Hizi alama zina muumbua kuchat!

Hizi alama zina muumbua kuchat!

Bambanza jr.

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2011
Posts
355
Reaction score
36
Wanajf ninawasalim 'habari zenu' kwa kuwa hili ni jukwaa la watu wenye ufahamu naomba ndugu yangu aweze kusaidia kwan atakuwa anafuatilia majib, ni hivi huyu ndugu siku hizi amejiunga mtandao mmoja wa kijamii unaomwezesha kuchat na marafiki wengi uko magharibi lakin tatizo kuna alama ambazo marafiki huzitumia yeye hazielewi ni kama hizi 🙂 :-( 😉 🙂 ;> 🙁 (anatumia simu) naomba kuwasilisha!
 
Kwani ukisema ni wewe hujui kuna ubaya gani? kuuliza sio ujinga, haya mimi pia sijui hivyo nami ningependa kujuzwa
 
Hahahaaa bora kuuliza ujinga kuliko kufanya ujinga! Haya na mm sijui naomba kujuzwa!
 
hizo zinakuwa ni uashirio wa maneno fulani kama kulia, kuvuta sigara, kuwa mgahawani n.k kwa kuwa na tumia simu hii inamaanisha furaha :-D..
 
Kwani ukisema ni wewe hujui kuna ubaya gani? kuuliza sio ujinga, haya mimi pia sijui hivyo nami ningependa kujuzwa
mim ningekuwa najua ningemjibu lkn nimeshindwa ndo nikalileta suala jukwaani. Plz nielewe.
 
🙂 smille
😉 whink
🙁 sad
>:O angry
😀 big smile
<3 love
=)) ROTFL
 
) na hii 🙂 ni smile
hii hapa ( au hii 🙁 ni opposite ya smile
 
Back
Top Bottom