Hivi Watanzania mnaokimbiliaga South Afrika kuna kitu gani cha maana huko?

Ili Tanzania uendelee ilipaswa vijana wengi wapate exposure nje maana kwa akili za kulelewa na Chama no mwendo wa kusifia na kuridhika
 
Juzi nikiona clip Jamaa kakabwa Na watu kama wa5 hivi barabaran Tena mchana kwweupe Na watu wanatizama tu, walioomaliza kumchukulia vitu vyake wakamwachia alafu wanatembea tu as if hamna tukio lolote walilofanya yaan hawana waswas kabisa
 
Mambo hayo yalikuwa pale jangwani miaka ya 2000+.nilikuwa mdogo kidogo ila nilikuwa nakumbukumbu.niliona mtu anakabwa mchana kweupe kwenye zile ngazi ngazi chini kulikuwa na barabara ya waenda kwa miguu na watu kwenye magari Wana angalia.mimi nilipita tu sababu nilikuwa mdogo kiumri hawakudili na mimi
Juzi nikiona clip Jamaa kakabwa Na watu kama wa5 hivi barabaran Tena mchana kwweupe Na watu wanatizama tu, walioomaliza kumchukulia vitu vyake wakamwachia alafu wanatembea tu as if hamna tukio lolote walilofanya yaan hawana waswas kabisa
 
Juzi nikiona clip Jamaa kakabwa Na watu kama wa5 hivi barabaran Tena mchana kwweupe Na watu wanatizama tu, walioomaliza kumchukulia vitu vyake wakamwachia alafu wanatembea tu as if hamna tukio lolote walilofanya yaan hawana waswas kabisa
Mtu afanye hivyo huku umatumbini hamna color ataacha kuona
 
.View attachment 2484641View attachment 2484638View attachment 2484639View attachment 2484640View attachment 2484642
nelson-mandela-square-at-sandton-city-johannesburg-south-africa-DCXR4T.jpg
View attachment 2484644View attachment 2484643
 
Watz wengi wanateseka sana huko SA, wachache wana maisha mazuri tu. Kuna watu wamerudi mpaka unawaonea huruma hakuna walichopata zaidi ya kupiga picha kwenye malls kubwa na maeneo mengine ya mazuri.
 
Duuh mkuu hauko serious aisee yaani hizo slums ndiyo umetolea kama mfano wa maisha ya wadizonga wote ama? Tembelea urban areas za miji mikubwa kama Johannesburg, Pretoria, Durban, Cape Town, East London na Bloemfontein nk halafu uje ufananishe na bongo yetu hii ndiyo utajua haujui!
Wabongo wengi hatujitambui
 
Back
Top Bottom