Juzi nikiona clip Jamaa kakabwa Na watu kama wa5 hivi barabaran Tena mchana kwweupe Na watu wanatizama tu, walioomaliza kumchukulia vitu vyake wakamwachia alafu wanatembea tu as if hamna tukio lolote walilofanya yaan hawana waswas kabisa
Yupo uko sioNgoja tumuulize Fiderine Iranga
Mtu afanye hivyo huku umatumbini hamna color ataacha kuonaJuzi nikiona clip Jamaa kakabwa Na watu kama wa5 hivi barabaran Tena mchana kwweupe Na watu wanatizama tu, walioomaliza kumchukulia vitu vyake wakamwachia alafu wanatembea tu as if hamna tukio lolote walilofanya yaan hawana waswas kabisa
Karudi yupo kwao SurveyYupo uko sio
Wabongo wengi hatujitambuiDuuh mkuu hauko serious aisee yaani hizo slums ndiyo umetolea kama mfano wa maisha ya wadizonga wote ama? Tembelea urban areas za miji mikubwa kama Johannesburg, Pretoria, Durban, Cape Town, East London na Bloemfontein nk halafu uje ufananishe na bongo yetu hii ndiyo utajua haujui!