Hivi Watu wasiokunywa pombe huwa wana akili timamu kweli?

Hivi Watu wasiokunywa pombe huwa wana akili timamu kweli?

Mkuu,

Wengine tushakunywa pombe kama zote, sasa tumepunzika.

Ushakunywa Saki ukiwa Masaki wewe?
Mkuu sema umezeeka tu

Ila kama unataka kutupa Saki wa masaki sisi wa kisaki tupe mishaki tutang'ong'ozola tu
 
Ndio wanaongoza kwa majungu na umbea.
Usinywe ukalewa narudia tena usinywe ukakata ringi watu watapita na malinda km hawakujui vile, nna mshikaji wangu mmoja kaijulia pombe ukubwani basi ni mwendo wa makovu tu kila weekend, hapo utaniambia kwamba tungi ina faida gani? Wewe kila weekend unaishia kuuguza madonda tu aidha kupigwa kisa umegombea barmaids na vingine km hivyo alishawahi poteza funguo ya gari akaiacha bar, sasa faida ipo wapi hapo unalewa unaacha gari yako unapanda bajaj eti gari utaifuata asubuhi pombe zikishakata kichwani la sivyo lazima ulibote kwenye nguzo ya umeme au kingo za barabara, how come?
 
Ukilewa usichart!!!!
Usinywe ukalewa sio kuchat tu linda malinda wahuni sio watu, kuna movie moja niliicheck inaitwa The Brutalist ya mwaka 2024, kwenye hii movie main character alikua ni Architecture yaan yeye alikua msanifu mzuri wa majengo na alikua amejenga majengo mengi sana, sasa alikutana tajiri mmoja akampenda sana kazi zake akamwambia anataka amjengee jumba la kifahari sana, basi jamaa akakubari wakasaini mkataba akaanza kazi ila shida ya jamaa huyu msanifu yeye alikua ni mraibu wa pombe na madawa ya kulevya yaan alikua anapiga tungi pia anajidunga, basi siku hio huyo tajiri akamualika jamaa kwenye party jamaa kweli akaenda kwenda akaanza kupiga tungi akacheza na warembo safi kabisa ila baadae akaona km pombe hazimpi stimu akatoka akaingia chobingo kumbe yule tajiri anamchora tu, jamaa akaenda akatafuta angle akatoa vifaa vyake akajidunga madawa kumbuka hapo kashapiga tungi basi tajiri akaenda akamkuta jamaa tayari kashajipiga sindano amelala chini hajiwezi hawezi hata kujisogeza akajifanya km anataka kumsaidia akamvua suruali jamaa hajiwezi hata kujisogeza tajiri akafungua zipu yake safi kabisa yaan jamaa anaona kabisa tajiri anamvua suruali nyuma akachomoa ukuni akamzamishia akaanza kumfira akamfira safi kabisa alipomaliza akamuacha hapohapo jamaa hajiwezi, kumbuka chanzo cha yote ni pombe na madawa, sasa kuna faida gani km sio kuyaweka malinda yako rehani?

Tafuta hio movie inaitwa The Brutalist (2024) utajifunza kitu. Hii sifuti kubabek zenu piteni hivyo hivyo km mnaaga maiti ila mshaisoma.
 
Maana halisi ya spirit ni watu na mioyo yao

Hakuna mpiga Gambe mwenye roho mbaya narudia Hakuna

Niko nasindikiza hisia na Said komorie ft hardmard 'miss Malaika'

'"Ningelikuwa na mabawa, kaa angani nikufate lakini Sina mabawa.!?👌😎
Nawewe ndio unaanza kulewa hivyo
 
Salaam Wakuu,

Nahisi baadhi ya watu wasiokunywa au kuonja pombe hawana akili timamu.

Wana maongezi wa kindezi ndezi.. Hawana madili hata tone...

Wanachojua ni Umalaya, Uasherati, Uzinzi, Umbeya, Wizi, na roho mbaya.

Nahisi watu wasio kunywa pombe hawana akili timamu.

Watu wanaobaka na kurawiti watoto Madrasa, asilimia 98 hawanywi pombe wala kuonja.

Wachungaji kutembea na Waumimini, nk.

Yaani mimi siwezi kukaa na mtu ambaye hanywi Pombe masaa mawili. Ataongea nini?

Kama Mwanaume ana story za vyupi tu na kama mwanamke ana Story za Mikao ya faragha..

Je, Una rafiki ambaye hanywi pombe wala kuvuta bangi? Unaonaje story zake?
View attachment 3553256
Aisee
 
Mkuu embu njoo hapa Kitambaa cheupe karibu na Dj upande wa kulia mara moja tujadili hii hoja vizuri.!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom