wangapi hatumii kinga;
1.Namnani Sinza
2.Blue Rose - Sinza
3.Aspec Resort- Sinza
4.Mbezi Inn- Mbezi
5.Teepee Ubungo
6.Samaria Hotel- Makuburi
7.Transit Motel -Majumba Sita
8.PR Hotel- Uwanja wa Taifa
9.Kusini Guest house -Saba Saba
10...............
===================
10.Sekajembe guest house (majumbasita)
11.Mayfair....Kawe
12.Kunduchi bay resort...Africana
13.Kalembo...Buguruni
14.Mtedzi lodge....External
15.Marriotti......external.
Mji umevamiwa.
====================
16. Ambiance au Corner bar -Sinza Africa sana.
17. Meeda - Sinza Mori
18. Kimboka by Night Club- Buguruni shell
19. Sewa Bar - Buguruni sokoni
Hivi vijiwe vipo juu sana kuliko hivyo mlivyo taja.
Wana JF ongezeni orodha hii hii tupate kuichambua na kuiweka hadharani hali halisi ya kuenea kwa ukimwi na utovu wa maadili katika jamii yetu.