Hizi alama zina muumbua kuchat!

Bambanza jr.

JF-Expert Member
Aug 6, 2011
355
36
Wanajf ninawasalim 'habari zenu' kwa kuwa hili ni jukwaa la watu wenye ufahamu naomba ndugu yangu aweze kusaidia kwan atakuwa anafuatilia majib, ni hivi huyu ndugu siku hizi amejiunga mtandao mmoja wa kijamii unaomwezesha kuchat na marafiki wengi uko magharibi lakin tatizo kuna alama ambazo marafiki huzitumia yeye hazielewi ni kama hizi :) :-( ;) :) ;> :( (anatumia simu) naomba kuwasilisha!
 
Kwani ukisema ni wewe hujui kuna ubaya gani? kuuliza sio ujinga, haya mimi pia sijui hivyo nami ningependa kujuzwa
 
Hahahaaa bora kuuliza ujinga kuliko kufanya ujinga! Haya na mm sijui naomba kujuzwa!
 
hizo zinakuwa ni uashirio wa maneno fulani kama kulia, kuvuta sigara, kuwa mgahawani n.k kwa kuwa na tumia simu hii inamaanisha furaha :-D..
 
Back
Top Bottom