Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Sioni point ya kuweka hizo hotel/ motel/ guest houses hapa jamvini na kusema ni madanguro maarufu?
Ina maana hizo ukienda wanawake au wanaume wanapatikana hapo hapo umaarufu wao ni huduma nzuri wanazotoa kwa wateja wanaokodisha vyumba?
Mkuu hizi sehemu unapata wanawake wakuvinjali nao lakini huduma inategemea na maeneo uliyo enda hata quality ya hao wanawake vile vile inategemea eneo husika maana kuna type kwa wale walevi wa mibonge mibonge kuna sehemu zao ukienda utawakuta tu wapo sokoni lakini hawa hawana uhusiano wowote na mmiliki wa hotel/guest/bar yeye anafanya biashara tu.