Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,383
- 8,272
Hiki alichotumia huyu kiumbe, huenda siyo kinywaji (kilevi) cha kawaida. Kitakuwa very concentrated
Maarifa yangekuwa dili Babu zako ungewakuta na encyclopedia usituchoshe na momentum yetu 👐Maskini jukwaa langu pendwa jf imekuwa ya wajinga wengi siku hizi sijuwi ntapata wapi tena marifa?
📍📍🔨kwa nini walevi mnajifariji kwa kuona wasio walevi wanakuwa wazinzi, wakati kiuhalisia pombe inachochea uzinzi na walevi wengi ni wazinzi
Uwe unatumia akili unapotoa majibu yako au yanakutoka tu?Bangi sio chai, ndo maana unaandika haya,weed ikishakaa kwenye ubongo huwezi kuwa sawa
Dogo acha kuhusisha pombe na vitu vya hovyo kama futariAlisikika akiongea mnywa pombe mmoja alipokuwa akikaribia kulewa![]()
Mkuu,Salaam Wakuu,
Nahisi baadhi ya watu wasiokunywa au kuonja pombe hawana akili timamu.
Wana maongezi wa kindezi ndezi.. Hawana madili hata tone...
Wanachojua ni Umalaya, Uasherati, Uzinzi, Umbeya, Wizi, na roho mbaya.
Nahisi watu wasio kunywa pombe hawana akili timamu.
Watu wanaobaka na kurawiti watoto Madrasa, asilimia 98 hawanywi pombe wala kuonja.
Wachungaji kitembea na Waumimini, nk.
Yaani mimi siwezi kukaa na mtu ambaye hanywi Pombe masaa mawili. Ataingea nini?
Kama Mwanaume ana story za vyupi tu na kama mwanamke ana Story za Mikao ya faragha..
Je, Una rafiki ambaye hanywi pombe wala kuvuta bangi? Uunainaje story zake?
Ndio wanaongoza kwa majungu na umbea.Salaam Wakuu,
Nahisi baadhi ya watu wasiokunywa au kuonja pombe hawana akili timamu.
Wana maongezi wa kindezi ndezi.. Hawana madili hata tone...
Wanachojua ni Umalaya, Uasherati, Uzinzi, Umbeya, Wizi, na roho mbaya.
Nahisi watu wasio kunywa pombe hawana akili timamu.
Watu wanaobaka na kurawiti watoto Madrasa, asilimia 98 hawanywi pombe wala kuonja.
Wachungaji kitembea na Waumimini, nk.
Yaani mimi siwezi kukaa na mtu ambaye hanywi Pombe masaa mawili. Ataingea nini?
Kama Mwanaume ana story za vyupi tu na kama mwanamke ana Story za Mikao ya faragha..
Je, Una rafiki ambaye hanywi pombe wala kuvuta bangi? Uunainaje story zake?