Hizbullah: Utawala wa Israel haukuwa na budi kukubali usitishaji vita kwa kushindwa kukomboa hata mateka mmoja

Malaria 2

JF-Expert Member
Oct 17, 2023
2,645
3,921

Nov 26, 2023 02:26 UTC


Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, utawala wa Kizayuni umelazimika kukubali usitishaji vita baada ya kushindwa kumkomboa hata mateka wake mmoja kupitia mashambulio ya ardhini dhidi ya Ukanda wa Gaza.

Usitishaji vita wa siku nne kati ya utawala wa Kizayuni na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika Ukanda wa Gaza ulianza kutekelezwa juzi Ijumaa saa moja asubuhi kwa wakati wa eneo hilo.

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah amesisitiza kuwa "baada ya siku 49, imeamuliwa kwamba usitishaji vita wa muda uliofikiwa unaweza kurefushwa. Israel haikutaka kusitisha vita, bali imelazimika kuukubali kwa sababu utawala huo wa Kizayuni ulikuwa umepiga upatu wa kuwakomboa mateka wake kwa kufanya mashambulio ya ardhini, lakini baadaye ikabainika kuwa haukuweza kukomboa hata mateka mmoja kupitia mashambulio yake hayo.

Sheikh Naim Qassem
Sheikh Qassem amebainisha kuwa, mmoja wa viongozi wa Hamas ametueleza kwamba, katika muda wote huu, miundomsingi ya Muqawama ya chini ya ardhi haijaharibiwa hata kidogo na baada ya kumalizika usitishaji vita, ikiwa adui atarudi, na sisi tutarudi na wataona harakati za kuwashangaza ambazo hawajawahi kuziona maisha mwao.

Sheikh Naim Qassem amesisitiza kwa kusema, "sisi tunapigana vita vya haki dhidi ya batili kupitia Muqawama; vita vya ukombozi wa ardhi kutoka kwa wavamizi na maghasibu na vita vya kuirejesha Quds. Vita hivi haviwahusu Wapalestina peke yao, bali ni vita vya usalama wa kiutamaduni, kijamii, kimaadili na kisiasa".

Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, Kimbunga cha Al-Aqsa ni operesheni kubwa na ni mradi unaoonyesha imani iliyopo juu ya Muqawama na akaongeza kuwa operesheni hiyo ni mafanikio ya kihistoria ambayo yatabaki kuwa ya kudumu.

Kimbunga cha Al-Aqsa ni ushindi ambao umesajiliwa juu ya ardhi ya Palestina na nyoyo za Wapalestina; na kushindwa kwa Wazayuni pia kumesajiliwa juu ya nyoyo zao; na matokeo ya vita hivyo yatabainika katika siku au miaka ijayo.
 

Nov 26, 2023 02:26 UTC


Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, utawala wa Kizayuni umelazimika kukubali usitishaji vita baada ya kushindwa kumkomboa hata mateka wake mmoja kupitia mashambulio ya ardhini dhidi ya Ukanda wa Gaza.

Usitishaji vita wa siku nne kati ya utawala wa Kizayuni na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika Ukanda wa Gaza ulianza kutekelezwa juzi Ijumaa saa moja asubuhi kwa wakati wa eneo hilo.

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah amesisitiza kuwa "baada ya siku 49, imeamuliwa kwamba usitishaji vita wa muda uliofikiwa unaweza kurefushwa. Israel haikutaka kusitisha vita, bali imelazimika kuukubali kwa sababu utawala huo wa Kizayuni ulikuwa umepiga upatu wa kuwakomboa mateka wake kwa kufanya mashambulio ya ardhini, lakini baadaye ikabainika kuwa haukuweza kukomboa hata mateka mmoja kupitia mashambulio yake hayo.

Sheikh Naim Qassem
Sheikh Qassem amebainisha kuwa, mmoja wa viongozi wa Hamas ametueleza kwamba, katika muda wote huu, miundomsingi ya Muqawama ya chini ya ardhi haijaharibiwa hata kidogo na baada ya kumalizika usitishaji vita, ikiwa adui atarudi, na sisi tutarudi na wataona harakati za kuwashangaza ambazo hawajawahi kuziona maisha mwao.

Sheikh Naim Qassem amesisitiza kwa kusema, "sisi tunapigana vita vya haki dhidi ya batili kupitia Muqawama; vita vya ukombozi wa ardhi kutoka kwa wavamizi na maghasibu na vita vya kuirejesha Quds. Vita hivi haviwahusu Wapalestina peke yao, bali ni vita vya usalama wa kiutamaduni, kijamii, kimaadili na kisiasa".

Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, Kimbunga cha Al-Aqsa ni operesheni kubwa na ni mradi unaoonyesha imani iliyopo juu ya Muqawama na akaongeza kuwa operesheni hiyo ni mafanikio ya kihistoria ambayo yatabaki kuwa ya kudumu.

Kimbunga cha Al-Aqsa ni ushindi ambao umesajiliwa juu ya ardhi ya Palestina na nyoyo za Wapalestina; na kushindwa kwa Wazayuni pia kumesajiliwa juu ya nyoyo zao; na matokeo ya vita hivyo yatabainika katika siku au miaka ijayo.
Lebanon ilikuwa chini ya Kristo, waislamu wakazaliana na mwisho wakaleta wakimbizi na baada ya hapo wakaanza kuvunja makanisa, ua wakristo na mpaka leo lebanon inaonekana ya waislamu, same is happening kwa ulaya, america etc, muislamu anazaa watoto mpaka 20 na dini nyingine mtoto mmoja au wawili, na bado wahamiaji na hili miaka inayokuja dunia itakuwa na waislamu
 
Hii vita itaipanua sana Israel maana haitoisha na ndiyo inawaongezea umaarufu waisraeli.

Wanaweza wasusa mateka waliobakia ila wakaendelea kuiteka gaza yote na Occupied west bank.

Bado wapalestina wataendelea kuteseka na kupotea kwa wingi kuliko vile walivyokuwa wanafukuzwa taratibu taratibu.

Lebanon hawezi kwepa kikombe hiki lazima akinywee.
 

Nov 26, 2023 02:26 UTC


Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, utawala wa Kizayuni umelazimika kukubali usitishaji vita baada ya kushindwa kumkomboa hata mateka wake mmoja kupitia mashambulio ya ardhini dhidi ya Ukanda wa Gaza.

Usitishaji vita wa siku nne kati ya utawala wa Kizayuni na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika Ukanda wa Gaza ulianza kutekelezwa juzi Ijumaa saa moja asubuhi kwa wakati wa eneo hilo.

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah amesisitiza kuwa "baada ya siku 49, imeamuliwa kwamba usitishaji vita wa muda uliofikiwa unaweza kurefushwa. Israel haikutaka kusitisha vita, bali imelazimika kuukubali kwa sababu utawala huo wa Kizayuni ulikuwa umepiga upatu wa kuwakomboa mateka wake kwa kufanya mashambulio ya ardhini, lakini baadaye ikabainika kuwa haukuweza kukomboa hata mateka mmoja kupitia mashambulio yake hayo.

Sheikh Naim Qassem
Sheikh Qassem amebainisha kuwa, mmoja wa viongozi wa Hamas ametueleza kwamba, katika muda wote huu, miundomsingi ya Muqawama ya chini ya ardhi haijaharibiwa hata kidogo na baada ya kumalizika usitishaji vita, ikiwa adui atarudi, na sisi tutarudi na wataona harakati za kuwashangaza ambazo hawajawahi kuziona maisha mwao.

Sheikh Naim Qassem amesisitiza kwa kusema, "sisi tunapigana vita vya haki dhidi ya batili kupitia Muqawama; vita vya ukombozi wa ardhi kutoka kwa wavamizi na maghasibu na vita vya kuirejesha Quds. Vita hivi haviwahusu Wapalestina peke yao, bali ni vita vya usalama wa kiutamaduni, kijamii, kimaadili na kisiasa".

Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, Kimbunga cha Al-Aqsa ni operesheni kubwa na ni mradi unaoonyesha imani iliyopo juu ya Muqawama na akaongeza kuwa operesheni hiyo ni mafanikio ya kihistoria ambayo yatabaki kuwa ya kudumu.

Kimbunga cha Al-Aqsa ni ushindi ambao umesajiliwa juu ya ardhi ya Palestina na nyoyo za Wapalestina; na kushindwa kwa Wazayuni pia kumesajiliwa juu ya nyoyo zao; na matokeo ya vita hivyo yatabainika katika siku au miaka ijayo.
Sasa mateka,walikuwa wamefichwa kwenye mahandaki, chini ya hospitari, hii Vita ilikuwa sio kombolela, kutafutana,lengo ilikuwa kumaliza nguchiro wa Hamas, na mabasha zao Iran, lengo litatimia,
Arabs wameomba po! Kimeeleweka, tukishaokoa mateka wote, kipondo kinaendelea.
 
Lebanon ilikuwa chini ya Kristo, waislamu wakazaliana na mwisho wakaleta wakimbizi na baada ya hapo wakaanza kuvunja makanisa, ua wakristo na mpaka leo lebanon inaonekana ya waislamu, same is happening kwa ulaya, america etc, muislamu anazaa watoto mpaka 20 na dini nyingine mtoto mmoja au wawili, na bado wahamiaji na hili miaka inayokuja dunia itakuwa na waislamu
Na huo ndio ukweli. Nyie endeleeni kushabikia ushoga. Wakati mnazinduka usingizini game imekwisha na makanisa kugeuzwa misikiti kama ilivyo kwenye maeneo mengi ya Uturuki.
 
Lebanon ilikuwa chini ya Kristo, waislamu wakazaliana na mwisho wakaleta wakimbizi na baada ya hapo wakaanza kuvunja makanisa, ua wakristo na mpaka leo lebanon inaonekana ya waislamu, same is happening kwa ulaya, america etc, muislamu anazaa watoto mpaka 20 na dini nyingine mtoto mmoja au wawili, na bado wahamiaji na hili miaka inayokuja dunia itakuwa na waislamu
Yani we ndo bure kabisa bora hata ungekausha,,, mashariki ya kati na ukristo wapi na wapi? Pale ni uislam na uyahudi na ndio maana kwenye hii mbungi mkristo hahusiki,, ukristo Italia huko kwa papa.. Au unajua mayahudi wakristo 😀,, tena wasikusikie kabisa unawaambia hivyo watakuua kama wanavyoua vichanga vya gaza,,
 
Hii vita itaipanua sana Israel maana haitoisha na ndiyo inawaongezea umaarufu waisraeli.

Wanaweza wasusa mateka waliobakia ila wakaendelea kuiteka gaza yote na Occupied west bank.

Bado wapalestina wataendelea kuteseka na kupotea kwa wingi kuliko vile walivyokuwa wanafukuzwa taratibu taratibu.

Lebanon hawezi kwepa kikombe hiki lazima akinywee.
Unaruhusiwa kujipa matumaini lakini hali ni mbaya kwa ground.
 

Nov 26, 2023 02:26 UTC


Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, utawala wa Kizayuni umelazimika kukubali usitishaji vita baada ya kushindwa kumkomboa hata mateka wake mmoja kupitia mashambulio ya ardhini dhidi ya Ukanda wa Gaza.

Usitishaji vita wa siku nne kati ya utawala wa Kizayuni na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika Ukanda wa Gaza ulianza kutekelezwa juzi Ijumaa saa moja asubuhi kwa wakati wa eneo hilo.

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah amesisitiza kuwa "baada ya siku 49, imeamuliwa kwamba usitishaji vita wa muda uliofikiwa unaweza kurefushwa. Israel haikutaka kusitisha vita, bali imelazimika kuukubali kwa sababu utawala huo wa Kizayuni ulikuwa umepiga upatu wa kuwakomboa mateka wake kwa kufanya mashambulio ya ardhini, lakini baadaye ikabainika kuwa haukuweza kukomboa hata mateka mmoja kupitia mashambulio yake hayo.

Sheikh Naim Qassem
Sheikh Qassem amebainisha kuwa, mmoja wa viongozi wa Hamas ametueleza kwamba, katika muda wote huu, miundomsingi ya Muqawama ya chini ya ardhi haijaharibiwa hata kidogo na baada ya kumalizika usitishaji vita, ikiwa adui atarudi, na sisi tutarudi na wataona harakati za kuwashangaza ambazo hawajawahi kuziona maisha mwao.

Sheikh Naim Qassem amesisitiza kwa kusema, "sisi tunapigana vita vya haki dhidi ya batili kupitia Muqawama; vita vya ukombozi wa ardhi kutoka kwa wavamizi na maghasibu na vita vya kuirejesha Quds. Vita hivi haviwahusu Wapalestina peke yao, bali ni vita vya usalama wa kiutamaduni, kijamii, kimaadili na kisiasa".

Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, Kimbunga cha Al-Aqsa ni operesheni kubwa na ni mradi unaoonyesha imani iliyopo juu ya Muqawama na akaongeza kuwa operesheni hiyo ni mafanikio ya kihistoria ambayo yatabaki kuwa ya kudumu.

Kimbunga cha Al-Aqsa ni ushindi ambao umesajiliwa juu ya ardhi ya Palestina na nyoyo za Wapalestina; na kushindwa kwa Wazayuni pia kumesajiliwa juu ya nyoyo zao; na matokeo ya vita hivyo yatabainika katika siku au miaka ijayo.
Uislamu ni ujinga na uongo koran inawaongoza motoni Tizama hiyo mishehe ya Allah na mudy miongo ya jenna inadanganya dunia eti hamna hata mateka mmoja israel imeokoa huyu Ori Megidish hamkumteka?? https://edition.cnn.com/2023/10/31/...dish-rescue-hamas-hostage-intl-hnk/index.html
Raia msiamini news from islamic channel. waongo kama Mungu wao Allah
1700982381837.png

Pvt. Ori Megidish reunites with her family after she was rescued by Israeli forces from Hamas captivity in Gaza.
 
Uislamu ni ujinga na uongo koran inawaongoza motoni Tizama hiyo mishehe ya Allah na mudy miongo ya jenna inadanganya dunia eti hamna hata mateka mmoja israel imeokoa huyu Ori Megidish hamkumteka?? https://edition.cnn.com/2023/10/31/...dish-rescue-hamas-hostage-intl-hnk/index.html
Raia msiamini news from islamic channel. waongo kama Mungu wao Allah
View attachment 2825431
Pvt. Ori Megidish reunites with her family after she was rescued by Israeli forces from Hamas captivity in Gaza.
Mwehu wewe. Halafu unalishwa na bibi yako
 
zamani enzi za Mudy mngekuwa mnadanganya zaidi maana kwa sasa tunatazama kuliko nyie mnaleta uongo Taqiya is an art of Allah na watumwa wake
 
Mwehu wewe. Halafu unalishwa na bibi yako
Taqiya na uongo wenu hauwezi pita mbele yangu nikuache upotoshe Dunia kama Muhamed na Allah walivyowafanya mmekuwa mipumbavu mno slaves kemea no lies the truth will make you free
 
zamani enzi za Mudy mngekuwa mnadanganya zaidi maana kwa sasa tunatazama kuliko nyie mnaleta uongo Taqiya is an art of Allah na watumwa wake
Wameshindwa kuwaokoa full stop acheni porojo inabidi wakae mezani na the so called magaidi, aibu ya mwaka
 
Back
Top Bottom