Hizi ndio nchi 10 pekee Afrika ambazo hazijawahi kuwa na mapinduzi ya Serikali.

Habari za wakati wanajamvi,
Leo nimekuja kwenu na orodha ya nchi 10 Afrika ambazo hazijawahi kuwa na mapinduzi ya serikali ya aina yoyote. Nchi nyingi za kiafrika baada ya uhuru ziliangukia katika wimbi kubwa la mapinduzi ya serikali zilizoachwa na wakoloni, kwa kipindi hicho sababu kuu za mapinduzi hayo ilikua ni uchu na tamaa za madaraka walizokua nazo viongozi wa mapinduzi au wadau wa mapinduzi, tuliona viongozi wengi waliofanya mapinduzi na mwishowe kuharibu utaratibu na kuhujumu uchumi na mali za nchi mfano Idd Amin na Mobutu, nchi karibu zote za Africa zilikumbwa na hili tatizo isipokua zifuatazo:-
  1. Botswana
  2. Cape Verde
  3. Eritrea
  4. Mauritius
  5. Mozambique
  6. Namibia
  7. Sao Tome and Principe
  8. Senegal
  9. South Africa
  10. Tanzania
Swali: Je unadhani kutokua na mapinduzi ya kiserikali ni alama ya ukomavu wa kisiasa, au kukosa watu wenye maono tofauti yenye ushawishi, au woga?
BONUS: Kenya ndio nchi pekee Afrika yenye jina linaloanza na K.
NAWASILISHA.
Style aliyoingia nayo Jackob Zuma wa SA, kwa kumtoa Thabo Mbeki syo mapinduzi ni nn?
 
Back
Top Bottom