Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 12,128
- 33,511
Nipo hapa naona kuna vingoma vya kibao kata. Embu sogea mkuu kama upo aroundKiwanja changu.
Nipo hapa naona kuna vingoma vya kibao kata. Embu sogea mkuu kama upo aroundKiwanja changu.
Hakuna kuzeeka siku hizi wanabadilisha mpaka roho.Mkuu sema umezeeka tu
Ila kama unataka kutupa Saki wa masaki sisi wa kisaki tupe mishaki tutang'ong'ozola tu
Maisha bila pombe ni sawa nagari bila mafutaSalaam Wakuu,
Nahisi baadhi ya watu wasiokunywa au kuonja pombe hawana akili timamu.
Wana maongezi wa kindezi ndezi.. Hawana madili hata tone...
Wanachojua ni Umalaya, Uasherati, Uzinzi, Umbeya, Wizi, na roho mbaya.
Nahisi watu wasio kunywa pombe hawana akili timamu.
Watu wanaobaka na kurawiti watoto Madrasa, asilimia 98 hawanywi pombe wala kuonja.
Wachungaji kutembea na Waumimini, nk.
Yaani mimi siwezi kukaa na mtu ambaye hanywi Pombe masaa mawili. Ataongea nini?
Kama Mwanaume ana story za vyupi tu na kama mwanamke ana Story za Mikao ya faragha..
Je, Una rafiki ambaye hanywi pombe wala kuvuta bangi? Unaonaje story zake?
View attachment 3553256
Kwanza walevi ndio wanaongoza kwa kulipa kodi Tanganyika 💪🏿😀Salaam Wakuu,
Nahisi baadhi ya watu wasiokunywa au kuonja pombe hawana akili timamu.
Wana maongezi wa kindezi ndezi.. Hawana madili hata tone...
Wanachojua ni Umalaya, Uasherati, Uzinzi, Umbeya, Wizi, na roho mbaya.
Nahisi watu wasio kunywa pombe hawana akili timamu.
Watu wanaobaka na kurawiti watoto Madrasa, asilimia 98 hawanywi pombe wala kuonja.
Wachungaji kutembea na Waumimini, nk.
Yaani mimi siwezi kukaa na mtu ambaye hanywi Pombe masaa mawili. Ataongea nini?
Kama Mwanaume ana story za vyupi tu na kama mwanamke ana Story za Mikao ya faragha..
Je, Una rafiki ambaye hanywi pombe wala kuvuta bangi? Unaonaje story zake?
View attachment 3553256
Hahaha na hili ndio tatizo la kuanza kunywa pombe ukubwaniKama hunywi pombe wewe ni mpumbavu.
Pombe naichukia asubuhi tu🤣🤣🤣Nakutakia heri na fanaka ya "hang over" hapo kesho uakampo.
Hata na hivo haina faida sana tunakunywa mara moja moya!Wacha tu nionekane sina akili timamu ila katu siwezi ikaribisha pombe maishani mwangu kwa namna yoyote ile.
Mkuu, hasira za nini?Hii ndio akili ya pombe. Kweli pombe mbaya
Hapo pana vibe kinoma mkuu, nipo mbali mkuu.Nipo hapa naona kuna vingoma vya kibao kata. Embu sogea mkuu kama upo around